ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,042
- 49,727
Ziara za Makonda zimebainisha kwamba Mahakama sio chombo Cha kupata Haki Kwa maskini ambao hawana pesa sana sana itahalalisha dhuluma kwao.
Kiufupi Makonda anasema Mahakama inauza Haki Kwa wenye pesa na nakubalina nae Kwa sababu sijaona maskini hata mmja aliyefaulu kupata Haki yake mbele ya wenye pesa.
---
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema ukidhulumiwa haki yako si vyema kukimbilia mahakamani mara kwa mara baada ya kukosa haki zao, maana mara nyingi mawakili bora wanafanya kazi na watu wenye pesa hivyo ni ngumu kuipata.
Makonda amesema hayo leo Jumamosi Februari 10, 2024 alipokuwa akizungumza na wakazi wa Njombe mjini, ikiwa ni baada ya kuahirisha mkutano huo jana kutokana na mvua.
My Take
Mfumo wa Mahakama ujitafakari sana Kwa jinsi maskini wanavyodhulumiwa.
- Makonda: Mungu amenipa mlango dhidi ya aliyenidhulumu nyumba
Kiufupi Makonda anasema Mahakama inauza Haki Kwa wenye pesa na nakubalina nae Kwa sababu sijaona maskini hata mmja aliyefaulu kupata Haki yake mbele ya wenye pesa.
---
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda amesema ukidhulumiwa haki yako si vyema kukimbilia mahakamani mara kwa mara baada ya kukosa haki zao, maana mara nyingi mawakili bora wanafanya kazi na watu wenye pesa hivyo ni ngumu kuipata.
Makonda amesema hayo leo Jumamosi Februari 10, 2024 alipokuwa akizungumza na wakazi wa Njombe mjini, ikiwa ni baada ya kuahirisha mkutano huo jana kutokana na mvua.
My Take
Mfumo wa Mahakama ujitafakari sana Kwa jinsi maskini wanavyodhulumiwa.
- Makonda: Mungu amenipa mlango dhidi ya aliyenidhulumu nyumba