Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Akihojiwa katika kituo cha runinga TBC 1, Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameulizwa kuhusu kiongozi mkubwa waliokataa wito na kwenda kupima DNA baada ya kudaiwa kutelekeza mtoto...
6 Reactions
303 Replies
38K Views
Inajulikana kwamba Edward samefarika akiwa kada wa CCM, lakini 2015 alikuwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA. Je, CHADEMA watampa heshima stahiki kwa kuahirisha maandamano?
0 Reactions
1 Replies
917 Views
1. Waziri wa Afya - out 2. Waziri wa mambo ya ndani ,- out 3. Waziri wa kilimo - out 4. Waziri wa Elimu - out 5. Waziri wa Nishati - out 6. Waziri wa ardhi - out 7. IGP - OUT 8. Mkuu wa...
13 Reactions
106 Replies
8K Views
Nimefuatilia sana ziara za Makonda. Nilichogundua ni kwamba, ukiachilia mbali siasa lakini kwa zaidi ya 75% Makonda anafanana sana na JPM. Anafanana katika kusikiliza kero za Watanzania na...
1 Reactions
1 Replies
466 Views
Umati wa mashabiki wa soka waliohudhuria game ya Simba dhidi ya Azam kwenye uwanja wa ccm Kirumba , leo umepata bahati ya Mtende ya kusikia moja kwa moja matangazo ya Kuhamasisha Maandamano hayo...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Wanabodi, leo ndio imefanyika Arobaini ya Simba wa Vita, Mzee wetu, Rashidi Mfaume Kawawa, ambapo Rais JK, ameongoza maelfu ya waliohudhuria iliyofanyikia nyumbani kwake Madale, nje kidogo ya jiji...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama kawaida rekodi ya mikutano ya kisiasa inatarajiwa kuvunjwa leo tena, CCM Leo inamalizwa kabisa kwenye jimbo hili. Wadau wote mnakaribishwa kwa updates .
6 Reactions
96 Replies
16K Views
"Mimi nimemkataa Lowassa kipindi bado anatisha , mungemchagua ningekuwa jela muda huu Mimi nilimkataa tokea Niko Umoja wa vijana namkumbuka niliitisha press na waandishi wa habari nilipotamka...
14 Reactions
133 Replies
20K Views
"Mzee Lowasa kuhamia kwake Chadema kulibadilisha kabisa mwelekeo wa siasa mwaka 2015 kwenye nchi hii, kwa sababu alikuwa ni mtu ambaye ana ushawishi mkubwa, jamii ilikuwa inamuelewa, na aliweza...
1 Reactions
5 Replies
633 Views
Sidhani kama kuna mtu huwa anasifiwa na Waswahili wa Darisalama kama mpishi wa misibani Ali Mapilau Cha ajabu Sifa hutolewa Wakati wamelizunguka Sinia la pilau lenye manyamanyama Shughuli...
2 Reactions
4 Replies
706 Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema jitihada kubwa zinafanyika ili kumaliza tatizo la uhaba wa sukari lililopo nchini. "Ni kweli tuna upungufu wa sukari nchini na umetokana na kuwepo kwa mvua...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Kila mgeni anayetua hapa nchini naona anapokelewa Ikulu ya Dar, tulivyotangaziwa ni kuwa kukamilika Ikulu ya Dodoma ni kwamba shughuli zote za Rais zitakuwa ikulu ya Dodoma. Hivyo nilitegemea...
14 Reactions
118 Replies
6K Views
Hivi kweli Pambalu anajua wakati wao wanakimbia mabomu ya machozi kwasababu ya Kuvunja Sheria za nchi kwa msukumo wa Lissu na Mbowe, watoto wa Lissu na Mbowe wako zao US wanaogelea kwenye Swimming...
11 Reactions
52 Replies
3K Views
Kama Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Paulo Makonda ametuzuia kuto kwenda Mahakamani tena Nauliza mahakimu,wote na watumishi wa Mahakama mnasubilia kufanya kazi gni? Kuusema ukweli sisi...
1 Reactions
2 Replies
478 Views
Eti wanakambi, mbona maandamano ya Mwanza hayana promo wala msisimko kama ilivyokuwa Dar? Au yamepigwa stop na Amos Makalla? Au sababu za maandamano yamepatiwa ufumbuzi tayari? Au Chadema imeons...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Nimefuatilia kiasi ziara za Bwana Paul Makonda a.k.a Ndugu Bashite mzee wa mikogo anazofanya sehemu mbalimbali kwenye ardhi hii ya "wadanganyika sugu" Shida zinazoibuliwa kama umaskini wa baadhi...
0 Reactions
0 Replies
252 Views
Soko kubwa linaloitwa Soko la Mitumba linalopatikana Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma linateketea kwa moto usiku huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijajulikana. Tayari Jeshi la...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Akitoa hotuba yake, Sheikh Muharam Mziwanda amedai kwamba Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena bandarini. Kama ni kweli, je ujio wa DP unaenda kukata mirija ya hawa ndugu? Kuna...
23 Reactions
234 Replies
21K Views
Wiki hii imeshuhidia watu wawili wanaopaswa kuheshimika kwani ni Wabunge wakitoa maoni yanayopaswa kutolewa na Mjukuu wa mhusika anayesoma chekechea. 1. Wa Kwanza kupiga Boko alikuwa Mbunge wa...
19 Reactions
40 Replies
3K Views
Ni Ukweli ulio wazi Ule Mvuto wa Kitaasisi kwenye vyama vya Siasa haupo tena na sasa vyama vinatembelea Nyota za " Mashariki" za Watu binafsi Kwa sasa Makonda ndiye CCM na Tundu Antipas Lisu...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…