Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa wizara imepokea wazo la Mbunge wa Momba, Condester Sichalwe la kuongeza kodi kwenye pombe zinazoingizwa nchini. Akitoa majibu bungeni...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Na Comrade Christopher H.Bomola Mwanafalsafa Rosalynn Carter alipata kusema "kiongozi ni mtu anayewaongoza watu na kuwafikisha wanapotaka kwenda,lakini kiongozi bora ni yule anayewaongoza watu na...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki hii kumekuwa na delays nyingi sana za ndege za ATCL.hii inasabibsha usumbufu sana sana. Ushari wa bure,kama una ticket ya ATCL,Saa ya kuondoka haina uhakika.Yaani ni kama treni ya kwenda...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo. Mara ya mwisho...
13 Reactions
78 Replies
8K Views
Kuanzia leo nitawapinga wote wanaopinga UFISADI na MAFISADI kwani mafisadi wamekuwa ndio waajiri wetu kwa sasa. Kutokana na ufisadi na mafisadi Kuongezeka na upigaji wa pesa ya Umma kuwa mkubwa...
9 Reactions
24 Replies
2K Views
Je, tuseme Tanzania tuna pesa nyingi ambazo hazina matumizi yoyote ?
0 Reactions
60 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kukubalika ,kupendwa na kuungwa mkono kwa Rais Samia kutoka jumuiya ya Wanamichezo kumewachanganya na kuwavuruga Akili wapinzani hapa nchini,Sasa wapinzani...
2 Reactions
49 Replies
2K Views
Umejishtukia au? Wana Simba SC Msimamo Wetu ni ule ule kwa Kutuchukia Kwako na Kutupenda Kinafiki leo Ikulu Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025 hutopata Kura zetu wana Simba.
3 Reactions
18 Replies
2K Views
KUMSIFIA RAIS SAMIA KILA USIMAMAPO MBELE YAKE SIO KOSA; HAIKUANZA LEO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kumtukuza Rais, kumsifu na kumlambalamba miguu, kumpangusa pangusa na kitambaa...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Habarini wadau, Nakiwa katikati ya jiji la Dar es salaam kitovu cha biashara Tanzania. Leo tumeshuhudia mvua kubwa sana isiyokatika. Jambo moja lililonifurahisha ni kuwa pamoja na mvua hii yote...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Kila binadamu angeachwa aenende kwa Kipaji na Karama aliyojaliwa na Mwenyezi Mungu basi duniani pangekuwa mahali pa Heri na hakuna mtu angetamani Kumtawala mwenzake Ndio ikaletwa Siasa Ili...
0 Reactions
1 Replies
820 Views
Mbunge wa Viti Maalum Vijana Taifa, Mhe. Juliana Didas Masaburi katika kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni Jijini Dodoma amehoji Wizara ya Nishati kuhusu utekelezaji wa Miradi ya REA III awamu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Updates: Video imeambatanishwa . . . Mbunge wa Ngara (CCM) Ndaisaba Ruhoro anadaiwa kulazimisha picha zake zibandikwe maeneo yenye mkusanyiko wa watu ndani ya jimbo huku baadhi ya watu wakihoii...
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Huwa naamini watawala nchi hii ni wanufaikaji kwa sbabu la sivyo haya mambo yangeisha kuwa Historia kitambo sana, Urasimu huu una manufaaa kwa utawala sema hatuambiwi. Taasisi zote za Serikali...
1 Reactions
1 Replies
805 Views
Je huko Ikulu Raisi amegusia viwanja vya michezo kwa watoto vilivyo badilishiwa matumizi na kuuzwa? Niko mbali sana na news. Mapinduzi ya Michezo huanza na kuwa pia na maeneo mazuri ya kuchezea...
0 Reactions
6 Replies
919 Views
Hii nchi aibu huwa naona mimi, huu unafiki wa kujipendekeza kwa wanasiasa kamwe Mpira wetu hautakuja kuendelea. Yaani huyu injinia uchwara Hersi anahojiwa kutoa maoni lakini ajabu maneno yote...
36 Reactions
99 Replies
7K Views
Tuache siasa za chuki, kama sijakupa kura mwaka huu isiwe sababu ya kutoleta huduma muhimu kwangu. Kumbuka Maendeleo yanaletwa na kodi zetu na sio siasa za chuki, Wabunge na Madiwani acheni siasa...
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Taarifa kutoka ndani ya TAKUKURU zinadai kuwa taasisi hiyo imefungua jalada la uchunguzi wa tuhuma kuwa Waziri wa Nishati, January Makamba, alitoa rushwa kwa wabunge ili wapitishe bajeti ya wizara...
9 Reactions
56 Replies
6K Views
Kujenga Mfugale Fyover sasa imedhihirika kuwa haijatatua msongamano mkubwa wa magari. Tatizo ni junction ya Buguruni/Mandela/Vingunguti roads. Naamini Wizara ya Ujenzi kupitia TANROADS in...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Nchi hii imejaa maigizo mengi sana, nikitafakari mantiki ya Rais Samia kukutana na yanga nashindwa kuelewa. Ingekuwa timu ya Taifa hilo nisingeshangaa lakini pia hizi timu zinaonekana zimeanza...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom