Tanzania inahitaji CHADEMA ili iweze kujirejeshea heshima kama taifa huru na imara barani Afrika

Nov 15, 2019
35
113
Tanzania kama taifa licha ya ukongwe wake toka tupate uhuru ni dhahiri kwamba mifumo ya utawala imekuwa ikibidi kuwa mibovu kila kukicha. Hii hali imekuwa ikichangiwa sana sana na uchu wa viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa serikalini kutaka uzao wao urithi nafasi na kufuata nyayo zao katika madaraka.

CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kimekuwa kikipata uungwaji mkono kutoka kwa wanyonge wengi na wazalendo wa taifa kutokana na hoja pamoja na dhamira yao ya kuhakikisha na kuhimiza umoja wa kitaifa, utawala wa sheria, udumishaji wa demokrasia pamoja na uwazi na uwajibikaji kwa viongozi wa umma.

Serikali kupitia CCM imetengeneza taswira mpya, mbaya tena ya kijima kwakuamini kwamba kila wazo linalokinzana na matakwa ya kiongozi wa CCM kwamba ni la kipinzani. Wanaenda mbali zaidi na kuzidi kutumia kamati za maadili kuwanyamanzisha wale wana CCM wanaoonekana vichomi katika kuibua madhaifu yaliyomo ndani ya chama chao.

Vifuatavyo ni vitu ambavyo serikali ya CCM imevifanya na hatimaye kuondoa radha yake masikioni mwa wananchi:-
1. Utelekezwaji wa washtakiwa Ripoti ya CAG.
Kupitia hili wananchi wanasikia hela zimepotelea kwenye sekta fulani lakini walengwa hawachukuliwi hatua. Hii hali siyo tu inawaumiza wananchi, lakini pia inawapa nguvu wapinzani na kuondoa matumaini ya Chama tawala kwenye maskio ya watanzania.

2. Matumizi ya anasa ya fedha za umma.
Chini ya utawala wa CCM kumekuwa na kunashuhudiwa upotevu mkubwa wa pesa ya umma kwa matumizi yasiyo na umuhimu wowote (anasa) kwa wananchi. Unakuta ziara zinakuwa nyingi tena za viongozi wa vyama ndani ya nchi majukumu ambayo wangetekeleza MA DC, DED, RC na mawaziri unakuta hela ya serikali na magari vinatumiwa unnecessary kutimiza ziara za kichama.

Pamoja na mengine mengi, CHADEMA ikishika dola chini ya mfumo wao pendwa wa majimbo, serikali itabadirika na tena maswala ya kufitiniana sisi kwa sisi wakati wote ni watanzania hayatokuwepo.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!
 
Tanzania kama taifa licha ya ukongwe wake toka tupate uhuru ni dhahiri kwamba mifumo ya utawala imekuwa ikibidi kuwa mibovu kila kukicha. Hii hali imekuwa ikichangiwa sana sana na uchu wa viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa serikalini kutaka uzao wao urithi nafasi na kufuata nyayo zao katika madaraka.

CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kimekuwa kikipata uungwaji mkono kutoka kwa wanyonge wengi na wazalendo wa taifa kutokana na hoja pamoja na dhamira yao ya kuhakikisha na kuhimiza umoja wa kitaifa, utawala wa sheria, udumishaji wa demokrasia pamoja na uwazi na uwajibikaji kwa viongozi wa umma.

Serikali kupitia CCM imetengeneza taswira mpya, mbaya tena ya kijima kwakuamini kwamba kila wazo linalokinzana na matakwa ya kiongozi wa CCM kwamba ni la kipinzani. Wanaenda mbali zaidi na kuzidi kutumia kamati za maadili kuwanyamanzisha wale wana CCM wanaoonekana vichomi katika kuibua madhaifu yaliyomo ndani ya chama chao.

