Kuwaapishia Zanzibar wateule wa nafasi Mbalimbali ni matumizi mabaya ya pesa za walipa Kodi

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Kwanza nianze kwa kuuliza, inakuwaje Waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi?

Je, Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha Mawaziri wa Serikali ya Zanzibar huku Tanganyika?

Je, Tamasha la "Kizimkazi" lina umuhimu gani kwa Rais wa JMT kiasi kwamba ashindwe kuondoka huko na kuja Ikulu ya Chamwino - Dodoma na kutimiza wajibu wake na kisha kurejea huko atakakopenda?

Je, hizo gharama za misafara ya Baraza zima la Mawaziri na wafanyakazi wa wizara pamoja na maafisa wengineo wa kiitifaki, kuelekea Zanzibar na kufanya tukio lote? Sio matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi?

Posho, nauli za ndege, malazi, magari na mafuta na madereva ikiwa pamoja na gharama za kuvivusha vifaa vyote hivyo kisa tu Rais yuko kwenye "Kizimkazi Festival!" Napata picha ya West Africa inayo trend sasa!

Mbona tunachezewa namna hii?
 
Kwanza nianze kwa kuuliza!
Inakuwaje waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi?

Je! Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha mawaziri wa serikali ya Zanzibar huku Tanganyika?

Je!
Tamasha la "kizimkazi" lina umuhimu gani kwa Rais wa JMT,kiasi kwamba ashindwe kuondoka huko na kuja Ikulu ya Chamwino-Dodoma na kutimiza wajibu wake na kisha kurejea huko atakako penda?

Je!
Hizo gharama? Za misafara ya Baraza zima la mawaziri na wafanyakazi wa wizara pamoja na maafisa wengineo wa kiitifaki, kuelekea Zanzibar na kufanya tukio lote.
Sio matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi?
Posho,Nauli za Ndege,Malazi,Magari na mafuta na madereva ikiwa pamoja na gharama za kuvivusha vifaa vyote hivyo.

Kisa tu,Rais yuko kwenye "Kizimkazi Festival"
Napata picha ya West Africa inayo trend sasa!

Mbona tunachezewa namna hii?
Gharama ya kusafirisha hao mawaziri ni ndogo sana ukilonganisha na kama Rais mwenyewe angesafiri Zenj-Dom-Zenji
 
Chato imefanyika mikutano mingapi?, wakati kulikuwa na uwezekano matukio au mikutano hiyo kufanyika Ikulu Dar?.Marais wangapi walienda kutua Chato?, wakitua Chato ina maana mawaziri na wakuu wa idara tofauti wanapaswa kuwa Chato kuwalaki marais hao?...Hii ni Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Kwanza nianze kwa kuuliza!
Inakuwaje waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi?

Je! Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha mawaziri wa serikali ya Zanzibar huku Tanganyika?

Je!
Tamasha la "kizimkazi" lina umuhimu gani kwa Rais wa JMT,kiasi kwamba ashindwe kuondoka huko na kuja Ikulu ya Chamwino-Dodoma na kutimiza wajibu wake na kisha kurejea huko atakako penda?

Je!
Hizo gharama? Za misafara ya Baraza zima la mawaziri na wafanyakazi wa wizara pamoja na maafisa wengineo wa kiitifaki, kuelekea Zanzibar na kufanya tukio lote.
Sio matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi?
Posho,Nauli za Ndege,Malazi,Magari na mafuta na madereva ikiwa pamoja na gharama za kuvivusha vifaa vyote hivyo.

Kisa tu,Rais yuko kwenye "Kizimkazi Festival"
Napata picha ya West Africa inayo trend sasa!

Mbona tunachezewa namna hii?
Hata Rais wa Zanzibar anachaguliwa Dodoma.
 
Kwanza nianze kwa kuuliza!
Inakuwaje waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi?

Je! Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha mawaziri wa serikali ya Zanzibar huku Tanganyika?

Je!
Tamasha la "kizimkazi" lina umuhimu gani kwa Rais wa JMT,kiasi kwamba ashindwe kuondoka huko na kuja Ikulu ya Chamwino-Dodoma na kutimiza wajibu wake na kisha kurejea huko atakako penda?

Je!
Hizo gharama? Za misafara ya Baraza zima la mawaziri na wafanyakazi wa wizara pamoja na maafisa wengineo wa kiitifaki, kuelekea Zanzibar na kufanya tukio lote.
Sio matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi?
Posho,Nauli za Ndege,Malazi,Magari na mafuta na madereva ikiwa pamoja na gharama za kuvivusha vifaa vyote hivyo.

Kisa tu,Rais yuko kwenye "Kizimkazi Festival"
Napata picha ya West Africa inayo trend sasa!

Mbona tunachezewa namna hii?

Hakika
 
Kwanza nianze kwa kuuliza!
Inakuwaje waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi?

Je! Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha mawaziri wa serikali ya Zanzibar huku Tanganyika?

Je!
Tamasha la "kizimkazi" lina umuhimu gani kwa Rais wa JMT,kiasi kwamba ashindwe kuondoka huko na kuja Ikulu ya Chamwino-Dodoma na kutimiza wajibu wake na kisha kurejea huko atakako penda?

