johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,148
Naomba tu kuelimishwa Huu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa Makubaliano au Mkataba?
Nimejiuliza hili swali baada ya Kauli ya Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Masoud Othman kwamba Mkataba wa Muungano ndio mbovu kuliko yote
Mlale Unono 😃!
Nimejiuliza hili swali baada ya Kauli ya Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar mh Masoud Othman kwamba Mkataba wa Muungano ndio mbovu kuliko yote
Mlale Unono 😃!