Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 327
- 376
Hellow great thinkers
Tumeskia kwamba endapo kampuni ya DPW ikiwekeza katika bandari yetu (zetu) itatoa 35% ya hisa zake kwa watanzania ili nao wawe sehemu ya kampuni
Naomba kueleweshwa jinsi ambavyo serikali huwa inanufaika kupitia wawekezaji wanaokuja kuwekeza katika nchi
Je huwa inanufaika kwakupitia hisa inazomiliki kwenye kampuni husika iliyokuja kuwekeza (mgawanyo wa faida) pekee,, au kwakupitia kodi inayokusanywa na TRA pekee au vyote kwa pamoja?
Maana nimewaza kama ikitokea hizi 35% za hisa zikamilikiwa na watanzania (binafsi) yenyewe serikali inaenda kunufaikaje na uwekezaji huu bila kumiliki hata hisa moja?
Karibu unielimishe
Angalizo:
Naomba tusijikite zaidi kuzungumzia suala la Dp world na bandari badala yake tujikite kwenye swali
Tumeskia kwamba endapo kampuni ya DPW ikiwekeza katika bandari yetu (zetu) itatoa 35% ya hisa zake kwa watanzania ili nao wawe sehemu ya kampuni
Naomba kueleweshwa jinsi ambavyo serikali huwa inanufaika kupitia wawekezaji wanaokuja kuwekeza katika nchi
Je huwa inanufaika kwakupitia hisa inazomiliki kwenye kampuni husika iliyokuja kuwekeza (mgawanyo wa faida) pekee,, au kwakupitia kodi inayokusanywa na TRA pekee au vyote kwa pamoja?
Maana nimewaza kama ikitokea hizi 35% za hisa zikamilikiwa na watanzania (binafsi) yenyewe serikali inaenda kunufaikaje na uwekezaji huu bila kumiliki hata hisa moja?
Karibu unielimishe
Angalizo:
Naomba tusijikite zaidi kuzungumzia suala la Dp world na bandari badala yake tujikite kwenye swali