Hoja za Mbunge wa Serengeti zifanyiwe kazi

chamilo nicolous

JF-Expert Member
Mar 10, 2016
1,991
1,364
Naomba nende kwenye mada moja kwa moja.
Leo Tarehe 27 febr

Mh.Khasim Majaliwa, (Mb)na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya ziara wilaya ya Serengeti.

Katika ziara hiyo, Mh Waziri Mkuu alifanya kikao na watumishi wa Umma, Katika kikao hicho, baadhi ya viongozi wamejikuta katika wakati Mugumu, Afisa Elimu Sekondari (DEO) bahati yake hakuwepo kwenye kikao, mwingine ni Muazini wa Wilaya (DT), Amewekwa chini ya ulinzi kwa kutakatisha zaidi ya molioni 200.

Katika mkutano na wanachi Mbunge Mh. Amusabi alipata nafasi ya kuwakilisha hoja za wanachi, hoja zilizo wakilishwa ni kama ifuatavyo;

1: Pesa ya ujenzi ya vituo cya afya Kenyana na Ngoreme hazionekani licha ya Serikali kuleta.

2: Shule ya Sekondari Morotonga licha ya kuwekewa milioni 600, haijakamilika na Pesa hazipo.

3: Mgogoro wa vijiji vya mesaga na majimoto, DC ametulia

4: Mchina( Muzungu) kawekeza katika kuchimba madini na kufukuza wananchi Majimoto, na wananchi hawajalipwa fidia.

5: Wizi unaofanywa naviongozi wa Halmashauri, Halmashauri imejaa uozo, Baraza la Madiwani halina Dira!
Hongera sana Mbunge jimbo la Serengeti, umesimama kiume, umewambia, washindwe wao!
 
Repost @eastafricatv
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemwagiza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, ACP Salum Morcase amkamate Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti, Saad Mutunzi Ishabailu kwa kosa la kuhamisha shilingi milioni 213,748,085 kwa awamu nne kwa njia ya uhamisho wa ndani kwa kushirikiana na watumishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI na kuzitumia kwa matumizi yao binafsi.

Ametoa agizo hilo leo Jumanne, Februari 27, 2024, wakati akizungumza na madiwani na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti kwenye kikao kilichofanyika katika Halmashauri hiyo, mkoani Mara.

"Mkamate huyo bwana sasa hivi aende polisi akafunguliwe mashtaka, huyu ni wa kupeleka mahakamani moja kwa moja. DPP aelezwe afungue jalada la mashtaka, wale wenzake tumewapeleka mahakamani tayari sababu tulibaini walihusika na wizi kama huu kwenye Manispaa ya Kigoma mwaka jana," amesema Waziri Mkuu

EastAfricaTV
 
Wew unataka watu wakale wapi
Sasa kama mwingine kaingia kwenye mfumo, kakomba milioni 200, hii ni kufulu

——Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemwagiza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, ACP Salum Morcase amkamate Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti, Saad Mutunzi Ishabailu kwa kosa la kuhamisha shilingi milioni 213,748,085 kwa awamu nne kwa njia ya uhamisho wa ndani kwa kushirikiana na watumishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI na kuzitumia kwa matumizi yao binafsi.

Ametoa agizo hilo leo Jumanne, Februari 27, 2024, wakati akizungumza na madiwani na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti kwenye kikao kilichofanyika katika Halmashauri hiyo, mkoani Mara.

"Mkamate huyo bwana sasa hivi aende polisi akafunguliwe mashtaka, huyu ni wa kupeleka mahakamani moja kwa moja. DPP aelezwe afungue jalada la mashtaka, wale wenzake tumewapeleka mahakamani tayari sababu tulibaini walihusika na wizi kama huu kwenye Manispaa ya Kigoma mwaka jana," amesema Waziri Mkuu

#EastAfricaTV
 
Naomba nende kwenye mada moja kwa moja.
Leo Tarehe 27 febr

Mh.Khasim Majaliwa, (Mb)na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya ziara wilaya ya Serengeti.

Katika ziara hiyo, Mh Waziri Mkuu alifanya kikao na watumishi wa Umma, Katika kikao hicho, baadhi ya viongozi wamejikuta katika wakati Mugumu, Afisa Elimu Sekondari (DEO) bahati yake hakuwepo kwenye kikao, mwingine ni Muazini wa Wilaya (DT), Amewekwa chini ya ulinzi kwa kutakatisha zaidi ya molioni 200.

Katika mkutano na wanachi Mbunge Mh. Amusabi alipata nafasi ya kuwakilisha hoja za wanachi, hoja zilizo wakilishwa ni kama ifuatavyo;

1: Pesa ya ujenzi ya vituo cya afya Kenyana na Ngoreme hazionekani licha ya Serikali kuleta.

