Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tumelishwa imani nisiyojua nini maana yake. Licha ya Tanzania kuungana na Zanzibar bado Mombasa wana maingiliano makubwa ya kitamaduni na Unguja na Pemba nadhani kuzidi hata Dar es Salaam. Je...
7 Reactions
35 Replies
4K Views
Ni kweli kwamba jamii hii baadhi wana uraia na wengine wana uraia wa kuzaliwa lakini wengi wao karibu asilimia tisini na nane hawako katika hizo sekta ukiacha akina Rage, Kinana, Amil Jamal ambao...
2 Reactions
39 Replies
6K Views
Kuna harufu ya UTAPELI wa kimataifa, Habari SERIKALI kuchukua mkopo kienyeji kienyeji na kisha kukatana kwenye usafirishaji imetoka wapi ?? Utaratibu wa wauza mazao wakileta mizigo kwa mafuso...
1 Reactions
3 Replies
597 Views
Mwanahabari mkongwe Absalom Kibanda ametoa maoni yake kuhusu umuhimu wa Serikali kufanya kazi kwa ukaribu na Vyombo vya Habari ambapo kwa asilimia kubwa amelaumu mazingira ya tata baina ya pande...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
UJENZI WA DARAJA LA BEREGA WAFIKIA ASILIMIA 68 KUKAMILIKA Na. Geofrey A. Kazaula, Morogoro. Ujenzi wa Daraja la Berega katika barabara ya Berega-Dumbalume Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa mkoani...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wananchi zaidi ya 13,000 wa vijiji vinne vya Kata ya Nyatwali Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa kile wanachodai kutumia jina la Rais Samia Suluhu Hassan kutaka...
1 Reactions
4 Replies
934 Views
Tangu kumalizika kwa uchaguzi wa ndani 2015 CCM imekua ikipambana na kifo chake kwa gharama kubwa!! Kilichotokea Dodoma 2015 kilikua mwanzo wa mwisho wa CCM Chama pekee kikongwe kwa East Africa...
11 Reactions
22 Replies
3K Views
Demokrasi was not for African countries. Hasa hizi zetu zilizojaa Uswahili. Angalia nchi ambazo zilipata kukaliwa na waarabu. Zilizoendelea zimeendelea kwa mkono imara wa chuma not Demokrasia...
15 Reactions
70 Replies
3K Views
Suala eneo la Ihefu, chanzo cha mto mkuu wa Ruaha, limekuwa likilalamikiwa kwa miaka sasa. Najua serikali imekuwa ikilishughulikia hili tatizo la kuingiliwa Ihefu kwa nyakati tofauti, lakini ni...
16 Reactions
44 Replies
4K Views
Wakuu hivi hizi tozo za miamala kwenye bank, tozo kwenye tigo pesa, tutanyooka nasema. Ila mshauri wa uchumi wa nchi hii ni kiboko pamoja na bunge pia kama walikaa na kupitisha hili. Naamanisha...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
Merhaba! Wakuu Kuna vitu kwenye hii nchi vinakera na kuchukiza sana na kuumiza inakuaje mkuu wa wilaya moja nchini ya songwe eti bado yuko kazini mpaka sasa japokuwa ana tuhuma nyingi mojawapo ni...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam Wana JF. Kama mzalendo wa taifa hili kuna jambo nimeliona la kipekee kutokana na utawala mpya wa rais wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, Utashi, sera na falsafa zake...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wafanyakazi wa Tanzania wanakukumbuka kwa nyongeza zako nzuri za mishahara kila mwaka kwa miaka yako yote uliyotumika kama Mwajiri mkuu!! Jipe raha, pumzika kwa raha zako, kazi uliifanya...
5 Reactions
51 Replies
3K Views
Haya tuyategemee sisemi Mengi, Ila Taasis zetu hazijajiimarisha kusimamia wanayoyahubiri , Ni sawa kwa Chama makini si rahis kujua mgombea wake Mapema, lakin pia si vizuri kumdanganya na...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Staki nirudie mambo mengi tu ambayo kila leo yanasemwa na kuandikwa hapa jukwaani kuhusu ughali wa maisha n.k nadhani mh Rais ameamua kuyaacha ili kuandikwe historia nyingine mpya Katika nchi...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Upande wa Jamhuri unatarajia kuwa na mashahidi 14 na vielelezo 17 katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake watatu...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Huwa nawaza sana kuuawa kwa huyu mwamba halafu mbaya zaidi huzuni hii hunijia wakati unapigwa wimbo wa taifa kwamba Mungu ibariki Tanzania, wabariki viongozi wote. Yaani Mungu abariki wauwaji...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Hii kazi anafanya Waziri Mkuu Majaliwa ya kudeal na wabadhirifu ni nzuri sana. Ingefanywa kwa ukubwa zaidi na ingekuwa endelevu ingetufaa sana. Ila najiuliza, madudu yote hayo wakuu wa mikoa huwa...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Habari JF. Kumekuwa na ubadhirifu wa fedha za umma kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ya awamu ya 6. Hali ni mbaya ktk kila idara na wizara, mashirika na mamlaka mbalimbali...
0 Reactions
13 Replies
827 Views
Taarifa za Kidunia zinaonyesha kwamba huyu ndiye kiongozi wa kisiasa mwenye kuheshimika zaidi duniani kwa sasa , ndiye mwanasiasa anayeongoza kwa siasa za kistaarabu , ni mvumilivu asiye na kisasi...
25 Reactions
120 Replies
8K Views
Back
Top Bottom