Vifuatavyo ni vitu ambavyo serikali ya CCM imevifanya na hatimaye kuondoa radha yake masikioni mwa wananchi:-
1. Utelekezwaji wa washtakiwa Ripoti ya CAG.
Kupitia hili wananchi wanasikia hela zimepotelea kwenye sekta fulani lakini walengwa hawachukuliwi hatua. Hii hali siyo tu inawaumiza wananchi, lakini pia inawapa nguvu wapinzani na kuondoa matumaini ya Chama tawala kwenye maskio ya watanzania.

2. Matumizi ya anasa ya fedha za umma.
Chini ya utawala wa CCM kumekuwa na kunashuhudiwa upotevu mkubwa wa pesa ya umma kwa matumizi yasiyo na umuhimu wowote (anasa) kwa wananchi. Unakuta ziara zinakuwa nyingi tena za viongozi wa vyama ndani ya nchi majukumu ambayo wangetekeleza MA DC, DED, RC na mawaziri unakuta hela ya serikali na magari vinatumiwa unnecessary kutimiza ziara za kichama.

Pamoja na mengine mengi, CHADEMA ikishika dola chini ya mfumo wao pendwa wa majimbo, serikali itabadirika na tena maswala ya kufitiniana sisi kwa sisi wakati wote ni watanzania hayatokuwepo.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!

umepigaje apo...

Chadema ipi sasa ile ya kaskazini chini ya Patriotic mwamba wa kaskazini au ile ya Diaspora inayofadhiliwa na mabwenyenye ya Magharibi chini ya Puppet leadership ya second in command ya hiyo Chama? 🐒

hebu fafanua kidogo apo 🐒
 
Tanzania kama taifa licha ya ukongwe wake toka tupate uhuru ni dhahiri kwamba mifumo ya utawala imekuwa ikibidi kuwa mibovu kila kukicha. Hii hali imekuwa ikichangiwa sana sana na uchu wa viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa serikalini kutaka uzao wao urithi nafasi na kufuata nyayo zao katika madaraka.

CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kimekuwa kikipata uungwaji mkono kutoka kwa wanyonge wengi na wazalendo wa taifa kutokana na hoja pamoja na dhamira yao ya kuhakikisha na kuhimiza umoja wa kitaifa, utawala wa sheria, udumishaji wa demokrasia pamoja na uwazi na uwajibikaji kwa viongozi wa umma.

Serikali kupitia CCM imetengeneza taswira mpya, mbaya tena ya kijima kwakuamini kwamba kila wazo linalokinzana na matakwa ya kiongozi wa CCM kwamba ni la kipinzani. Wanaenda mbali zaidi na kuzidi kutumia kamati za maadili kuwanyamanzisha wale wana CCM wanaoonekana vichomi katika kuibua madhaifu yaliyomo ndani ya chama chao.

Vifuatavyo ni vitu ambavyo serikali ya CCM imevifanya na hatimaye kuondoa radha yake masikioni mwa wananchi:-
1. Utelekezwaji wa washtakiwa Ripoti ya CAG.
Kupitia hili wananchi wanasikia hela zimepotelea kwenye sekta fulani lakini walengwa hawachukuliwi hatua. Hii hali siyo tu inawaumiza wananchi, lakini pia inawapa nguvu wapinzani na kuondoa matumaini ya Chama tawala kwenye maskio ya watanzania.

2. Matumizi ya anasa ya fedha za umma.
Chini ya utawala wa CCM kumekuwa na kunashuhudiwa upotevu mkubwa wa pesa ya umma kwa matumizi yasiyo na umuhimu wowote (anasa) kwa wananchi. Unakuta ziara zinakuwa nyingi tena za viongozi wa vyama ndani ya nchi majukumu ambayo wangetekeleza MA DC, DED, RC na mawaziri unakuta hela ya serikali na magari vinatumiwa unnecessary kutimiza ziara za kichama.

