Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 305
- 519
Salaam Wakuu,
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo June 09,2023 amefungua na kushiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Biashara (TNBC), Ikulu Dar es salaam ambapo moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba yake ni kwamba Davidi Kafulila ambaye ni Kamishina wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) chini ya Wizara ya Fedha na Mipango.
Rais kasema amesoma Ripoti ya Kafulila na kusema ni nzuri sana. Hiyo Ripoti inahusu PPP.
Nimevutiwa kuisoma hiyo ripoti, je nitaipataje?
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo June 09,2023 amefungua na kushiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Biashara (TNBC), Ikulu Dar es salaam ambapo moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba yake ni kwamba Davidi Kafulila ambaye ni Kamishina wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) chini ya Wizara ya Fedha na Mipango.
Rais kasema amesoma Ripoti ya Kafulila na kusema ni nzuri sana. Hiyo Ripoti inahusu PPP.
Nimevutiwa kuisoma hiyo ripoti, je nitaipataje?