Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,033
- 9,920
Akizungumzia tuhuma za kupewa gari ili atetee DP World kusimamia na kuendehs bahari nchini, mbunge Joseph Musukuma amesema gari aliyonayo amenunua kwa hela yake na amelipa ushuru milioni 130 ili walimu wapate mishahara kama angetumia tax exemptions angelipa ushuru wa milioni 45.
Amesema mtu yeyote anayetaka kujaji anaweza kumuona, kwa kuwa ana magari mengi ikiwemo Ambulance kadhaa ambazo anazitoa bure kusaidia raia wa jimbo lake.
Musukuma amewataka wabunge wa CCM kutetea jambo la DP World kwa hali zote, hata hivyo hakuzungumzia kuhusu masharti ya mkataba ambayo yaneleta ukakasi kwa watanzania.
Amesema mtu yeyote anayetaka kujaji anaweza kumuona, kwa kuwa ana magari mengi ikiwemo Ambulance kadhaa ambazo anazitoa bure kusaidia raia wa jimbo lake.
Musukuma amewataka wabunge wa CCM kutetea jambo la DP World kwa hali zote, hata hivyo hakuzungumzia kuhusu masharti ya mkataba ambayo yaneleta ukakasi kwa watanzania.