Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

DustBin

JF-Expert Member
Jun 3, 2021
544
558
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri YA Muungano wa Tanzania..

Nitaenda moja kwa moja kwenye hoja.

Katika hali ya kawaida serikali inayoongozwa na chama tawala inapofanya vibaya kwenye septa au nyanja fulani, kama vile ukosefu wa ajira, huduma mbovu, hali ngumu ya maisha nk. Basi hua ni fursa kwa wananchi kufanya maamuzi ya mabadiliko ktk uchaguzi; lakini pia ni fursa kwa vyama vingine shiriki kupata hoja za kujinadi wakati wa kampeni. Maandamano hua kwa makundi maalumu ya raia/wananchi. Inapofikia chama, tena kinachojinadi kuwa ndio cha upinzani kufanya maandamano kuishinikiza serikali kufanya kitu fulani, hii ni wazi kabisa kwamba chama hicho kimekata tamaa ya kushika hatamu.

Ushauri wangu; CHADEMA wajitathimini na ikibidi waangalie namna/njia nyingine ya wao kujing'arisha kwa wananchi. Kwa hii ya Maandamano haitoleta tija.

Sabato Njema

Wakatabahu
DustBin
 
Mambo mengine ni ndoto zisizowezekana.

Mnyika na Mbowe wawatoe madarakani chama chenye kina mzee Kinana, Nchimbi, Msoga, TISS na wakuu wa majeshi. Never.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri YA Muungano wa Tanzania..

Nitaenda moja kwa moja kwenye hoja.

Katika hali ya kawaida serikali inayoongozwa na chama tawala inapofanya vibaya kwenye septa au nyanja fulani, kama vile ukosefu wa ajira, huduma mbovu, hali ngumu ya maisha nk. Basi hua ni fursa kwa wananchi kufanya maamuzi ya mabadiliko ktk uchaguzi; lakini pia ni fursa kwa vyama vingine shiriki kupata hoja za kujinadi wakati wa kampeni. Maandamano hua kwa makundi maalumu ya raia/wananchi. Inapofikia chama, tena kinachojinadi kuwa ndio cha upinzani kufanya maandamano kuishinikiza serikali kufanya kitu fulani, hii ni wazi kabisa kwamba chama hicho kimekata tamaa ya kushika hatamu.

Ushauri wangu; CHADEMA wajitathimini na ikibidi waangalie namna/njia nyingine ya wao kujing'arisha kwa wananchi. Kwa hii ya Maandamano haitoleta tija.




Sabato Njema

Wakatabahu
DustBin
sio tu ishara ya kukata tamaa bali pia ni uthibitisho wa kuweweseka, kukosa dira, uelekeo, sera na mikakati ya kukonga nyoyo za wananchi humu nchini 🐒 🐒

ndio maana wanaandamania UN kukonga nyoyo za UN🤓
 
sio tu ishara ya kukata tamaa bali pia ni uthibitisho wa kuweweseka, kukosa dira, uelekeo, sera na mikakati ya kukonga nyoyo za wananchi humu nchini 🐒 🐒

ndio maana wanaandamania UN kukonga nyoyo za UN🤓
Watu kama wewe walikuwepo hata wakati Tanganyika ikitafuta uhuru kutoka kwa waingereza. Wengi waliona ni ndoto. Walimwona Nyerere na wenzake kama wapotezaji muda tu. Hivyo si ajabu ukiwa na fikra hizo.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri YA Muungano wa Tanzania..

Nitaenda moja kwa moja kwenye hoja.

Katika hali ya kawaida serikali inayoongozwa na chama tawala inapofanya vibaya kwenye septa au nyanja fulani, kama vile ukosefu wa ajira, huduma mbovu, hali ngumu ya maisha nk. Basi hua ni fursa kwa wananchi kufanya maamuzi ya mabadiliko ktk uchaguzi; lakini pia ni fursa kwa vyama vingine shiriki kupata hoja za kujinadi wakati wa kampeni. Maandamano hua kwa makundi maalumu ya raia/wananchi. Inapofikia chama, tena kinachojinadi kuwa ndio cha upinzani kufanya maandamano kuishinikiza serikali kufanya kitu fulani, hii ni wazi kabisa kwamba chama hicho kimekata tamaa ya kushika hatamu.

