Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Serikali imesema kuwa katika kipindi cha miaka mitatu ijayo itatumika kutoa Elimu kwa wananchi juu ya Katiba mpya.
Hapa najiuliza kwa maandishi ina maana mpaka leo Wananchi hawana uelewa juu ya Katiba mpya?
Hivi hakuna namna nyingine ambayo Serikali inaweza kufanya katika kuharakisha upatikanaji wa Katiba mpya?
Imeandikwa na Mwanakijiji.
Hapa najiuliza kwa maandishi ina maana mpaka leo Wananchi hawana uelewa juu ya Katiba mpya?
Hivi hakuna namna nyingine ambayo Serikali inaweza kufanya katika kuharakisha upatikanaji wa Katiba mpya?
Imeandikwa na Mwanakijiji.