Bunge lapitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa 95%

Bunge lapitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa 95%

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
82,434
Reaction score
88,520
Hongera Serikali na hongera Waziri wa Fedha,Sasa kazi ianze

--
Bunge la Tanzania leo limepitisha bajeti kuu ya Serikali kwa 95% ambayo ni sawa na kura 354 za Wabunge.Hii leo Wabunge waliokuwa bungeni ni 374, 18 hawakuwepo bungeni, ukimuondoa Spika, na kura za ndio ni 354, kura za hapana 0 na 20 ni kura zisizokuwa za uamuzi.

 
Hakuna Cha ajabu,bunge la ccm halijawahi kugoma kupitisha bajeti ya serikali,
Bongo hakuna bunge Kuna serikali TU,inayojubadilisha kuwa bunge na mahakama,
Mburukenge watupu.
Kwani kugoma ni sifa njema siku hizi?
 
Basi mafuta ya petrol na diesel au unatumia ungo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani tulinunua wakati bei ni kubwa na Serikali inaweka ruzuku iwe Sasa hivi ambapo bei ni ndogo na hata ikiwekwa hiyo 100 haitafikiwa zile bei za kipindi,na Kwa Kwa taarifa Yako hakuna mahala nauli itapanda.
 
Hongera Serikali na hongera Waziri wa Fedha,Sasa kazi ianze

--
Bunge la Tanzania leo limepitisha bajeti kuu ya Serikali kwa 95% ambayo ni sawa na kura 354 za Wabunge.Hii leo Wabunge waliokuwa bungeni ni 374 ,18 hawakuwepo bungeni, ukimuondoa Spika, na kura za ndio ni 354, kura za hapana 0 na 20 ni kura zisizokuwa za uamuzi.
 
Hongera Serikali na hongera Waziri wa Fedha,Sasa kazi ianze

--
Bunge la Tanzania leo limepitisha bajeti kuu ya Serikali kwa 95% ambayo ni sawa na kura 354 za Wabunge.Hii leo Wabunge waliokuwa bungeni ni 374 ,18 hawakuwepo bungeni, ukimuondoa Spika, na kura za ndio ni 354, kura za hapana 0 na 20 ni kura zisizokuwa za uamuzi.

Kama kwenye Bajeti kuu ya serikali 2023/24 kama hakuna fungu la kutengenezwa kwa kiwango cha lami barabara ya Manyoni - Itigi - Rungwa - Makongorosi - Chunya kuunganishia eneo la chunya - mbeya chenye lami hiyo sio bajeti .

Ni bajeti ya kulipa deni la Taifa 77 Trilions.
 
Back
Top Bottom