Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu Ummy Mwalimu leo tarehe 02 Juni 2023 akiwa Bukoba Mkoani Kagera ametangaza kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania. “Kwa mujibu wa miongozo ya...
0 Reactions
1 Replies
488 Views
Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika? Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu achilia mbali kufahamu, hata ile kusikia tu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba, Ni...
7 Reactions
64 Replies
9K Views
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya SMZ ndugu Charles Hillary ametoa tangazo kwa umma ambalo clip yake inatrend kwamba eneo la shamba la Makurunge Razaba lililopo Wilaya ya Bagamoyo Kata ya...
12 Reactions
39 Replies
4K Views
Wale mliokuwa mnalaumu Rais wa Zanzibar kumuwakilisha Rais Samia na kuhoji Kwa nini sio Dr Mpango mnaitwa huku.
1 Reactions
5 Replies
978 Views
Katika ziara za viongozi wa chama Mh.Zitto Zuberi Kabwe , Mwenyekiti Babu Duni na Makamu Mwenyekiti Dorothy Semu moja ya jambo ambalo limeelezewa kwa unyeti ni suala la mabadiliko ya sheria ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Bi. Leyla Mohamed, leo amewasilisha bajeti ya wizara yake na kuomba kuidhinishiwa kias cha shilingi 457B. Wakati hapo nyuma Kidogo Wazir wa Elimu...
19 Reactions
79 Replies
7K Views
Tanzania imepokea msaada wa paundi milioni tano sawa na takribani Tsh. bilioni 15 kutoka Serikali ya Uingereza kwa ajili ya awamu ya pili ya Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF). Makabidhiano...
3 Reactions
68 Replies
3K Views
Mbunge Geita, Joseph Musukuma amelilalamikia Jeshi Usu kupiga watu na kufanya ubakaji. Musukuma amesema kuna makosa yamefanyika katika kulitengeneza Jeshi Usu. Musukuma pia ameongelea Maliasili...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kiukweli 2015 mzee Lowassa alijipatia kura nyingi tu sema Mzee Mkapa alikuwa hatakagi Ujinga Sina hakika na Uwezo wa Tundu Lisu Kwenye kushawishi Wapiga kura ila tuombee tu apate ile ile 13% au...
0 Reactions
12 Replies
742 Views
Mtafiti yupo kule NIMR Center. Anakesha kuandika tafiti mbalimbali ili apate ufadhili, pasipo msaada wowote toka NIMR HQ. Kwa jasho na damu anapata ufadhili na kupeleka pesa kituoni kwake ambazo...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Haya yananifaya imani yangu kwake iwe haba; 1. Kauli ya kila mtu ale kwa kamba yake, najua mnapatapata kwenye maeneo yenu, msivimbiwe! 2. Ripoti ya CAG amemeza pini as if hakuna kilichotokea na...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna mambo mengi sana yanahitaji wazalendo pekee kuipeleka hii nchi hatua inayostahili. Ninamuomba Mungu awasaidie Watanzania kutambua hili na mwaka 2025 watumie uwezo wao wote wa akili, hekima na...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Nchi au taifa kwa ujumla idara ya usalama wa taifa ni taasisi huru,kwa muijbu wa kuanzishwa kwake, duniani kokote. Japo siku na muda ulivyozidi kujongea taasisi hiii ilianza kuingiliwa na...
1 Reactions
12 Replies
862 Views
Video Credit: Nipashe MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema kampuni za maegesho barabarani zimeajiri vijana wasio waaminifu ambao wananyanyasa wananchi. Ameyasema hayo leo...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
Baada ya tukio la jana na juzi kwenye vyombo vya habari kuhusiana mgogoro wa ardhi kati ya Mpina na wananchi huko Morogoro, Waziri wa Nishati, Januari Makamba na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Kila nikitafakari hatma yetu sisi vijana naumia kutoiona kesho yetu katika nchi ya ahadi. Kiuchumi tunakabiliwa na ukosefu wa ajira na kisiasa tunaambiwa ni taifa la kesho. Ingawa tuna hussle na...
2 Reactions
6 Replies
792 Views
Ndugu zangu watanzania, Mtu kufikia hatua ya ukomandoo anakuwa amepitia mafunzo mengi Sana magumu,yenye kuhitaji nguvu na akili,maarifa na upeo,ufahamu na utambuzi,uvumilivu na ujasiri,ukakamavu...
4 Reactions
86 Replies
3K Views
KUNA TAARIFA ZINASAMBAA KWA KASI SANA ZINAZOMHUSISHA WAZIRI WA NISHATI, JANUARY MAKAMBA KUWAPA RUSHWA WABUNGE YA SHILINGI MILIONI 10 PAMOJA NA RUSHWA NYINGINE YA MAJIKO 300 YA GESI KWA KILA MBUNGE...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
"Watu wanapigapiga kelele huko ngoja niwaambie, CCM ndiyo chama kiongozi na ndiyo chama kitakachoongoza mchakato wa Katiba ya kisasa, iliyoandaliwa kisasa,na itatengenezwa kupitia mikono, uongozi...
0 Reactions
0 Replies
341 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…