TANROADS, Buguruni junction inatutesa

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,315
24,177
20230605_091518.jpg

Kujenga Mfugale Fyover sasa imedhihirika kuwa haijatatua msongamano mkubwa wa magari.
Tatizo ni junction ya Buguruni/Mandela/Vingunguti roads.
Naamini Wizara ya Ujenzi kupitia TANROADS in wahandisi wa kutosha kubuni(design) Interchange ya kuondoa kero hii amnayo sasa imekithiri.

Kwa sasa hivi malori toka na kwenda bandarini, unaweza kaa masaa mawili kwenye foleni.

Kwa maendeleo ya kiuchumi, hili halikubaliki.
 
Tanroads washughulikie barabara kuu tu, hii barabara inatakiwa iwe chini ya Halmashauri ya jiji, Tanroads ni linesman likubwa mno Sawa na TRA, matokeo yake linashindwa kuwa kila sehemu
 
Tanroads washughulikie barabara kuu tu, hii barabara inatakiwa iwe chini ya Halmashauri ya jiji, Tanroads ni linesman likubwa mno Sawa na TRA, matokeo yake linashindwa kuwa kila sehemu
Mkuu jiridhishe kwamba katika nchi hii barabara kbwa kuliko zote na iliyo busy kuliko barabara yoyote nchini , ni kipande hiki cha Mandela Rd pale Buguruni.
Kipande hiki kina athari kubwa kwa uchumi wa nchi.
 
Tanroads kwa nini wasijikite kwenye barabara ya Mbezi-malamba mawili, to majumba Sita_barabara ya jeti corner_ Buza-mbagala road hadi mandela road Ile malori ya kuingia na kutoka port yapitie huko???
 
Tanroads washughulikie barabara kuu tu, hii barabara inatakiwa iwe chini ya Halmashauri ya jiji, Tanroads ni linesman likubwa mno Sawa na TRA, matokeo yake linashindwa kuwa kila sehemu
Hiyo ni barabara kuu inayotoa mizigo bandarini na inayoenda kuunga Morogoro road
 
Hiyo ni barabara kuu inayotoa mizigo bandarini na inayoenda kuunga Morogoro road
Na hapo ndio nawashangaa WIZARA YA UJENZI NA MAWASILIANO.
Katika barabara hii nawapa weledi sifuri, maana hata solution ya tatizo hili kwa miaka sasa hakuna.
Pamoja na maboresho ya bandari, kwenye kuhakikisha mizigo inaondoka bandarini, kufikiri kwa maafisa wa Wizara kulishafikia mwisho.
 
Na hapo ndio nawashangaa WIZARA YA UJENZI NA MAWASILIANO.
Katika barabara hii nawapa weledi sifuri, maana hata solution ya tatizo hili kwa miaka sasa hakuna.
Pamoja na maboresho ya bandari, kwenye kuhakikisha mizigo inaondoka bandarini, kufikiri kwa maafisa wa Wizara kulishafikia mwisho.
nasikia mwendokasi utakatisha apo unaoenda Gongolamboto kutokea Rozana, so wanaweza kupanua au kubana zaidi, mana sasa zipo njia2 na mwndokasi haijawahi kuongeza njia bari kuzibana zile zilizopo
 
Hiyo ni barabara kuu inayotoa mizigo bandarini na inayoenda kuunga Morogoro road
Sawa mkuu, sishangai sana kupata jibu kama hili, Tanzania kuna kona tulikosea ,maana hata kuzitofautisha barabara ni shida, eti ni barabara kuu sababu ya mizigo kutoka bandarini!!!
 
Sawa mkuu, sishangai sana kupata jibu kama hili, Tanzania kuna kona tulikosea ,maana hata kuzitofautisha barabara ni shida, eti ni barabara kuu sababu ya mizigo kutoka bandarini!!!
basi tuite barabara ya mtaa, ufurahi. Kwenye jiji kama Dar barabara kuu sio zile zinazoingia na kutoka jijini, bari hata hizi za ndani nazo kuna zenye sifa hizo japo si zote.
 
Back
Top Bottom