"Mzee Lowasa kuhamia kwake Chadema kulibadilisha kabisa mwelekeo wa siasa mwaka 2015 kwenye nchi hii, kwa sababu alikuwa ni mtu ambaye ana ushawishi mkubwa, jamii ilikuwa inamuelewa, na aliweza kusaidia mageuzi ya nchi hii mwaka 2015 kwa mara ya kwanza majiji yote makubwa yakaongozwa na Chadema"
"Tuliongoza halmashauri nyingi, alikiwezesha chama kuwa na wabunge wengi, kuwa na madiwani wengi, na pia chama kiliimarika, kutokana na ujio wake"-John Mrema, Mkurugenzi wa Chadema, uenezi, mawasiliano, itifaki na mambo ya nje
"Tuliongoza halmashauri nyingi, alikiwezesha chama kuwa na wabunge wengi, kuwa na madiwani wengi, na pia chama kiliimarika, kutokana na ujio wake"-John Mrema, Mkurugenzi wa Chadema, uenezi, mawasiliano, itifaki na mambo ya nje