Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amezungumzia kuhusu Mjadala wa Dola kuadimika unaoendelea Nchi. Amesema watu inabidi watambue kwamba Dola sio hela yetu bali tunaipata pale tunapopata Mkopo...
6 Reactions
24 Replies
4K Views
Ni vema Prof Mkenda na Dr Mwigulu PhD wakajifunza kutoka Nchi jirani mbinu walizotumia kuweza kuwalipa mishahara minono Walimu Ni kule alikolazwa Tundu Lissu mara baada ya kushambuliwa na...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Vijana nguvu ya mabadiliko dunuani Kuna kazi ya kutumia nguvu kubeba viroba vya unga na mahindi vyenye uzito wa 100kg kwa Bakhresa kwa siku wanalipa elfu 10, ila unalipwa kila baada ya wiki. Kula...
1 Reactions
1 Replies
416 Views
Serikali imesema kuwa katika kipindi cha miaka mitatu ijayo itatumika kutoa Elimu kwa wananchi juu ya Katiba mpya. Hapa najiuliza kwa maandishi ina maana mpaka leo Wananchi hawana uelewa juu ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani kuna mtu anajua kwanini hawa mabwana wameondolewa Nishati na wote wamepelekwa mambo ya Nje?
3 Reactions
40 Replies
5K Views
Kila mtu ana kumbukumbu namna Kassim alivyoipata hii nafasi. Wakati jina linasomwa kwa mara ya kwanza alikuwa nje kabisa ya bunge akiendelea na shughuli zake. Kibinadamu kabisa hakuna aliyedhania...
19 Reactions
55 Replies
4K Views
Kwanza nianze kwa kuuliza, inakuwaje Waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi? Je, Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha Mawaziri wa Serikali ya...
33 Reactions
175 Replies
14K Views
Ule usemi wa "nyani haoni kundule" umedhihirika pale Katibu Mkuu wa CCM, Abdallahaman Kinana alipowachana wanachama wa CCM katika mkutano alioufanya hapo jana mjini Kigoma kwa kuwaambia wanachama...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
Hizi ni tetesi/hisia zangu za ndani kabisa ,zimeniambia hivyo.... Unabii Huwa haupuuzwi... Unabii ukijidhihirsha... Ndio huitwa unabii... Mwalimu huyu Grade 111A kutoka katoke teacher's college...
14 Reactions
93 Replies
13K Views
Mabadiliko ya mawaziri na wengine kung'olewa yamekuja ghafla na kwa mshangao mkubwa. Lakini kwa wakazi wa jiji la Mwanza ndio wameshangazwa zaidi na kupona kwa Waziri wa Maji kijana alite jaa...
15 Reactions
44 Replies
4K Views
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndugu Abdulrahman Kinana, amesema Tamasha la Kizimkazi limefanikiwa kuwa chachu ya kuimarisha Muungano. Kinana amesema hayo Agosti 31, 2023...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wale Maaskofu Waliosema Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu hawajakosa hata kidogo. Sema mambo haya huwa yanachukua mda na kuaanza kuonekana taratibu. Hapa JF wengi tukishapiga makelele toka zamani...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Angalia mwenyewe hizo fedha zilivyo nyingi kuna CFA franc, dola na euro zimo nyumbani kwa mtoto wa kiongozi wa Rais Ali Bongo aliyepinduliwa.
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi pasipo kuwachosha. Rais Dr Samia atajaribu kumuiga Magufuli lakini kamwe hataweza asilani hadi anaondoka madarakani. Wakati Dr Magufuli akiwa Rais...
5 Reactions
58 Replies
4K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 3, leo Agosti 31, 2023. Ratiba: Dua Hati za kuwasilisha Mezani Maswali Hoja za Serikali...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
TUTAJENGA SHULE KUMKUMBUKA PROF. DAVID MASAMBA" - WANANCHI MUSOMA VIJIJINI "Afrika inamfahamu Prof. David Masamba kwa umahiri wake wa lugha ya Kiswahili ni wakati sasa wakufikiria cha kufanya...
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Akichangia Bungeni kwenye mjadala wa Kuridhiwa itifaki ya biashara ya Sadc,Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina amehoji sababu za serikali kuleta Bungeni itifaki iliyosaisainiwa miaka 12 Iliyopita...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umeongeza thamani ya mfuko huo kwa kupitia uwekezaji na kufanikiwa kuwalipa wanufaika 262,09 Jumla ya shilingi Trilioni 8.88, katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeridhia Itifaki ya Biashara ya Huduma ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) ya Mwaka 2012. Itifaki hiyo imeridhiwa Agosti 31, 2023 Bungeni...
0 Reactions
4 Replies
929 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…