johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,115
Yaani kuna wakati najiuliza Sababu za Lowassa kukataliwa na CCM kuingia kwenye kinyang'anyiro 2015 nashindwa kuzipata
Namsikiliza Hapa Dr Mwigullu PhD nashindwa kuelewa Kwanini Rostam Aziz hakupata uteuzi wa Uwaziri wa Fedha alipokuwa Mbunge wa Igunga
Nayaona maono ya Akina Laigwanani na Aziz ndio yanashangiliwa sana sasa
Mungu wa mbinguni atusaidie!
Namsikiliza Hapa Dr Mwigullu PhD nashindwa kuelewa Kwanini Rostam Aziz hakupata uteuzi wa Uwaziri wa Fedha alipokuwa Mbunge wa Igunga
Nayaona maono ya Akina Laigwanani na Aziz ndio yanashangiliwa sana sasa
Mungu wa mbinguni atusaidie!