Kumbe kuwa na Mafisadi kunasaidia sana Mzunguko wa Pesa kuwepo Mitaani

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,294
Kuanzia leo nitawapinga wote wanaopinga UFISADI na MAFISADI kwani mafisadi wamekuwa ndio waajiri wetu kwa sasa.

Kutokana na ufisadi na mafisadi Kuongezeka na upigaji wa pesa ya Umma kuwa mkubwa. Ushahidi ripoti ya CAG. Mzunguko wa fedha umeongezeka Mitaani.

Kutokana na ufisadi huo Mafisadi Wamekuwa na miradi mingi na wamefungua biashara nyingi kiasi ambacho wamezitawanya fedha zao mitaani kwenye miradi yao na kuongeza Mzunguko wa Fedha.

Mafisadi wanajenga majumba, Mafundi mbalimbali tumepata kazi za kuwajengea Mafisadi wamefungua Viwanda, Wananchi tumeajiriwa.

Mafisadi wamenunua magari, Malori Mabasi, Daladala, Bodaboda, Bajaji, Madereva tumepata ajira ili mradi Wananchi tupo busy na Shughuli za Mafisadi.

Ufisadi umekuwa mkombozi kwa sisi Watu wa Chini ili mradi uwe na Ujuzi na nguvu zako.
 
Kuanzia leo nitawapinga wote wanaopinga UFISADI na MAFISADI kwani MAFISADI Wamekuwa ndio Waajiri wetu kwa sasa.Kutokana na UFISADI na MAFISADI Kuongezeka na UPIGAJI wa PESA ya UMMA kuwa MKUBWA Ushahidi REPORT ya CAG Mzunguko wa FEDHA umeongezeka Mitaani.
Kutokana na UFISADI huo Mafisadi Wamekuwa na MIRADI mingi na wamefungua BIASHARA nyingi kiasi ambacho wamezitawanya FEDHA zao MITAANI kwenye MIRADI yao na kuongeza Mzunguko wa Fedha.
MAFISADI wanajenga MAJUMBA Mafundi mbalimbali tumepata kazi za kuwajengea Mafisadi wamefungua VIWANDA Wananchi tumeajiriwa Mafisadi Wamenunua MAGARI Malori Mabus Daladala Bodaboda Bajaji Madereva tumepata Ajira ili mradi Wananchi tupo busy na Shughuli za Mafisadi.
UFISADI umekuwa mkombozi kwa Sisi Watu wa Chini ili mradi uwe na Ujuzi na nguvu zako.
Mkuu kula like ! Japo ni wachache sana watakwelewa.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Kuanzia leo nitawapinga wote wanaopinga UFISADI na MAFISADI kwani mafisadi wamekuwa ndio waajiri wetu kwa sasa.

Kutokana na ufisadi na mafisadi Kuongezeka na upigaji wa pesa ya Umma kuwa mkubwa. Ushahidi ripoti ya CAG. Mzunguko wa fedha umeongezeka Mitaani.

Kutokana na ufisadi huo Mafisadi Wamekuwa na miradi mingi na wamefungua biashara nyingi kiasi ambacho wamezitawanya fedha zao mitaani kwenye miradi yao na kuongeza Mzunguko wa Fedha.

Mafisadi wanajenga majumba, Mafundi mbalimbali tumepata kazi za kuwajengea Mafisadi wamefungua Viwanda, Wananchi tumeajiriwa.

Mafisadi wamenunua magari, Malori Mabasi, Daladala, Bodaboda, Bajaji, Madereva tumepata ajira ili mradi Wananchi tupo busy na Shughuli za Mafisadi.

Ufisadi umekuwa mkombozi kwa sisi Watu wa Chini ili mradi uwe na Ujuzi na nguvu zako.
Mkuu unajielewa kweli? Unajua mafisadi na ufisadi ndo sababu kuu za nchi kutoendelea na wananchi wake kuwa maskini?

Fikiria matrillion yaliyoibwa nchini na yanayoendelea kuibwa na wachache yangetumika vizuri.
 
Dhambi hiyo ndo imemfanya hata Mungu akae kimya juu ya nchi yetu

Tunapanda pa kubwa na kuvuna vichache,

Fisadi anaiba, pesa inakuja kwa wananchi, wananchi wanafanya ZAKA na kuipeleka madhabahuni

Mlolongo wote wa namna pesa inapatikana, ni ya wizi! Nchi nzima inakuwa ya majambazi mbele ya Mola wao

Mvua zinakosekana na ama zinaleta maafa,

Mbegu katika aridhi zinaliwa na madumadu, palale na nzige!

