Deghe Mangae
Senior Member
- Mar 3, 2020
- 171
- 152
Tuache siasa za chuki, kama sijakupa kura mwaka huu isiwe sababu ya kutoleta huduma muhimu kwangu.
Kumbuka Maendeleo yanaletwa na kodi zetu na sio siasa za chuki, Wabunge na Madiwani acheni siasa za chuki kodi zetu ndo zinaleta maendeleo.
Unatakiwa ujitathimini kwa nini sijakupa kura ikibidi njoo kwangu uniulize kwanini hatujakupa Kura ili tukueleze mapungufu yako na sio kuwekeana bifu.
Kumbuka Maendeleo yanaletwa na kodi zetu na sio siasa za chuki, Wabunge na Madiwani acheni siasa za chuki kodi zetu ndo zinaleta maendeleo.
Unatakiwa ujitathimini kwa nini sijakupa kura ikibidi njoo kwangu uniulize kwanini hatujakupa Kura ili tukueleze mapungufu yako na sio kuwekeana bifu.