johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Nauliza tu kwa wachambuzi wa Siasa iwapo Shujaa Magufuli alikuwa anamuandaa Dr Mwigulu Nchemba PhD kuwa mrithi wake
Mwigulu Nchemba aliapichiwa Ikulu ya Chato kuwa Waziri wa Katiba na Sheria
Katika Uchaguzi mkuu wa 2020 Wasaidizi wa Dr Mwigulu kuanzia alipokuwa Naibu Katibu mkuu wa CCM walishinda Ubunge na sasa wako na Waziri wa fedha kana kwamba ni wale thenashara
Je, Mwigulu Ndiye ajaye?
cc: Pascal Mayalla
Mwigulu Nchemba aliapichiwa Ikulu ya Chato kuwa Waziri wa Katiba na Sheria
Katika Uchaguzi mkuu wa 2020 Wasaidizi wa Dr Mwigulu kuanzia alipokuwa Naibu Katibu mkuu wa CCM walishinda Ubunge na sasa wako na Waziri wa fedha kana kwamba ni wale thenashara
Je, Mwigulu Ndiye ajaye?
cc: Pascal Mayalla