Ifike wakati Serikali iachane na kufanya biashara make huu ni ujamaa na ushakuwa proved haiwezekani zaidi ya upigaji.
Kwa taarifa zaidi soma hapa >> Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na...
Wanabodi,
Hii ni makala iliitumwa kwangu na ndugu yangu Aboubakar Liongo kuhusu "Collective Imbecilization ya Profesa Chachage"
FEB 16, 2017 by JENERALI ULIMWENGU in MAKALA
HAYATI Chachage...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye amewasili mkoani Arusha kwa ziara ya kikazi ambapo ataongoza maadhimisho siku ya Kimataifa ya kupiga vita dawa za...
Zitto anasema IGA ni sawa na karatasi ya kufungia vitumbua, je anajua uzito wa IGA?
Kwamsiojua Intergovernmental Agreement tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni KATIBA YA NCHI...
Mkoa wa Morogoro ni mmoja wa Mkoa wenye uzalishaji mkubwa wa mazao yakiwemo mazao ya ufuta.
Ni takribani miaka mitatu sasa Wizara ya Kilimo, Wizara ya Fedha na Mipango, na Wizara ya Viwanda na...
KIKAO CHA KAMATI YA UTEKELEZAJI UVCCM TAIFA
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohamed Ali Kawaida (MCC) @comrade_kawaida Kuongoza Kikao cha Kamati ya...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TUHUMA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI KWAMBA WAGONJWA WENGI WANAPOTEZA MAISHA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI-MLOGANZILA.
Dar es Salaam. 06 Januari, 2020
Kumekuwa na...
Hapo vip!
Na nimeuliza hivyo kwasababu mtu mmoja anaweza kutumia mgogo wa serikali kupitisha mikataba yenye maslahi yake na vibaraka wenzake na sio ya wananchi kwa ujumla.
Kwasababu maslahi ya...
Hongera Serikali na hongera Waziri wa Fedha,Sasa kazi ianze
--
Bunge la Tanzania leo limepitisha bajeti kuu ya Serikali kwa 95% ambayo ni sawa na kura 354 za Wabunge.Hii leo Wabunge waliokuwa...
Ndugu zangu Watanzania wakati umefika sasa tuelezane ukweli kuhusu ujinga na dhana yetu ya kuichukulia 'poa' Kigali tukijidanganya kwa mambo mengi na ya kipuuzi.
Miongoni mwetu bado tunaidharau...
Uzuri wa Komredi Polepole alikuwa na Uthubutu wa kutetea jambo Bila kuchoka kwa maslahi ya Nchi na Chama huku maslahi Binafsi akiyaweka mwishoni Kanisa
Lakini sasa CCM, UVCCM na hata UWT wako...
My Take
Chadema wameanza kumuelewa Rais Samia baada ya wabunge wao wawili Nusrati Hanje na Salome Makamba Kupiga Kura ya ndio wakati wa azimio la Kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali.
Kupinga Kila...
Kiukweli DP World kumilikiwa na Waarabu haimaanishi hao Waarabu ni swala 5 au wale Siasa kali ambao Wagalatia huwaita Walokole
Dubai ni mji wa starehe na Watu wake ni Wala bata wakubwa hakuna...
Kuna haya masuala 2 yanamuweka rais Samia njia panda ktk nia yake ya kusaka kipindi cha pili cha urais.
1. Kubinafsisha bandari.
2. Kupiga marufuku uuzaji wa mazao nje ya nchi.
Ikumbukwe kauli...
MBUNGE CONDENSTER SICHALWE AIBANA WIZARA YA NISHATI KUFIKISHA UMEME VIJIJI 20 VILIVYOSALIA JIMBO LA MOMBA
"Je, Serikali ina mpango gani wa kukamilisha zoezi la kuwasha umeme kwenye Vijiji...
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Nurdin Babu kwa maelekezo ya Waziri wa Kilimo Bw. Bashe.
Bila shaka amri hii inatokana na zuio la Rais Samia kuzuia kuuza chakula nje ya...
Yaani kuna wakati najiuliza Sababu za Lowassa kukataliwa na CCM kuingia kwenye kinyang'anyiro 2015 nashindwa kuzipata
Namsikiliza Hapa Dr Mwigullu PhD nashindwa kuelewa Kwanini Rostam Aziz...
SERIKALI ITENGE MAENEO MAALUM KWA AJILI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI ILI KUONDOA MIGOGORO YA HIFADHI
"Nchi zilizoendelea mfano Afrika ya Kusini, Durban ni sehemu inayohusika na viwanda tu...
Sijaelewa kama mikataba yote ya serikali inapelekwa Bungeni sielewi Kabisa.
Nauliza kama haya makubaliano sio muhimu kama ambavyo Msigwa unataka kutuaminisha Kwa Nini yalipelekwa Kwa wapiga...
Mama Samia kanyaga twende! Wtz hawakujua maana ya vyama vingi wakavikataa lakini Nyerere kwa uzoefu wake akasema vyama vingi ni muhimu na matunda yake tunayaona, kwahiyo akina Mbowe wajue kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.