johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Raphael Chegeni amemweleza Mkuu wa Kanisa la KKKT baba askofu Dr Malasusa kwamba kama isingekuwa Ajali mbalimbali za kisiasa mzee Lowassa angeendelea Kuishi.
Chegeni amesema Lowassa hakuwahi kuwa na kosa lolote kwenye kashfa ya Richmond ila alijiuzulu Ili kuiokoa Serikali na Chama cha Mapinduzi na si vinginevyo hata Bunge linaelewa hivyo.
Chanzo: Upendo TV
Chegeni amesema Lowassa hakuwahi kuwa na kosa lolote kwenye kashfa ya Richmond ila alijiuzulu Ili kuiokoa Serikali na Chama cha Mapinduzi na si vinginevyo hata Bunge linaelewa hivyo.
Chanzo: Upendo TV