Hennes kolon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 673
- 1,287
Musukuma ni Kati ya waheshimiwa wachache pale mjengoni waliokuwa makini hasa linapokuja suala la kulinda Mali za umma, ikiwemo miradi kadhaa ambayo utekelezaji wake haueleweki.
Mfano tu suala la hereni na tenda aliyopewa kuendesha hilo zoezi jamaa alipiga kelele Sana na ni kweli alikuwa sahihi, likaja sakata la kampuni ya ku print stika, alipiga kelele Sana na alikuwa sahihi. Ila nashangaa kwenye Jambo nyeti la bandari kageuka, kama sio Yule msukuma niliyekuwa namsikiliza siku zote, yaani msimamo wake kwa Sasa Yuko pamoja na Dubai.
Nini kimempata huyu mh. au ni ile tour ya huko Dubai alikoenda imemtoa nje ya reli. Sio Tena Yule msukuma ninayemjua.
Mfano tu suala la hereni na tenda aliyopewa kuendesha hilo zoezi jamaa alipiga kelele Sana na ni kweli alikuwa sahihi, likaja sakata la kampuni ya ku print stika, alipiga kelele Sana na alikuwa sahihi. Ila nashangaa kwenye Jambo nyeti la bandari kageuka, kama sio Yule msukuma niliyekuwa namsikiliza siku zote, yaani msimamo wake kwa Sasa Yuko pamoja na Dubai.
Nini kimempata huyu mh. au ni ile tour ya huko Dubai alikoenda imemtoa nje ya reli. Sio Tena Yule msukuma ninayemjua.