2: Shule ya Sekondari Morotonga licha ya kuwekewa milioni 600, haijakamilika na Pesa hazipo.

3: Mgogoro wa vijiji vya mesaga na majimoto, DC ametulia

4: Mchina( Muzungu) kawekeza katika kuchimba madini na kufukuza wananchi Majimoto, na wananchi hawajalipwa fidia.

5: Wizi unaofanywa naviongozi wa Halmashauri, Halmashauri imejaa uozo, Baraza la Madiwani halina Dira!
Hongera sana Mbunge jimbo la Serengeti, umesimama kiume, umewambia, washindwe wao!
Ukichunguza kwa kina haya madudu ni ya muda mrefu yanajiri hapo Serengeti.

Uchaguzi umekaribia, mbunge anapanga kura
 
Sasa kama mwingine kaingia kwenye mfumo, kakomba milioni 200, hii ni kufulu

——Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amemwagiza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, ACP Salum Morcase amkamate Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti, Saad Mutunzi Ishabailu kwa kosa la kuhamisha shilingi milioni 213,748,085 kwa awamu nne kwa njia ya uhamisho wa ndani kwa kushirikiana na watumishi wa Ofisi ya Rais TAMISEMI na kuzitumia kwa matumizi yao binafsi.

Ametoa agizo hilo leo Jumanne, Februari 27, 2024, wakati akizungumza na madiwani na watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti kwenye kikao kilichofanyika katika Halmashauri hiyo, mkoani Mara.

"Mkamate huyo bwana sasa hivi aende polisi akafunguliwe mashtaka, huyu ni wa kupeleka mahakamani moja kwa moja. DPP aelezwe afungue jalada la mashtaka, wale wenzake tumewapeleka mahakamani tayari sababu tulibaini walihusika na wizi kama huu kwenye Manispaa ya Kigoma mwaka jana," amesema Waziri Mkuu

#EastAfricaTV
Nikisema nchi inaendeshwa kihuni sijakosea.

Waziri Mkuu amepata dokezo kupitia intel, na vyombo vyote hadi polisi na takukuru wanajua hiyo ishu. Walikuwa wanasubiri maagizo ili wafanyekazi.

Wananchi hapa tunapumbazwa kuwa kazi inafanyika ilihali huu ni uzembe mkubwa unaotokana na kukosekana kwa UTAWALA BORA kwenye mfumo mzima wa serikali
 
Nikisema nchi inaendeshwa kihuni sijakosea.

Waziri Mkuu amepata dokezo kupitia intel, na vyombo vyote hadi polisi na takukuru wanajua hiyo ishu. Walikuwa wanasubiri maagizo ili wafanyekazi.

Wananchi hapa tunapumbazwa kuwa kazi inafanyika ilihali huu ni uzembe mkubwa unaotokana na kukosekana kwa UTAWALA BORA kwenye mfumo mzima wa serikali
Uko sawa
 
Ni wizi tu umetamalaki Mkoa wa Mara. Sio ajabu reshuffle ikafuatia kila Kiongozi Mkuu alifanya ziara ya kikazi.

Sijui kwa nini hawajifunzi kuwa waadilifu.
 
Waziri Mkuu ndiye alibaki wa Kufunga paka Kengele; Hatufiki
Eti, Mkurugenzi upo, Mkaguzi wa Mahesabu upo, TAKUKURU upo, TIS (usalama) mpo, watu wanapiga hela kama hawana akili nzuri
 
Ni wizi tu umetamalaki Mkoa wa Mara. Sio ajabu reshuffle ikafuatia kila Kiongozi Mkuu alifanya ziara ya kikazi.

Sijui kwa nini hawajifunzi kuwa waadilifu.
Sasa kuna hospitali inajengwa machochwe imeshindwa kukamilika, BOQ inatisha, mfumo mmoja wa sementi ulikuwa unanunuliwa zaidi ya Sh elfu 30, Ingeneer anapitisha, Diwani yupo, Hili nalo la kusubiri waziri mkuu
 
Mama Hawakuogopi! Ni heri ungehairisha nia yako, tuna umia sisi wanyonge.
Watu wanalamba asali, wanyonge tunadhoofu KWA njaa.
Hii inarefleki stori ya starving boy.
Niliwahi kusoma shairi moja la mtoto mwenye utapia mlo, akiwa na ndoto za akiwa mkubwa achukue bunduki apiganie ukombozi wakati uwezo wa kupata mlo mmoja hana!
Tukihoji tunaambiwa tuhamie Burundi
 
Hivi hizi halmashauri mbona zinakuwa na watu wapigaji sana ? Tanzania kila mtumishi anajiangalia yeye na watu WA karibu waliomzunguka sijui Kwanini
 
Naomba nende kwenye mada moja kwa moja.
Leo Tarehe 27 febr

Mh.Khasim Majaliwa, (Mb)na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya ziara wilaya ya Serengeti.