Pamoja na mengine mengi, CHADEMA ikishika dola chini ya mfumo wao pendwa wa majimbo, serikali itabadirika na tena maswala ya kufitiniana sisi kwa sisi wakati wote ni watanzania hayatokuwepo.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!
HAKIKA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA NCHI IMEGANDA VIONGOZI AKILI ZIMEFIKA MWISHO KUFIKIRI SUALA LA UMEME LIMEKUWA JIWE KUU LA PEMBENI LILILOWASHINDA WAASHI
 
Chadema ile jnayowakasirik8a na kuwafitini watoto wadogo kama diamond na masanja kisa kutoa burudani tofauti na matakwa yao na bado wakashindwa?!!!!
 
JamiiForums442997317_236x211.jpeg
 
Tanzania kama taifa licha ya ukongwe wake toka tupate uhuru ni dhahiri kwamba mifumo ya utawala imekuwa ikibidi kuwa mibovu kila kukicha. Hii hali imekuwa ikichangiwa sana sana na uchu wa viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa serikalini kutaka uzao wao urithi nafasi na kufuata nyayo zao katika madaraka.

CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kimekuwa kikipata uungwaji mkono kutoka kwa wanyonge wengi na wazalendo wa taifa kutokana na hoja pamoja na dhamira yao ya kuhakikisha na kuhimiza umoja wa kitaifa, utawala wa sheria, udumishaji wa demokrasia pamoja na uwazi na uwajibikaji kwa viongozi wa umma.

Serikali kupitia CCM imetengeneza taswira mpya, mbaya tena ya kijima kwakuamini kwamba kila wazo linalokinzana na matakwa ya kiongozi wa CCM kwamba ni la kipinzani. Wanaenda mbali zaidi na kuzidi kutumia kamati za maadili kuwanyamanzisha wale wana CCM wanaoonekana vichomi katika kuibua madhaifu yaliyomo ndani ya chama chao.

Vifuatavyo ni vitu ambavyo serikali ya CCM imevifanya na hatimaye kuondoa radha yake masikioni mwa wananchi:-
1. Utelekezwaji wa washtakiwa Ripoti ya CAG.
Kupitia hili wananchi wanasikia hela zimepotelea kwenye sekta fulani lakini walengwa hawachukuliwi hatua. Hii hali siyo tu inawaumiza wananchi, lakini pia inawapa nguvu wapinzani na kuondoa matumaini ya Chama tawala kwenye maskio ya watanzania.

2. Matumizi ya anasa ya fedha za umma.
Chini ya utawala wa CCM kumekuwa na kunashuhudiwa upotevu mkubwa wa pesa ya umma kwa matumizi yasiyo na umuhimu wowote (anasa) kwa wananchi. Unakuta ziara zinakuwa nyingi tena za viongozi wa vyama ndani ya nchi majukumu ambayo wangetekeleza MA DC, DED, RC na mawaziri unakuta hela ya serikali na magari vinatumiwa unnecessary kutimiza ziara za kichama.

Pamoja na mengine mengi, CHADEMA ikishika dola chini ya mfumo wao pendwa wa majimbo, serikali itabadirika na tena maswala ya kufitiniana sisi kwa sisi wakati wote ni watanzania hayatokuwepo.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!
Kweli kabisa.
 
Tanzania kama taifa licha ya ukongwe wake toka tupate uhuru ni dhahiri kwamba mifumo ya utawala imekuwa ikibidi kuwa mibovu kila kukicha. Hii hali imekuwa ikichangiwa sana sana na uchu wa viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa serikalini kutaka uzao wao urithi nafasi na kufuata nyayo zao katika madaraka.

CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kimekuwa kikipata uungwaji mkono kutoka kwa wanyonge wengi na wazalendo wa taifa kutokana na hoja pamoja na dhamira yao ya kuhakikisha na kuhimiza umoja wa kitaifa, utawala wa sheria, udumishaji wa demokrasia pamoja na uwazi na uwajibikaji kwa viongozi wa umma.

Serikali kupitia CCM imetengeneza taswira mpya, mbaya tena ya kijima kwakuamini kwamba kila wazo linalokinzana na matakwa ya kiongozi wa CCM kwamba ni la kipinzani. Wanaenda mbali zaidi na kuzidi kutumia kamati za maadili kuwanyamanzisha wale wana CCM wanaoonekana vichomi katika kuibua madhaifu yaliyomo ndani ya chama chao.