Ushauri wangu; CHADEMA wajitathimini na ikibidi waangalie namna/njia nyingine ya wao kujing'arisha kwa wananchi. Kwa hii ya Maandamano haitoleta tija.




Sabato Njema

Wakatabahu
DustBin
Wewe si wa kuwafundisha Chadema namna ya kuendesha siasa za nchi. Endelea kuneemeka na keki unayoipata, waache wapange mikakati waonavyo inafaa. Wenye fikra kama zako walikuwepo hata wakati ule Tanganyika ikitafuta uhuru kutoka kwa waingereza. Waliona kama vile Nyerere na wenzake wanapoteza muda. Hivyo si ajabu.
 
Watu kama wewe walikuwepo hata wakati Tanganyika ikitafuta uhuru kutoka kwa waingereza. Wengi waliona ni ndoto. Walimwona Nyerere na wenzake kama wapotezaji muda tu. Hivyo si ajabu ukiwa na fikra hizo.
na watu kama wewe walijaa tele licha ya kwamba hata hoja hawana wapowapo tu kanyaga twende bora liende, kushoto yupo, kulia yumo na katikati hakosi pia 🐒

Na hakuna namna nyingine Lazima twende nao wote ni waTz pia 🐒
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri YA Muungano wa Tanzania..

Nitaenda moja kwa moja kwenye hoja.

Katika hali ya kawaida serikali inayoongozwa na chama tawala inapofanya vibaya kwenye septa au nyanja fulani, kama vile ukosefu wa ajira, huduma mbovu, hali ngumu ya maisha nk. Basi hua ni fursa kwa wananchi kufanya maamuzi ya mabadiliko ktk uchaguzi; lakini pia ni fursa kwa vyama vingine shiriki kupata hoja za kujinadi wakati wa kampeni. Maandamano hua kwa makundi maalumu ya raia/wananchi. Inapofikia chama, tena kinachojinadi kuwa ndio cha upinzani kufanya maandamano kuishinikiza serikali kufanya kitu fulani, hii ni wazi kabisa kwamba chama hicho kimekata tamaa ya kushika hatamu.

Ushauri wangu; CHADEMA wajitathimini na ikibidi waangalie namna/njia nyingine ya wao kujing'arisha kwa wananchi. Kwa hii ya Maandamano haitoleta tija.




Sabato Njema

Wakatabahu
DustBin
WEWE KWELI NI DUSTBIN KAMA JINA LAKO!
 
Watu kama wewe walikuwepo hata wakati Tanganyika ikitafuta uhuru kutoka kwa waingereza. Wengi waliona ni ndoto. Walimwona Nyerere na wenzake kama wapotezaji muda tu. Hivyo si ajabu ukiwa na fikra hizo.
Hivi uhuru Tanganyika tuliutafuta au tulipewa na kina Edward Twining??
 
Wewe si wa kuwafundisha Chadema namna ya kuendesha siasa za nchi. Endelea kuneemeka na keki unayoipata, waache wapange mikakati waonavyo inafaa. Wenye fikra kama zako walikuwepo hata wakati ule Tanganyika ikitafuta uhuru kutoka kwa waingereza. Waliona kama vile Nyerere na wenzake wanapoteza muda. Hivyo si ajabu.
Pamoja na harakati za kudai uhuru kama unavyosema, Mwalimu hakushawishi wananchi maandamano, tena kila Mkoa/Kanda kama wafanyavyo ndugu zetu hawa
 
Huko kwenu kuna umeme?
Maji yanatoka?
Sukari bei gani mwenzetu?
Chadema wanaandamana japo kukusanua wewe Mtanganyika lofa, na wewe upo unawalipa lawama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yanafikaje kwenye uzi wangu?? Hoja maandamano sio njia sahihi, kwa kuwa hayana tija. Watafute njia mbadala ya kuishauri serikali itatue kama wao wanataka serikali hii iendelee kudumu kwenye madaraka. Na kama wanataka wao kushika hatamu hapo ndio pa kuchukulia points za kujinadi mwakani. Ndio maana nikasema Ishara inaonesha Wamekata Tamaa kushika Dola.

Rudia kusoma tena uzi wangu we jamaa.., usikurupuke
 
Back
Top Bottom