The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,299
Wale Maaskofu Waliosema Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu hawajakosa hata kidogo. Sema mambo haya huwa yanachukua mda na kuaanza kuonekana taratibu.
Hapa JF wengi tukishapiga makelele toka zamani kabisa early 2021 kumwambia PM kwamba kwa msimamo wake hii serikali inayoendeshwa kutoka msoga hawezi kufanya kazi vizuri kwa uhuru. Tulimsihi sana aachie ngazi lakini wapi. Sijui analinda heshima ya nani wakati yeye mwenyewe hawamwelewi wanamtumia kwenye matatizo magumu magumu aonekane kapwaya.
Haya sasa wakubwa wameamua kukupunguzia majukumu sijui mze wangu unajisikiaje hapo ulipo. Lowassa hakuwa mjinga.
Endelea kujenga Taifa.
Hapa JF wengi tukishapiga makelele toka zamani kabisa early 2021 kumwambia PM kwamba kwa msimamo wake hii serikali inayoendeshwa kutoka msoga hawezi kufanya kazi vizuri kwa uhuru. Tulimsihi sana aachie ngazi lakini wapi. Sijui analinda heshima ya nani wakati yeye mwenyewe hawamwelewi wanamtumia kwenye matatizo magumu magumu aonekane kapwaya.
Haya sasa wakubwa wameamua kukupunguzia majukumu sijui mze wangu unajisikiaje hapo ulipo. Lowassa hakuwa mjinga.
Endelea kujenga Taifa.