Uwaziri Mkuu wa Majaliwa ni wa Mungu mwenyewe

sheiza

JF-Expert Member
Sep 29, 2010
7,568
11,487
Kila mtu ana kumbukumbu namna Kassim alivyoipata hii nafasi. Wakati jina linasomwa kwa mara ya kwanza alikuwa nje kabisa ya bunge akiendelea na shughuli zake.

Kibinadamu kabisa hakuna aliyedhania kama waziri mkuu angekuwa Kassim sababu hakuwahi kuwa hata waziri kamili wala hakuonekana mtu wa mtandao.

Kiuhalisia ni Mungu mwenyewe ndiye alimpa hii nafasi. Apangacho Mungu mwanadamu hawezi kukitengua, asimame imara kwa imani atimize majukumu yake.

Asikubali tena kubeba uchafu wowote na kuutetea bali asimame na nchi na asimamie haki. Ni bora watesi wako wakakutoa kwenye kiti kwa kusimamia haki kuliko kuondolewa kwa aibu.

Siku zote sisi wananchi ndio mahakimu..kama sio leo kesho.
 
Kila mtu ana kumbukumbu namna Kassim alivyoipata hii nafasi. Wakati jina linasomwa kwa mara ya kwanza alikuwa nje kabisa ya bunge akiendelea na shughuli zake.

Kibinadamu kabisa hakuna aliyedhania kama waziri mkuu angekuwa Kassim sababu hakuwahi kuwa hata waziri kamili wala hakuonekana mtu wa mtandao.

Kiuhalisia ni Mungu mwenyewe ndiye alimpa hii nafasi. Apangacho Mungu mwanadamu hawezi kukitengua, asimame imara kwa imani atimize majukumu yake.

Asikubali tena kubeba uchafu wowote na kuutetea bali asimame na nchi na asimamie haki. Ni bora watesi wako wakakutoa kwenye kiti kwa kusimamia haki kuliko kuondolewa kwa aibu.

Siku zote sisi wananchi ndio mahakimu..kama sio leo kesho.
Huwezi kuteuliwa kuwa waziri mkuu bila kuuzwa na kufanyiwa vetting, huwa mnadanganywa tu lakini lazima uulizwe tena unaitwa Ikulu
 
Huu uhuni waambie CCM wenzio kwenye vikao vyenu vya majungu. Majaliwa hawezi kukaa kikao cha kuvunja Katiba kupitia ofisi yake.
Hii nafasi ya naibu waziri mkuu ilikuwepo kikatiba tangu majaliwa hajatoka kijijini kwao ruangwa kwahiyo kama ndio kimemkasirisha basi kumbe haijui katiba.
 
Kila mtu ana kumbukumbu namna Kassim alivyoipata hii nafasi. Wakati jina linasomwa kwa mara ya kwanza alikuwa nje kabisa ya bunge akiendelea na shughuli zake.

Kibinadamu kabisa hakuna aliyedhania kama waziri mkuu angekuwa Kassim sababu hakuwahi kuwa hata waziri kamili wala hakuonekana mtu wa mtandao.

Kiuhalisia ni Mungu mwenyewe ndiye alimpa hii nafasi. Apangacho Mungu mwanadamu hawezi kukitengua, asimame imara kwa imani atimize majukumu yake.

Asikubali tena kubeba uchafu wowote na kuutetea bali asimame na nchi na asimamie haki. Ni bora watesi wako wakakutoa kwenye kiti kwa kusimamia haki kuliko kuondolewa kwa aibu.

Siku zote sisi wananchi ndio mahakimu..kama sio leo kesho.
Wabongo wanafiki mkuu usimdanganye
 
Wabongo mnapenda habari za umbeya na majungu sana. Kassim kakulalamikia chochote? Tena si ajabu kashiriki mipango yote hii ya kuisuka upya serikali. Watanzania punguzeni umbeya.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza..sio kila hoja lazima uchangie.
 
Back
Top Bottom