Fursa: Mechi ya Simba na Azam CCM Kirumba yatumika kutangaza Maandamano ya Amani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,809
218,463
Umati wa mashabiki wa soka waliohudhuria game ya Simba dhidi ya Azam kwenye uwanja wa ccm Kirumba , leo umepata bahati ya Mtende ya kusikia moja kwa moja matangazo ya Kuhamasisha Maandamano hayo Jijini humo.

Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha ndiye aliyeongoza kampeni hiyo kabambe.

Mashabiki wa Soka wameahidi kuhudhuria Maandamano hayo huku wakimshangilia kwa nguvu

Screenshot_2024-02-09-21-30-54-1.png
 
Umati wa mashabiki wa soka waliohudhuria game ya Simba dhidi ya Azam kwenye uwanja wa ccm Kirumba , leo umepata bahati ya Mtende ya kusikia moja kwa moja matangazo ya Kuhamasisha Maandamano hayo Jijini humo.

Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha ndiye aliyeongoza kampeni hiyo kabambe.

Mashabiki wa Soka wameahidi kuhudhuria Maandamano hayo huku wakimshangilia kwa nguvu

Pambalu ameenda kwao Butimba kulala?
 
Ila siasa bhana dah, juzi kati kwenye AFCON Chadema walipinga timu kuendeshwa kisiasa leo hii hao hao Chadema wanaona sawa kutangaza maandamano yao kwenye mpira
 
Back
Top Bottom