Je!
Hizo gharama? Za misafara ya Baraza zima la mawaziri na wafanyakazi wa wizara pamoja na maafisa wengineo wa kiitifaki, kuelekea Zanzibar na kufanya tukio lote.
Sio matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi?
Posho,Nauli za Ndege,Malazi,Magari na mafuta na madereva ikiwa pamoja na gharama za kuvivusha vifaa vyote hivyo.

Kisa tu,Rais yuko kwenye "Kizimkazi Festival"
Napata picha ya West Africa inayo trend sasa!

Mbona tunachezewa namna hii?
Matumizi mabaya ya fedha za umma na kuvunja katiba
 
Hakuna watu wapuuzi kama sisi, hata mi nikiwa rais ntawaendesha ninavyotaka... Maana ni taifa la ma nyumbu!!!
Hapakuwa na umuhimu na wala hapako na mantiki yeyote ile zaidi ya kutumia lugha chafu na kufanya Ugaidi dhidi ya Mtanzania....Kama wewe ni mpuuzi, andika hivyo, kuwa wewe ni mpuuzi.

Ushindwe huko uliko.
 
Kwanza nianze kwa kuuliza!
Inakuwaje waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi?

Je! Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha mawaziri wa serikali ya Zanzibar huku Tanganyika?

Je!
Tamasha la "kizimkazi" lina umuhimu gani kwa Rais wa JMT,kiasi kwamba ashindwe kuondoka huko na kuja Ikulu ya Chamwino-Dodoma na kutimiza wajibu wake na kisha kurejea huko atakako penda?

Je!
Hizo gharama? Za misafara ya Baraza zima la mawaziri na wafanyakazi wa wizara pamoja na maafisa wengineo wa kiitifaki, kuelekea Zanzibar na kufanya tukio lote.
Sio matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi?
Posho,Nauli za Ndege,Malazi,Magari na mafuta na madereva ikiwa pamoja na gharama za kuvivusha vifaa vyote hivyo.

Kisa tu,Rais yuko kwenye "Kizimkazi Festival"
Napata picha ya West Africa inayo trend sasa!

Mbona tunachezewa namna hii?
Chattle oyeee
 
Chato imefanyika mikutano mingapi?, wakati kulikuwa na uwezekano matukio au mikutano hiyo kufanyika Ikulu Dar?.Marais wangapi walienda kutua Chato?, wakitua Chato ina maana mawaziri na wakuu wa idara tofauti wanapaswa kuwa Chato kuwalaki marais hao?...Hii ni Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Wenzio hatukukaa kimya Kwa upuuzi wa Chato. Nyie fuata upepo ndo mnaona hoja hii ni mpya. Bado kidogo mseme muislamu anabaguliwa.
 
Inaonekana ameamua kumuiga mtangulizi wake.

Yaani haya mambo yalianzia awamu iliyopita kwahiyo naye anafanya kuyaendeleza.

Ni matumizi mabaya ya Ofisi na matumizi mabaya ya fedha. Maana perdiems za kuvuka Bahari lazima ziwe nono
 
Kwanza nianze kwa kuuliza!
Inakuwaje waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi?

Je! Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha mawaziri wa serikali ya Zanzibar huku Tanganyika?

Je!
Tamasha la "kizimkazi" lina umuhimu gani kwa Rais wa JMT,kiasi kwamba ashindwe kuondoka huko na kuja Ikulu ya Chamwino-Dodoma na kutimiza wajibu wake na kisha kurejea huko atakako penda?

Je!
Hizo gharama? Za misafara ya Baraza zima la mawaziri na wafanyakazi wa wizara pamoja na maafisa wengineo wa kiitifaki, kuelekea Zanzibar na kufanya tukio lote.
Sio matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi?
Posho,Nauli za Ndege,Malazi,Magari na mafuta na madereva ikiwa pamoja na gharama za kuvivusha vifaa vyote hivyo.

Kisa tu,Rais yuko kwenye "Kizimkazi Festival"
Napata picha ya West Africa inayo trend sasa!

Mbona tunachezewa namna hii?
Dhalimu ndio muasisi wa hii tabia, na hujawahi kukemea uhuni ule kwa ajili ya mahaba niue, leo unajiliza kwasababu anayefanya humpendi.
 
Kwanza nianze kwa kuuliza!
Inakuwaje waziri wa Tanganyika akaapishwe kwenye eneo ambalo sio eneo lake la kazi?

Je! Wazanzibari wanaweza kukubali Rais wao kuja kuwaapisha mawaziri wa serikali ya Zanzibar huku Tanganyika?

Je!
Tamasha la "kizimkazi" lina umuhimu gani kwa Rais wa JMT,kiasi kwamba ashindwe kuondoka huko na kuja Ikulu ya Chamwino-Dodoma na kutimiza wajibu wake na kisha kurejea huko atakako penda?

Je!
Hizo gharama? Za misafara ya Baraza zima la mawaziri na wafanyakazi wa wizara pamoja na maafisa wengineo wa kiitifaki, kuelekea Zanzibar na kufanya tukio lote.
Sio matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi?
Posho,Nauli za Ndege,Malazi,Magari na mafuta na madereva ikiwa pamoja na gharama za kuvivusha vifaa vyote hivyo.

Kisa tu,Rais yuko kwenye "Kizimkazi Festival"
Napata picha ya West Africa inayo trend sasa!

Mbona tunachezewa namna hii?
Hiyo ndo katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania! Rais aliye na uungu asiyehojika wala shitakika popote!!

Tumetoka Chato sasa Zanzibar!
 
Back
Top Bottom