Vifuatavyo ni vitu ambavyo serikali ya CCM imevifanya na hatimaye kuondoa radha yake masikioni mwa wananchi:-
1. Utelekezwaji wa washtakiwa Ripoti ya CAG.
Kupitia hili wananchi wanasikia hela zimepotelea kwenye sekta fulani lakini walengwa hawachukuliwi hatua. Hii hali siyo tu inawaumiza wananchi, lakini pia inawapa nguvu wapinzani na kuondoa matumaini ya Chama tawala kwenye maskio ya watanzania.

2. Matumizi ya anasa ya fedha za umma.
Chini ya utawala wa CCM kumekuwa na kunashuhudiwa upotevu mkubwa wa pesa ya umma kwa matumizi yasiyo na umuhimu wowote (anasa) kwa wananchi. Unakuta ziara zinakuwa nyingi tena za viongozi wa vyama ndani ya nchi majukumu ambayo wangetekeleza MA DC, DED, RC na mawaziri unakuta hela ya serikali na magari vinatumiwa unnecessary kutimiza ziara za kichama.

Pamoja na mengine mengi, CHADEMA ikishika dola chini ya mfumo wao pendwa wa majimbo, serikali itabadirika na tena maswala ya kufitiniana sisi kwa sisi wakati wote ni watanzania hayatokuwepo.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!
Chadema ipi?
Hii ya mwenyekiti wao ambae analamba asali sasa?
Au ile ya 2015 ambayo iligeuzia gia angani baada ya "kuvuta ngawira" za mzee mwenye mvi?
 
Tanzania kama taifa licha ya ukongwe wake toka tupate uhuru ni dhahiri kwamba mifumo ya utawala imekuwa ikibidi kuwa mibovu kila kukicha. Hii hali imekuwa ikichangiwa sana sana na uchu wa viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa serikalini kutaka uzao wao urithi nafasi na kufuata nyayo zao katika madaraka.

CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kimekuwa kikipata uungwaji mkono kutoka kwa wanyonge wengi na wazalendo wa taifa kutokana na hoja pamoja na dhamira yao ya kuhakikisha na kuhimiza umoja wa kitaifa, utawala wa sheria, udumishaji wa demokrasia pamoja na uwazi na uwajibikaji kwa viongozi wa umma.

Serikali kupitia CCM imetengeneza taswira mpya, mbaya tena ya kijima kwakuamini kwamba kila wazo linalokinzana na matakwa ya kiongozi wa CCM kwamba ni la kipinzani. Wanaenda mbali zaidi na kuzidi kutumia kamati za maadili kuwanyamanzisha wale wana CCM wanaoonekana vichomi katika kuibua madhaifu yaliyomo ndani ya chama chao.

Vifuatavyo ni vitu ambavyo serikali ya CCM imevifanya na hatimaye kuondoa radha yake masikioni mwa wananchi:-
1. Utelekezwaji wa washtakiwa Ripoti ya CAG.
Kupitia hili wananchi wanasikia hela zimepotelea kwenye sekta fulani lakini walengwa hawachukuliwi hatua. Hii hali siyo tu inawaumiza wananchi, lakini pia inawapa nguvu wapinzani na kuondoa matumaini ya Chama tawala kwenye maskio ya watanzania.

2. Matumizi ya anasa ya fedha za umma.
Chini ya utawala wa CCM kumekuwa na kunashuhudiwa upotevu mkubwa wa pesa ya umma kwa matumizi yasiyo na umuhimu wowote (anasa) kwa wananchi. Unakuta ziara zinakuwa nyingi tena za viongozi wa vyama ndani ya nchi majukumu ambayo wangetekeleza MA DC, DED, RC na mawaziri unakuta hela ya serikali na magari vinatumiwa unnecessary kutimiza ziara za kichama.

