Chawa walikuja na mbwembwe kwamba karejesha uhuru wa habari na kujieleza. Hila kiuhalisia anadidimiza uhuru wa kujieleza.
Juzi kati Ney Wamitego aliachia ngoma yake, ambayo badae akaitwa BASATA...
Jamanieeh sio mimi ninayesema haya bali watu wa kitaaa.
Sasa watu wameanza kutafuta Mbadala wa Dkt. Magufuli na wengine wakisema hakuna wasiwasi Tundu Lissu yupo mambo yatakuwa sawa.
Kwamba ni...
Kwa sisi tunaomjua Freeman Aikael Mbowe tokea kabla ya Vita ya Kagera kupiganwa tunakisubiri kwa hamu Kitabu cha Historia ya Maisha yake
Huyu Mwamba amefanya mambo makubwa na ya kushangaza sana...
Mitaani anaonekana ni rais anaendesha nchi kama picha tu huku wanaomua nchi iende vipi wapo kando .
Ameonekana ni rais ambaye hana maamuzi ya msingi. Wanaoiba mali za umma kwa ufisadi mkubwa...
Raisi Samia, japo umetukwaza sana na hii issue ya bandari, kuna mambo mazuri umefanya hasa katika kurekebisha baadhi ya mambo yaliyofanyika wakati wa utawala Marehemu Magufuli. Moja ya eneo...
Nyerere wetu, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Tanganyika na Rais wa kwanza wa Tanganyika na Tanzania, kasingiziwa mengi sana.
Ntaanza kuyataja hapa mambo 7 aliyosingiziwa na ntatowa sababu...
Ndugu zangu Watanzania,
Leo Rais samia Amekata kiu ya watanzania na kulituliza Taifa ambapo muda mwingi walikuwa wanataka kusikia kauli yake juu ya changamoto ya kukatika kwa umeme. Kwa utulivu...
Hakika nichukue nafasi hii kumpongeza Mwanasheria Mkuu Mstaafu wa Kenya kwa kuonesha uzalendo kwa nchi yake juu ya kutaka wabunge wa viti maalum wasiwepo ili kuwapunguzia mzigo wa kodi wananchi...
My Take
Ni vyema Serikali ikachukua hatua Kwa wakuu wa taasisi hizi zikizotajwa.
---
Ripoti ya ukaguzi na uchunguzi iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imebainisha kuwa...
Nauliza tu kwa wachambuzi wa Siasa iwapo Shujaa Magufuli alikuwa anamuandaa Dr Mwigulu Nchemba PhD kuwa mrithi wake
Mwigulu Nchemba aliapichiwa Ikulu ya Chato kuwa Waziri wa Katiba na Sheria...
Rais wa awamu ya Tano hayati Magufuli kila alipokuwa anaweka jiwe la msingi la miradi alikuwa na tabia ya kuambatana na viongozi wa dini na kumtanguliza Mungu mbele ndiyo maana miradi inaendelea...
Kusajili Huduma ya kiroho siyo sawa na kusajili Chama cha Siasa kuna mambo mengi ya kuzingatia ili Serikali ikupe kibali
Ndio unawakuta Mchungaji kama Masanja Mkandamizaji yuko chini ya...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Kajubi Mukajanga ametangaza kuachia wadhifa huo ndani ya miezi mitatu kuanzia juzi Septemba 28, 2023 baada ya kudumu kwenye wadhifa huo kwa...
Vigezo gani mtu anatakiwa kukidhi ili kupata usajili au kibali cha kufungua na kuendesha huduma za kanisa, hekalu, msikiti n.k?
Kwa wale ambao nyie wenyewe binafsi au ndugu zenu mmewahi kusajili...
Je kuongezeka, kuimarika na kushamiri kwa hali hii ya uelewa mpana wa mambo kwa wananchi, kumechochewa zaidi na nini, ili kusudi pia kichocheo hicho kitumike kuchochea Elimu na uelewa wa katiba...
Hii kampuni ilianza Kwa speed ya 5G , Kwa safari Za Dar Es Salaam kwenda arusha.
Ili fungua Ofisi kila mahali Huku Dar Es Salaam na Arusha .
Ukilipanda ulikuwa Unapewa soda , juice na pipi...
Naona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London