ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,051
- 49,735
My Take
Chadema wameanza kumuelewa Rais Samia baada ya wabunge wao wawili Nusrati Hanje na Salome Makamba Kupiga Kura ya ndio wakati wa azimio la Kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali.
Kupinga Kila kitu ni Ujinga.
======
WABUNGE 354 wakiwemo wa Viti Maalum Nusrati Hanje na Salome Makamba wamepiga kura ya Ndiyo wakati Bunge likiidhinisha Bajeti Kuu ya Mwaka 2023/24 iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Wabunge wengine 20 akiwemo Halima Mdee walipiga kura ya kutokuwa na maamuzi (abstain) huku hakuna aliyepiga kura ya hapana.Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson ametangaza kuwa Bunge limeidhinisha Bajeti ya Serikali kwa asilimia 95 ya Wabunge wote waliopiga kura.
Chadema wameanza kumuelewa Rais Samia baada ya wabunge wao wawili Nusrati Hanje na Salome Makamba Kupiga Kura ya ndio wakati wa azimio la Kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali.
Kupinga Kila kitu ni Ujinga.
======
WABUNGE 354 wakiwemo wa Viti Maalum Nusrati Hanje na Salome Makamba wamepiga kura ya Ndiyo wakati Bunge likiidhinisha Bajeti Kuu ya Mwaka 2023/24 iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba.
Wabunge wengine 20 akiwemo Halima Mdee walipiga kura ya kutokuwa na maamuzi (abstain) huku hakuna aliyepiga kura ya hapana.Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson ametangaza kuwa Bunge limeidhinisha Bajeti ya Serikali kwa asilimia 95 ya Wabunge wote waliopiga kura.