Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,809
- 218,463
Umati wa mashabiki wa soka waliohudhuria game ya Simba dhidi ya Azam kwenye uwanja wa ccm Kirumba , leo umepata bahati ya Mtende ya kusikia moja kwa moja matangazo ya Kuhamasisha Maandamano hayo Jijini humo.
Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha ndiye aliyeongoza kampeni hiyo kabambe.
Mashabiki wa Soka wameahidi kuhudhuria Maandamano hayo huku wakimshangilia kwa nguvu
Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha ndiye aliyeongoza kampeni hiyo kabambe.
Mashabiki wa Soka wameahidi kuhudhuria Maandamano hayo huku wakimshangilia kwa nguvu