Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,115
Tayari Jeshi la Zimamoto na uokoaji limefika eneo la tukio na kushirikianana baadhi ya Wananchi kuokoa mali na kuzima moto kwenye Soko hilo ambalo linauza zaidi mitumba na kuna maduka pia ya bidhaa nyingine mbalimbali.
Chanzo: Ayo Tv