Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,262
- 9,714
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini,nuru ya wanyonge na mama wa upendo atawaongoza maelfu ya watanzania katika kumpumzisha Hayati Edward Lowassa waziri Mkuu mstaafu katika nyumba yake ya milele kule Monduli mkoani Arusha.
Kwa sasa Mheshimiwa Rais yupo ulaya ambako anaendelea na ziara za kikazi na kiserikali kwa mialiko maaulum, kutokana na ushirikiano mzuri na mahusiano mazuri ambayo amefanikiwa kuyajenga tangia alipoingia madarakani mwaka 2021,ambapo kwa sasa amekuwa akipata mialiko mingi
sana kutokaa maeneo mbalimbali na pia kutembelewa na wageni mbalimbali wakubwa kutoka mataifa mbalimbali kutoka kila pembe ya Dunia.
Ambapo ni katika ziara hiyo aliweza kukutana na kufanya mazungumzo na mkuu wa kanisa la katoliki Duniani papa Fransis na baadaye kuelekea nchini Norway ambako nako alipokelewa kwa mapokezi mazito sana na ya heshima kubwa sana yaliyoteka vyombo vyote vya habari vya kimataifa hapa ulimwenguni.
Rais Samia anarejea na kushiriki katika mazishi hayo kwa kutambua mchango mkubwa wa Hayati Edward Lowassa katika Taifa letu na alama alizoziacha zinazoendelea kukumbukwa na watanzania.lakini pia ni Rais Samia Mwenyewe aliyefanya kazi kubwa sana ya kumuuguza Mheshimiwa Lowassa wakati anaumwa. Hata alipokuwa Afrika ya kusini alimuagiza waziri mkuu mheshimiwa kasimu majaliwa kwenda kumfikisha salamu zake na kuwapo pole familia na kuwaahidi kuwa Rais wao na serikali yao ipo pamoja nao.
Ndio maana familia imetoa shukurani za dhati sana na kipekee sana kwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa kwa namna alivyopigania maisha na uhai wa hayati Edward lowassa. lakini kwa bahati mbaya ni kuwa kila kitu na wakati wake na wakati wa Mungu ukifika kuitwa basi mwanadamu hawezi kuzuia .wakati wa kuitwa kwa hayati Edward Lowassa kulikuwa kumewadia na kufika na hatimaye ametangulia mbele za haki huku akiacha majonzi na simanzi kwa Taifa zima,huku akililiwa na kuombolezwa na watu wa vyama vyote ,dini zote na rika zote.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya matumaini,nuru ya wanyonge na mama wa upendo atawaongoza maelfu ya watanzania katika kumpumzisha Hayati Edward Lowassa waziri Mkuu mstaafu katika nyumba yake ya milele kule Monduli mkoani Arusha.
Kwa sasa Mheshimiwa Rais yupo ulaya ambako anaendelea na ziara za kikazi na kiserikali kwa mialiko maaulum, kutokana na ushirikiano mzuri na mahusiano mazuri ambayo amefanikiwa kuyajenga tangia alipoingia madarakani mwaka 2021,ambapo kwa sasa amekuwa akipata mialiko mingi
sana kutokaa maeneo mbalimbali na pia kutembelewa na wageni mbalimbali wakubwa kutoka mataifa mbalimbali kutoka kila pembe ya Dunia.
Ambapo ni katika ziara hiyo aliweza kukutana na kufanya mazungumzo na mkuu wa kanisa la katoliki Duniani papa Fransis na baadaye kuelekea nchini Norway ambako nako alipokelewa kwa mapokezi mazito sana na ya heshima kubwa sana yaliyoteka vyombo vyote vya habari vya kimataifa hapa ulimwenguni.
Rais Samia anarejea na kushiriki katika mazishi hayo kwa kutambua mchango mkubwa wa Hayati Edward Lowassa katika Taifa letu na alama alizoziacha zinazoendelea kukumbukwa na watanzania.lakini pia ni Rais Samia Mwenyewe aliyefanya kazi kubwa sana ya kumuuguza Mheshimiwa Lowassa wakati anaumwa. Hata alipokuwa Afrika ya kusini alimuagiza waziri mkuu mheshimiwa kasimu majaliwa kwenda kumfikisha salamu zake na kuwapo pole familia na kuwaahidi kuwa Rais wao na serikali yao ipo pamoja nao.
Ndio maana familia imetoa shukurani za dhati sana na kipekee sana kwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa kwa namna alivyopigania maisha na uhai wa hayati Edward lowassa. lakini kwa bahati mbaya ni kuwa kila kitu na wakati wake na wakati wa Mungu ukifika kuitwa basi mwanadamu hawezi kuzuia .wakati wa kuitwa kwa hayati Edward Lowassa kulikuwa kumewadia na kufika na hatimaye ametangulia mbele za haki huku akiacha majonzi na simanzi kwa Taifa zima,huku akililiwa na kuombolezwa na watu wa vyama vyote ,dini zote na rika zote.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.