johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,112
Kwa sisi tunaomjua Freeman Aikael Mbowe tokea kabla ya Vita ya Kagera kupiganwa tunakisubiri kwa hamu Kitabu cha Historia ya Maisha yake
Huyu Mwamba amefanya mambo makubwa na ya kushangaza sana katika Historia ya Siasa za Vyama vingi
Binafsi sitamsahau kwa alivyoweza kuwashawishi mzee Lowasa na John Shibuda kuhamia Chadema. Ninaelewa mchango na mizizi ya Wawili hawa Ndani ya CCM mtu " mjinga mjinga" asingeweza kuwashawishi
Na cha kushangaza sana Dr Slaa alitoka Chadema lakini hakuchukua kadi ya CCM hadi leo na akikwama anampiga mizinga Mbowe
Mwamba hana wa kufanana naye Bongo
Nawatakia Sabato Njema!
Huyu Mwamba amefanya mambo makubwa na ya kushangaza sana katika Historia ya Siasa za Vyama vingi
Binafsi sitamsahau kwa alivyoweza kuwashawishi mzee Lowasa na John Shibuda kuhamia Chadema. Ninaelewa mchango na mizizi ya Wawili hawa Ndani ya CCM mtu " mjinga mjinga" asingeweza kuwashawishi
Na cha kushangaza sana Dr Slaa alitoka Chadema lakini hakuchukua kadi ya CCM hadi leo na akikwama anampiga mizinga Mbowe
Mwamba hana wa kufanana naye Bongo
Nawatakia Sabato Njema!