Pamoja na mengine mengi, CHADEMA ikishika dola chini ya mfumo wao pendwa wa majimbo, serikali itabadirika na tena maswala ya kufitiniana sisi kwa sisi wakati wote ni watanzania hayatokuwepo.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!
Mkuu tunahitaji mdahalo kati ya Titho Philemon, CHADEMA V/S Lucas Mwashambwa, CCM.
 
Tanzania kama taifa licha ya ukongwe wake toka tupate uhuru ni dhahiri kwamba mifumo ya utawala imekuwa ikibidi kuwa mibovu kila kukicha. Hii hali imekuwa ikichangiwa sana sana na uchu wa viongozi waliowahi kushika nyadhifa kubwa serikalini kutaka uzao wao urithi nafasi na kufuata nyayo zao katika madaraka.

CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani hapa nchini, kimekuwa kikipata uungwaji mkono kutoka kwa wanyonge wengi na wazalendo wa taifa kutokana na hoja pamoja na dhamira yao ya kuhakikisha na kuhimiza umoja wa kitaifa, utawala wa sheria, udumishaji wa demokrasia pamoja na uwazi na uwajibikaji kwa viongozi wa umma.

Serikali kupitia CCM imetengeneza taswira mpya, mbaya tena ya kijima kwakuamini kwamba kila wazo linalokinzana na matakwa ya kiongozi wa CCM kwamba ni la kipinzani. Wanaenda mbali zaidi na kuzidi kutumia kamati za maadili kuwanyamanzisha wale wana CCM wanaoonekana vichomi katika kuibua madhaifu yaliyomo ndani ya chama chao.

Vifuatavyo ni vitu ambavyo serikali ya CCM imevifanya na hatimaye kuondoa radha yake masikioni mwa wananchi:-
1. Utelekezwaji wa washtakiwa Ripoti ya CAG.
Kupitia hili wananchi wanasikia hela zimepotelea kwenye sekta fulani lakini walengwa hawachukuliwi hatua. Hii hali siyo tu inawaumiza wananchi, lakini pia inawapa nguvu wapinzani na kuondoa matumaini ya Chama tawala kwenye maskio ya watanzania.

2. Matumizi ya anasa ya fedha za umma.
Chini ya utawala wa CCM kumekuwa na kunashuhudiwa upotevu mkubwa wa pesa ya umma kwa matumizi yasiyo na umuhimu wowote (anasa) kwa wananchi. Unakuta ziara zinakuwa nyingi tena za viongozi wa vyama ndani ya nchi majukumu ambayo wangetekeleza MA DC, DED, RC na mawaziri unakuta hela ya serikali na magari vinatumiwa unnecessary kutimiza ziara za kichama.

Pamoja na mengine mengi, CHADEMA ikishika dola chini ya mfumo wao pendwa wa majimbo, serikali itabadirika na tena maswala ya kufitiniana sisi kwa sisi wakati wote ni watanzania hayatokuwepo.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!
CHADEMA ipi hiyo? Au Kuna nyingine zaidi ya hii ambayo Ina capitalize kwenye ukabila dini na ukanda? Acheni utapeli...CCM bado ni chama Cha watanzania wote kasoro Moja tu ni hiyo mliyoisema. Kusema ukweli hakuwafanyi ninyi kuwa Wazuri ni kwamba ukweli umesemwa na mwovu kwakua hakuna wakuusema so hata mawe yanaongea
 
CHADEMA ipi hiyo? Au Kuna nyingine zaidi ya hii ambayo Ina capitalize kwenye ukabila dini na ukanda? Acheni utapeli...CCM bado ni chama Cha watanzania wote kasoro Moja tu ni hiyo mliyoisema. Kusema ukweli hakuwafanyi ninyi kuwa Wazuri ni kwamba ukweli umesemwa na mwovu kwakua hakuna wakuusema so hata mawe yanaongea
Bora hata umejua kama ukweli unasemwa. Endeleeni na mapinduzi yenu ya kulamba asali na kukuza uchawa
 
Back
Top Bottom