Serikali iache kudhalilisha waandishi

Serikali iache kudhalilisha waandishi

FbUser

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
439
Reaction score
644
Tukio hili linanikumbusha tukio moja liliwahi kufanyika ktk moja ya majengo ya Bunge

Kwa wale waandishi waliopata kuriport Bunge wanajua heka heka za kufile stories maswali na majibu na story kubwa baada ya kipindi cha asb kumalizika

Ikumbukwe kwamba wakati wabunge wanaelekea kupumzika baada ya secion ya asb waandishi tunakimbizana kufile stories kabla ya secion ya jioni

Nakumbuka siku hiyo wakati Bunge linaeleekea kuahirishwa mchana, kilikuja kimemo speakers galary kwamba naibu waziri wa habari wakati ule Daniel Sanzugwanko anataka press saa saba kule kwa "Zulu" conference room

Kama kawaida waandishi tulipofika kwa Zulu tuliacha kuandika story na kukaa tayari kumsubiri naibu waziri anakuja na ujumbe gani

Ghafla mwamba anaingia akaketi akaanza kueleza ya kwake, ingawa wakati anazungumza watu tunatazamana usoni, alipomaliza aliuliza kama kuna mwandishi anaswali

Kamanada Manyerere Jackton alikuwa wa kwanza kunyoosha mkono na kumtolea uvivu na nukuu

"mimi sina swali ila nakushangaa, yaani waziri mzima unakuja kutupotezea muda hapa kutueleza huu upuuzi sisi siyo madodoki"

Baada ya hapo kamanda alisimama akaenda kukaa pembeni kuwahisha stories

Mwamba aliuliza yule ni ni nani? Akajibiwa huyo ni Manyerere Jackton

Kilichofuata mwamba aliagiza Manyerere azuiliwe kuingia bungeni kuriport Bunge kwa kua amemdhalilisha waziri. Hata hivyo amri yake haikufua dafu kwani kamanda alipiga tiktaka barua ya mwamba akaendelea kupiga mzigo wa Bunge
 
Tukio hili linanikumbusha tukio moja liliwahi kufanyika ktk moja ya majengo ya Bunge

Kwa wale waandishi waliopata kuriport Bunge wanajua heka heka za kufile stories maswali na majibu na story kubwa baada ya kipindi cha asb kumalizika

Ikumbukwe kwamba wakati wabunge wanaelekea kupumzika baada ya secion ya asb waandishi tunakimbizana kufile stories kabla ya secion ya jioni

Nakumbuka siku hiyo wakati Bunge linaeleekea kuahirishwa mchana, kilikuja kimemo speakers galary kwamba naibu waziri wa habari wakati ule Daniel Sanzugwanko anataka press saa saba kule kwa "Zulu" conference room

Kama kawaida waandishi tulipofika kwa Zulu tuliacha kuandika story na kukaa tayari kumsubiri naibu waziri anakuja na ujumbe gani

Ghafla mwamba anaingia akaketi akaanza kueleza ya kwake, ingawa wakati anazungumza watu tunatazamana usoni, alipomaliza aliuliza kama kuna mwandishi anaswali

Kamanada Manyerere Jackton alikuwa wa kwanza kunyoosha mkono na kumtolea uvivu na nukuu

"mimi sina swali ila nakushangaa, yaani waziri mzima unakuja kutupotezea muda hapa kutueleza huu upuuzi sisi siyo madodoki"

Baada ya hapo kamanda alisimama akaenda kukaa pembeni kuwahisha stories

Mwamba aliuliza yule ni ni nani? Akajibiwa huyo ni Manyerere Jackton

Kilichofuata mwamba aliagiza Manyerere azuiliwe kuingia bungeni kuriport Bunge kwa kua amemdhalilisha waziri. Hata hivyo amri yake haikufua dafu kwani kamanda alipiga tiktaka barua ya mwamba akaendelea kupiga mzigo wa Bunge
Ww ndio Manyerere mwenyewe nini? Na nyie acha mpelekeshwe tu. Hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura huwa mnaenda kuripoti nini? Maana sisi wananchi hatuna muda na hilo bunge kibogoyo.
 
Tukio hili linanikumbusha tukio moja liliwahi kufanyika ktk moja ya majengo ya Bunge

Kwa wale waandishi waliopata kuriport Bunge wanajua heka heka za kufile stories maswali na majibu na story kubwa baada ya kipindi cha asb kumalizika

Ikumbukwe kwamba wakati wabunge wanaelekea kupumzika baada ya secion ya asb waandishi tunakimbizana kufile stories kabla ya secion ya jioni

Nakumbuka siku hiyo wakati Bunge linaeleekea kuahirishwa mchana, kilikuja kimemo speakers galary kwamba naibu waziri wa habari wakati ule Daniel Sanzugwanko anataka press saa saba kule kwa "Zulu" conference room

Kama kawaida waandishi tulipofika kwa Zulu tuliacha kuandika story na kukaa tayari kumsubiri naibu waziri anakuja na ujumbe gani

Ghafla mwamba anaingia akaketi akaanza kueleza ya kwake, ingawa wakati anazungumza watu tunatazamana usoni, alipomaliza aliuliza kama kuna mwandishi anaswali

Kamanada Manyerere Jackton alikuwa wa kwanza kunyoosha mkono na kumtolea uvivu na nukuu

"mimi sina swali ila nakushangaa, yaani waziri mzima unakuja kutupotezea muda hapa kutueleza huu upuuzi sisi siyo madodoki"

Baada ya hapo kamanda alisimama akaenda kukaa pembeni kuwahisha stories

Mwamba aliuliza yule ni ni nani? Akajibiwa huyo ni Manyerere Jackton

Kilichofuata mwamba aliagiza Manyerere azuiliwe kuingia bungeni kuriport Bunge kwa kua amemdhalilisha waziri. Hata hivyo amri yake haikufua dafu kwani kamanda alipiga tiktaka barua ya mwamba akaendelea kupiga mzigo wa Bunge
KP alishawaelezea mlivyo,sisi hatuingilii ugomvi wa ndugu!
iamlyenda_20230630_1.jpg
 
Back
Top Bottom