BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,119
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa wizara imepokea wazo la Mbunge wa Momba, Condester Sichalwe la kuongeza kodi kwenye pombe zinazoingizwa nchini.
Akitoa majibu bungeni jijini Dodoma Waziri Mwigulu amesema kuwa wizara imepokea pendekezo hilo, italiafanyia kazi na kutoa majibu wakati wa bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024.
Akitoa mchango huo Sichwale alihoji kwanini Serikali isiongeze kodi kwenye pombe zinazoingizwa nchini ili kulinda pombe zinazozalishwa na wananchi kama Gongo, huku akiitaka Serikali kuweka utaratibu utakaowezesha kurasimisha pombe hizo.
Akitoa majibu bungeni jijini Dodoma Waziri Mwigulu amesema kuwa wizara imepokea pendekezo hilo, italiafanyia kazi na kutoa majibu wakati wa bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2023/2024.
Akitoa mchango huo Sichwale alihoji kwanini Serikali isiongeze kodi kwenye pombe zinazoingizwa nchini ili kulinda pombe zinazozalishwa na wananchi kama Gongo, huku akiitaka Serikali kuweka utaratibu utakaowezesha kurasimisha pombe hizo.