Katika ziara hiyo, Mh Waziri Mkuu alifanya kikao na watumishi wa Umma, Katika kikao hicho, baadhi ya viongozi wamejikuta katika wakati Mugumu, Afisa Elimu Sekondari (DEO) bahati yake hakuwepo kwenye kikao, mwingine ni Muazini wa Wilaya (DT), Amewekwa chini ya ulinzi kwa kutakatisha zaidi ya molioni 200.

Katika mkutano na wanachi Mbunge Mh. Amusabi alipata nafasi ya kuwakilisha hoja za wanachi, hoja zilizo wakilishwa ni kama ifuatavyo;

1: Pesa ya ujenzi ya vituo cya afya Kenyana na Ngoreme hazionekani licha ya Serikali kuleta.

2: Shule ya Sekondari Morotonga licha ya kuwekewa milioni 600, haijakamilika na Pesa hazipo.

3: Mgogoro wa vijiji vya mesaga na majimoto, DC ametulia

4: Mchina( Muzungu) kawekeza katika kuchimba madini na kufukuza wananchi Majimoto, na wananchi hawajalipwa fidia.

5: Wizi unaofanywa naviongozi wa Halmashauri, Halmashauri imejaa uozo, Baraza la Madiwani halina Dira!
Hongera sana Mbunge jimbo la Serengeti, umesimama kiume, umewambia, washindwe wao!
SIR-100 hajui kinachoendelea nchini.
Mama ana upiga mwingi.
Tuende naye hadi 2030, tunaenda naye wapi na kufanya nini?
 
Naomba nende kwenye mada moja kwa moja.
Leo Tarehe 27 febr

Mh.Khasim Majaliwa, (Mb)na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amefanya ziara wilaya ya Serengeti.

Katika ziara hiyo, Mh Waziri Mkuu alifanya kikao na watumishi wa Umma, Katika kikao hicho, baadhi ya viongozi wamejikuta katika wakati Mugumu, Afisa Elimu Sekondari (DEO) bahati yake hakuwepo kwenye kikao, mwingine ni Muazini wa Wilaya (DT), Amewekwa chini ya ulinzi kwa kutakatisha zaidi ya molioni 200.

Katika mkutano na wanachi Mbunge Mh. Amusabi alipata nafasi ya kuwakilisha hoja za wanachi, hoja zilizo wakilishwa ni kama ifuatavyo;

1: Pesa ya ujenzi ya vituo cya afya Kenyana na Ngoreme hazionekani licha ya Serikali kuleta.

2: Shule ya Sekondari Morotonga licha ya kuwekewa milioni 600, haijakamilika na Pesa hazipo.

3: Mgogoro wa vijiji vya mesaga na majimoto, DC ametulia

4: Mchina( Muzungu) kawekeza katika kuchimba madini na kufukuza wananchi Majimoto, na wananchi hawajalipwa fidia.

5: Wizi unaofanywa naviongozi wa Halmashauri, Halmashauri imejaa uozo, Baraza la Madiwani halina Dira!
Hongera sana Mbunge jimbo la Serengeti, umesimama kiume, umewambia, washindwe wao!



Hii nchi ya kishenzy sana
 
WAZIRI mkuu naomba fika musoma mjini Kuna changamoto km hizo za wizi, huku wizi unafanywa na kuhamasishwa na MBUNGE MATHAYO Wakishirikiana na mwenyekiti wa halmashauri GUMBO(huyu alifukuzwa jeshini Kwa mambo km haya ya wizi),,
 
Wote hao ni wale wale tu hapo utakuta yeye hakumegewa pande so kaamua kuwakaanga wenzake.CCM wote ni walewale tu nchi hii tupiganie katiba mpya kwa tone la mwisho la damu.
 
Waziri Mkuu ndiye alibaki wa Kufunga paka Kengele; Hatufiki
Eti, Mkurugenzi upo, Mkaguzi wa Mahesabu upo, TAKUKURU upo, TIS (usalama) mpo, watu wanapiga hela kama hawana akili nzuri
PM anapokea taarifa kutoka vyombo hivyo ndio ana act....usidhani amekurupuka au amegundua yeye hapo....watu wako kazini
 
Back
Top Bottom