peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,830
- 21,460
Bunge letu ni taasisi na muhimili wa kidola usiopaswa kuegemea mihimili mingine ya kidola katika taifa.
Kwa nini Bunge la JMT lielekezwe kubariki badala ya kusimamia (dhibiti) na kutoa mwongozo (rule of procedure) kuhusu namna ya serikali kuingia mikataba kama huu wa TPA?
Wadau tunaamini Bunge halipaswi kuwa reduced to that level of a government department endorsing the latter's contracts deals already entered by parties.
We would rather have seen the parliament pushing for disclosure of the said contracts, not the contrary.
Kama mkataba haupo Bungeni/hadharani, Bunge linaridhia nini?
Pili, ni jambo la kushangaza kuona Tanzania inaendelea kuwa taifa lisilojifunza. Kama ilivyokuwa wakati wa ghiliba za ABSA kurubuni serikali (na watanzania kwa ujumla) kisha kupewa NBC (1997) bure, mtindo huu umejirudia miaka 26 baadaye, ukitumiwa na Falme (Emirate) ya Dubai ikishirikiana na Kampuni ya DP World (DPW) kuchukua mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) kwa njia ya kuingia Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding/MoU).
Tujuavyo sisi, ni kwa njia hii ya MoU, kama ilivyokuwa kwa NBC, TPA inaondoka pasipo waarabu hawa kulipa hata senti moja.
Wengi wa watanzania waliolilia NBC, wakiongozwa na Mwl. Nyerere, wamekwishafariki, TPA italiliwa na nani yarabi?
Ushauri kwa Wabunge Utaalam na teknolojia ni variables zinazonunuliwa sokoni. Core economic value ya TPA ni proximity ya nchi (geoeconomic advantage) katika bahari ya Hindi na maziwa Makuu ya Afrika. Hiyo advantage ndio inaitofautisha Tanzania na nchi nyingine. Tukiisha kuipoteza thamani hii we are worthless.
Option bora ya kuimarisha ufanisi TPA inatakiwa kwanza, kubadirisha management recruitment approach ili key management positions zote zijazwe kwa kuzingatia vigezo vya umahiri na matokeo ya ushindani katika soko la kazi, bila kujali iwapo mtendaji mkuu na team yake ya menejimenti ni raia wa watanzania au wageni, provided wameshindana na kudhihirisha mahiri wa kusimamia uendeshaji wa kazi za TPA.
Pili, mfumo na muundo wa TPA uwekwe bayana kuwa CEO na team yake wawe na mamlaka ya kupendekeza, kwa mujibu wa sheria ya manunuzi, kununua na kutumia teknolojia na vifaa (machinery & equipment) vya kuendesha bandari kwa ufanisi pasipo kuingiliwa na mamlaka za serikali.
Aidha, kama serikali inaona kuna umuhimu wa kubinafsisha TPA basi iweke na kutangaza utaratibu wa kuuza hisa za TPA kwenye soko la mitaji la Dar es Salaam (DSE) - hata cross-floating of shares - ambapo serikali inaweza ku-retain 51% ya hisa, kisha 49% ya hisa za mtaji wa TPA zikawa floated through IPO.
We need transparency in the governance of our national assets, properties and resources not otherwise.
Kwa nini Bunge la JMT lielekezwe kubariki badala ya kusimamia (dhibiti) na kutoa mwongozo (rule of procedure) kuhusu namna ya serikali kuingia mikataba kama huu wa TPA?
Wadau tunaamini Bunge halipaswi kuwa reduced to that level of a government department endorsing the latter's contracts deals already entered by parties.
We would rather have seen the parliament pushing for disclosure of the said contracts, not the contrary.
Kama mkataba haupo Bungeni/hadharani, Bunge linaridhia nini?
Pili, ni jambo la kushangaza kuona Tanzania inaendelea kuwa taifa lisilojifunza. Kama ilivyokuwa wakati wa ghiliba za ABSA kurubuni serikali (na watanzania kwa ujumla) kisha kupewa NBC (1997) bure, mtindo huu umejirudia miaka 26 baadaye, ukitumiwa na Falme (Emirate) ya Dubai ikishirikiana na Kampuni ya DP World (DPW) kuchukua mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) kwa njia ya kuingia Hati ya Makubaliano (Memorandum of Understanding/MoU).
Tujuavyo sisi, ni kwa njia hii ya MoU, kama ilivyokuwa kwa NBC, TPA inaondoka pasipo waarabu hawa kulipa hata senti moja.
Wengi wa watanzania waliolilia NBC, wakiongozwa na Mwl. Nyerere, wamekwishafariki, TPA italiliwa na nani yarabi?
Ushauri kwa Wabunge Utaalam na teknolojia ni variables zinazonunuliwa sokoni. Core economic value ya TPA ni proximity ya nchi (geoeconomic advantage) katika bahari ya Hindi na maziwa Makuu ya Afrika. Hiyo advantage ndio inaitofautisha Tanzania na nchi nyingine. Tukiisha kuipoteza thamani hii we are worthless.
Option bora ya kuimarisha ufanisi TPA inatakiwa kwanza, kubadirisha management recruitment approach ili key management positions zote zijazwe kwa kuzingatia vigezo vya umahiri na matokeo ya ushindani katika soko la kazi, bila kujali iwapo mtendaji mkuu na team yake ya menejimenti ni raia wa watanzania au wageni, provided wameshindana na kudhihirisha mahiri wa kusimamia uendeshaji wa kazi za TPA.
Pili, mfumo na muundo wa TPA uwekwe bayana kuwa CEO na team yake wawe na mamlaka ya kupendekeza, kwa mujibu wa sheria ya manunuzi, kununua na kutumia teknolojia na vifaa (machinery & equipment) vya kuendesha bandari kwa ufanisi pasipo kuingiliwa na mamlaka za serikali.
Aidha, kama serikali inaona kuna umuhimu wa kubinafsisha TPA basi iweke na kutangaza utaratibu wa kuuza hisa za TPA kwenye soko la mitaji la Dar es Salaam (DSE) - hata cross-floating of shares - ambapo serikali inaweza ku-retain 51% ya hisa, kisha 49% ya hisa za mtaji wa TPA zikawa floated through IPO.
We need transparency in the governance of our national assets, properties and resources not otherwise.