johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,107
Waliokuwepo zama hizo na wasio Wanafiki watanielewa, mzee Mwinyi aliikuta nchi katika halo Ngumu ya kiuchumi kuliko Rais mwingine yoyote
Kipekee niwashukuru Prof Kighoma Malima aliyekuwa Waziri wa Fedha, Prof Lipumba aliyekuwa Mshauri wa Uchumi Ikulu, Hassan Diria Waziri Mambo ya Nje, Lyatonga Mrema Waziri wa Mambo ya Ndani na Mzee Kitwana Kondo KK Meta wa Jiji la DSM kwa kumshauri ipasavyo Mzee Mwinyi hadi tukatoboa
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Mwinyi!
Kipekee niwashukuru Prof Kighoma Malima aliyekuwa Waziri wa Fedha, Prof Lipumba aliyekuwa Mshauri wa Uchumi Ikulu, Hassan Diria Waziri Mambo ya Nje, Lyatonga Mrema Waziri wa Mambo ya Ndani na Mzee Kitwana Kondo KK Meta wa Jiji la DSM kwa kumshauri ipasavyo Mzee Mwinyi hadi tukatoboa
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Mwinyi!