sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kama Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Paulo Makonda ametuzuia kuto kwenda Mahakamani tena
Nauliza mahakimu,wote na watumishi wa Mahakama mnasubilia kufanya kazi gni?
Kuusema ukweli sisi tunaenda kwake hatuji kwenye mahakama zenu tumeambiwa hakuna hakuna HAKI NA HATUJI NG'ODO.
JE KUZUIWA KWETU KUJA KWENU MNAJIFUNZA NINI?
Nauliza mahakimu,wote na watumishi wa Mahakama mnasubilia kufanya kazi gni?
Kuusema ukweli sisi tunaenda kwake hatuji kwenye mahakama zenu tumeambiwa hakuna hakuna HAKI NA HATUJI NG'ODO.
JE KUZUIWA KWETU KUJA KWENU MNAJIFUNZA NINI?