Njaa inakuwa rafiki wa nchi yote kwa sababu ya hiyo laana!

Ufisadi nitaendelea kuupinga kwa nguvu zote na jamii ijue, hakuna maendeleo kwenye njia ya shortcut

Maendeleo ni kuitumia akili mtu aliyopewa na kwa kufanya kazi na siyo njia za laana

Mungu, piga hao mafisadi
 
Mkuu unajielewa kweli? Unajua mafisadi na ufisadi ndo sababu kuu za nchi kutoendelea na wananchi wake kuwa maskini?

Fikiria matrillion yaliyoibwa nchini na yanayoendelea kuibwa na wachache yangetumika vizuri.
WALIOIBA NI WATUMISHI HAWANA UJANJA WA KUYAFICHA NJE YA NCHI NDIO HAO WANAJENGA MAGHOROFA WANANUNUA MALORI NA MABUS TUNAPA AJIRA
 
Kuanzia leo nitawapinga wote wanaopinga UFISADI na MAFISADI kwani mafisadi wamekuwa ndio waajiri wetu kwa sasa.

Kutokana na ufisadi na mafisadi Kuongezeka na upigaji wa pesa ya Umma kuwa mkubwa. Ushahidi ripoti ya CAG. Mzunguko wa fedha umeongezeka Mitaani.

Kutokana na ufisadi huo Mafisadi Wamekuwa na miradi mingi na wamefungua biashara nyingi kiasi ambacho wamezitawanya fedha zao mitaani kwenye miradi yao na kuongeza Mzunguko wa Fedha.

Mafisadi wanajenga majumba, Mafundi mbalimbali tumepata kazi za kuwajengea Mafisadi wamefungua Viwanda, Wananchi tumeajiriwa.

Mafisadi wamenunua magari, Malori Mabasi, Daladala, Bodaboda, Bajaji, Madereva tumepata ajira ili mradi Wananchi tupo busy na Shughuli za Mafisadi.

Ufisadi umekuwa mkombozi kwa sisi Watu wa Chini ili mradi uwe na Ujuzi na nguvu zako.
Maana nchi haitakaa iendendelee ,ww unakusanya kodi halafu unakuja kuzitapanya kwa mafisadi ,kuna uchumi wa aina hiyo
 
jitu linapiga mabillioni pesa ya umma linajenga hoteli nyota tano alafu anaajili watu ishilini tena kwa masharti kama ni wanawake wawe pisikali wakati izo pesa zingeboresha hospitali na shule kwenye mamilioni ya watu..
 
Kuanzia leo nitawapinga wote wanaopinga UFISADI na MAFISADI kwani mafisadi wamekuwa ndio waajiri wetu kwa sasa.

Kutokana na ufisadi na mafisadi Kuongezeka na upigaji wa pesa ya Umma kuwa mkubwa. Ushahidi ripoti ya CAG. Mzunguko wa fedha umeongezeka Mitaani.

Kutokana na ufisadi huo Mafisadi Wamekuwa na miradi mingi na wamefungua biashara nyingi kiasi ambacho wamezitawanya fedha zao mitaani kwenye miradi yao na kuongeza Mzunguko wa Fedha.

Mafisadi wanajenga majumba, Mafundi mbalimbali tumepata kazi za kuwajengea Mafisadi wamefungua Viwanda, Wananchi tumeajiriwa.

Mafisadi wamenunua magari, Malori Mabasi, Daladala, Bodaboda, Bajaji, Madereva tumepata ajira ili mradi Wananchi tupo busy na Shughuli za Mafisadi.

Ufisadi umekuwa mkombozi kwa sisi Watu wa Chini ili mradi uwe na Ujuzi na nguvu zako.
Kwani ni uongo? Sio tuu Mafisadi Hadi wauza ngada ,Nchi nyingi ndio maana Zina practice Leiz afair badala ya totala authoritarian kwenye uchumi
 
Maana nchi haitakaa iendendelee ,ww unakusanya kodi halafu unakuja kuzitapanya kwa mafisadi ,kuna uchumi wa aina hiyo
Kwani kipi kimesimama? Harafu nyie ni wajinga sana staili ya wizi wa Sasa sio kama ya zamani eg Serikali inataka kununua ndege dalali lazima atoe chochote Ili apate tender,wizi wa hivi unaathiri ushindani tuu ila haukuayhiri Moja kwa Moja..
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom