Suala la Rais Samia kutoa pesa na ndege kwa timu kusafiria ni kwa gharama ya nani?

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,568
Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.

Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.

Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?

Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.

Pia soma: GOLI LA MAMA: Rais Samia kununua kila goli Tsh. Milioni 5 mechi za Simba, Yanga CAF
 
Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.
Hapa msemaji wa Samia ni nani?

Halafu mwanaume kumuonea wivu mwanamke ni tabia za kifala.

Kama una uchungu na pesa za nchi nenda bungeni uone January Makamba anavyowahonga wabunge kupitisha bajeti yake.

Hamtaki kuwa serious kwenye vitu vya msingi kazi majungu tu, pumbavu kabisa.
 
Habari ndugu zangu,

Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.

Mara ya mwisho nimeona Rais Samia akitoa ndege ya Timu ya Yanga kusafiri mpaka Algeria na kuwarudisha Tanzania.

Jambo hii japo linazua maswali lakini nikalichukulia sawa kwa sababu ni timu zilizokuwa zinaiwakilisha nchi, kwa namna fulani suala la utaufa lilihusika.

Leo hii nimeona Rais wa Yanga Injinia Hersi akisema kwamba Rais Samia ametoa ndege kwa Yanga kwenda Mbeya kumalizia michezo yao ya ligi kuu dhidi ya timu za mkoa huo. Soma: Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Je, hizi hela zinatoka kwenye mfuko gani? Je ni sawa Rais kufanya hayo? Na je kama suala ni kupata chakula cha jioni na timu hiyo kwanini asisubiri timu hiyo irejee kutoka Mbeya ili asiingie kutumia ndege ya nchi kuisafirisha timu katika michuano ambayo si ya kimataifa?

Naombeni ufafanuzi mnaojua, natamani kuelewa hili.
Ulicho sema ni Sawa kwamba timu iende irudi ndiyo ialikwe Ikulu, lakini yeye kaona muda sahihi ni huu jambo lingali Bado lipo kwenye akili za wengi kabla halijapoa. Pesa na gharama ni za serikali( Kodi za Watanzania).
Hakuna ubishi yanga imeleta heshima Tanzania hasa katika sports tourism. Kwa hiyo serikali imeona kwa heshima hii ya nchi nasi tuwatie moyo kwa kuiwakilisha bendera ya nchi vizuri.
 
Hapa msemaji wa Samia ni nani?

Halafu mwanaume kumuonea wivu mwanamke ni tabia za kifala.

Kama una uchungu na pesa za nchi nenda bungeni uone January Makamba anavyowahonga wabunge kupitisha bajeti yake.

Hamtaki kuwa serious kwenye vitu vya msingi kazi majungu tu, pumbavu kabisa.
Wacha wee!January kawahonga shilingi ngapingapi tena hao mamjamaa?
 
Ukitaka kila kitu kukichukulia serious kwenye hii nchi, utakufa kabla ya siku zako.

Ni kweli una hoja ya msingi! Ila usisahau kuna mabilioni ya shilingi kila siku yanatapanywa hovyo na serikali ya ccm, lakini hatuoni ukilalamika?
 
Kwa gharama yangu mimi na wewe. Kwani Kuna shida kuchangia timu ya wananchi, ukiijua historia ya Yanga huwezi kuumiza kichwa
Kuna wapumbavu wengi sana hapa JF, Mara nyingi tumewaeleza wazi Simba na Yanga ni timu za serikali lakini hawataki kuelewa, hao Wafanyabiashara unaowaona hapo wamepewa kuziendesha tu na ndio maana hakuna mchakato wa timu hizo eti kumilikiwa na mwekezaji utakaofanikiwa.

Mo Dewji alikuwa hajui huu ukweli lakini baada ya kuujuwa ukweli amekuwa Mpole na mchakato ndio umefia hapo labda serikali iamuwe yenyewe kuziachia hizo timu.

Jengo la Yanga limejengwa na Karume na jengo la Simba limejengwa na Karume.

Simba maana yake ni Radhid Kawawa Simba wa Vita, Sunderland ndio ilikuwa timu ya Waarabu serikali ikawapora.

Kuna watu humu ni washamba sana, kujifanya wajuwaji wakati hawajui lolote.

Kama una akili timamu angalia bodi ya wadhamini ya hizo timu wamewekwa watu gani?
 
Kuna wapumbavu wengi sana hapa JF, Mara nyingi tumewaeleza wazi Simba na Yanga ni timu za serikali lakini hawataki kuelewa, hao Wafanyabiashara unaowaona hapo wamepewa kuziendesha tu na ndio maana hakuna mchakato wa timu hizo eti kumilikiwa na mwekezaji utakaofanikiwa.

Mo Dewji alikuwa hajui huu ukweli lakini baada ya kuujuwa ukweli amekuwa Mpole na mchakato ndio umefia hapo labda serikali iamuwe yenyewe kuziachia hizo timu.

Jengo la Yanga limejengwa na Karume na jengo la Simba limejengwa na Karume.

Simba maana yake ni Radhid Kawawa Simba wa Vita, Sunderland ndio ilikuwa timu ya Waarabu serikali ikawapora.

Kuna watu humu ni washamba sana, kujifanya wajuwaji wakati hawajui lolote.

Kama una akili timamu angalia bodi ya wadhamini ya hizo timu wamewekwa watu gani?
Yap.. Zipo ili kuendelea kuwafanya watz mataahira wa kudai haki zao kwa kubuy time kushabikia mpira
 
Ukitaka kila kitu kukichukulia serious kwenye hii nchi, utakufa kabla ya siku zako.

Ni kweli una hoja ya msingi! Ila usisahau kuna mabilioni ya shilingi kila siku yanatapanywa hovyo na serikali ya ccm, lakini hatuoni ukilalamika?
Sioni kosa la mtoa mada, ana haki ya kusikilizwa Kwa kuwa mshahara wa Samia haufikii gharama za kuchukua ndege kusafirisha hizi timu na tambua yanga sio taifa stars hii ni club ipo kibiashara.

Usimfosi ahoji pesa za escrow na Richmond una uhakika gn huwa hahoji? Tusimpangie PA kuhoji mtoa mada
 
Back
Top Bottom