Hongereni sana TANESCO

Hongereni sana TANESCO

singojr

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2014
Posts
5,314
Reaction score
6,896
Habarini wadau,

Nakiwa katikati ya jiji la Dar es salaam kitovu cha biashara Tanzania. Leo tumeshuhudia mvua kubwa sana isiyokatika.

Jambo moja lililonifurahisha ni kuwa pamoja na mvua hii yote umeme upo stable na haujakatika kitu ambacho kwa zamani ilikuwa ndoto.

Ilikuwa mvua ikianza tu sahau umeme mpaka mvua ikatike. Mvua ikiaanza kaa mbali na nguzo za umeme maana zinaanguka kama majani kwenye mti. Nikatafakari kidogo ni nini kimebadilika, nikakumbuka kuna waziri alisema tuwe na subira kuna matengenezo yanafanyika.

Wengi tulilalamika kuhusu bajeti na kusema kuna upigaji sasa kwenye hali kama hizi ndo tunaona umuhimu wake.

Tuwape maua yao.
 
Habarini wadau,

Nakiwa katikati ya jiji la Dar es salaam kitovu cha biashara Tanzania. Leo tumeshuhudia mvua kubwa sana isiyokatika.

Jambo moja lililonifurahisha ni kuwa pamoja na mvua hii yote umeme upo stable na haujakatika kitu ambacho kwa zamani ilikuwa ndoto.

Ilikuwa mvua ikianza tu sahau umeme mpaka mvua ikatike. Mvua ikiaanza kaa mbali na nguzo za umeme maana zinaanguka kama majani kwenye mti. Nikatafakari kidogo ni nini kimebadilika, nikakumbuka kuna waziri alisema tuwe na subira kuna matengenezo yanafanyika.

Wengi tulilalamika kuhusu bajeti na kusema kuna upigaji sasa kwenye hali kama hizi ndo tunaona umuhimu wake.

Tuwape maua yao.
Ww kama sio January ni mchepuko au chawa wake. Kamwambie January hujatukuta.
 
Habarini wadau,

Nakiwa katikati ya jiji la Dar es salaam kitovu cha biashara Tanzania. Leo tumeshuhudia mvua kubwa sana isiyokatika.

Jambo moja lililonifurahisha ni kuwa pamoja na mvua hii yote umeme upo stable na haujakatika kitu ambacho kwa zamani ilikuwa ndoto.

Ilikuwa mvua ikianza tu sahau umeme mpaka mvua ikatike. Mvua ikiaanza kaa mbali na nguzo za umeme maana zinaanguka kama majani kwenye mti. Nikatafakari kidogo ni nini kimebadilika, nikakumbuka kuna waziri alisema tuwe na subira kuna matengenezo yanafanyika.

Wengi tulilalamika kuhusu bajeti na kusema kuna upigaji sasa kwenye hali kama hizi ndo tunaona umuhimu wake.

Tuwape maua yao.

Mara nyingi kama hakuna upepo umeme haukatiki.
 
Dahhh, umekatika mara mbili mchikichini, sema haikukawia sana mara ya kwanza kama nusu saa na mara ya pili kama lisaa limoja hivi
 
Wengi tulilalamika kuhusu bajeti na kusema kuna upigaji sasa kwenye hali kama hizi ndo tunaona umuhimu wake
Kwa hiyo bajeti ya juzi ndo imetengeza stability ya umeme leo? Dah Mungu tusaidie waja wako!!!
 
Ukimsikiriza maharage unaona kabisa kuna kitu kinafanyika.
Tuendelee kuwapa muda tuone Kama watatufikisha kwenye umeme wa uhakika kwa nchi nzima
 
Kidogo mimi nina mtazamo tofauti, Tanesco hawastahili kupongezwa kwasababu umeme kua stable ni jukumu lao la msingi.
Lakini pia kuanguka kwa nguzo ilikua ni uzembe tu, hivyo kikawaida mtu anapo tekeleza wajibu wake hiyo ni kitu ya kawaida sana.
 
Habarini wadau,

Nakiwa katikati ya jiji la Dar es salaam kitovu cha biashara Tanzania. Leo tumeshuhudia mvua kubwa sana isiyokatika.

Jambo moja lililonifurahisha ni kuwa pamoja na mvua hii yote umeme upo stable na haujakatika kitu ambacho kwa zamani ilikuwa ndoto.

Ilikuwa mvua ikianza tu sahau umeme mpaka mvua ikatike. Mvua ikiaanza kaa mbali na nguzo za umeme maana zinaanguka kama majani kwenye mti. Nikatafakari kidogo ni nini kimebadilika, nikakumbuka kuna waziri alisema tuwe na subira kuna matengenezo yanafanyika.

Wengi tulilalamika kuhusu bajeti na kusema kuna upigaji sasa kwenye hali kama hizi ndo tunaona umuhimu wake.

Tuwape maua yao.

Mvua haikuwa kubwa yenye radi, ila imenyesha mda mrefu, mvua ikiwa kubwa na radi zikawepo, kiasi cha kutishia usalama, popote duniani umeme utazimwa, na sio unakatika unazimwa.
 
Back
Top Bottom