Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo...
24 Reactions
133 Replies
13K Views
Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka duniani hivi sasa Hili hapa ndio Tangazo la IDU ---- The IDU is pleased that Freeman Mbowe, CHADEMA Party Leader will join us at the #IDUForum2024 Asia-Pacific...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Wadau, amani iwe kwenu. Nianze kwa kusema kuwa lengo la chama chochote cha siasa ni kutwaa dola. Chama cha siasa si kama chama cha Mpira wa miguu ama chama cha kuimba muziki wa singeli. Kwa maana...
53 Reactions
1K Replies
95K Views
Kesho ndugu yetu Paulo ataapa kushika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Jitihada zinafanyika kukusanya magari ya kukodi huko Arusha ili apokewe na msafara mrefu pale atakapokaribia kuingini...
7 Reactions
102 Replies
6K Views
Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa. Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye...
2 Reactions
192 Replies
10K Views
Hili ni Swali ambalo Watanzania tunapaswa kujiuliza , kwamba kwa miaka mingi ofisi ya CAG imejitahidi sana kuanisha mapungufu , Wizi , upotevu na Uchafu wote unaofanywa kwenye mashirika na idara...
11 Reactions
59 Replies
3K Views
Nimepata kumsikiliza waziri Bashe katika kujitahidi kukiinua kilimo nchini. Anabidii nzuri lakini nadhani anapaswa kupewa washauri wazuri wanaojua biashara ya kilimo sio tuu kulima. Binafsi...
2 Reactions
2 Replies
524 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amesema Ufashisti na Udikteta una sura hii Serikali kutaka kujua na kudhibiti kila kitu wafanyacho wananchi Unasajili Vikundi vya Kufa na...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Ibaki kuwa siri ya Rais na watu wake baasi, maana kiukweli pamoja na madudu yote yanayoanikwa lakini hakuna hata mmoja aliyechukuliwa hatua. Zaidi ya kuleta manung'uniko na hasira kwa wananchi...
14 Reactions
51 Replies
2K Views
Leo 31/12/2023 tunauaga mwaka 2023 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2024, hivyo naomba nianze makala yangu hii ya kwa kuwatakia heri ya mwaka mpya 2024 kwa rai moja tuu, "Mwaka 2024 ni Mwaka wa...
9 Reactions
72 Replies
3K Views
Jamiiforums is where we dare to talk openly! Kwa mwananchi yeyote ambaye hajafungwa kimawazo na kifikra, angalia vizuri hii video kwenye dakika ya 1:18 ili yale uliyoambiwa uchanganye naya...
8 Reactions
261 Replies
71K Views
Ni jambo la busara tume ya uchaguzi ikaangalia na upande wa kupunguza majimbo pia badala ya kuyaongeza tu kila wakati, wajibu wa kugawanya majimbo ina maana ni kuyaongeza na kuyapunguza pia...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Afya bora au Afya dhaifu ni kigezo cha kutambua uhai wa Taifa lolote, Afya bora ni matokeo ya mambo mengi na moja wapo likiwa ni huduma bora katika nyanja mbalimbali. Miaka kadhaa iliyopita...
0 Reactions
0 Replies
362 Views
Kada kiherehere wa CCM Lucas Mwashambwa umeonyesha roho ya kishetani kutumia kisiasa msiba uliotokana na ajali mbaya kabisa kule Arusha. Chadema walishapanga maandamano yao kufanyika kesho tarehe...
27 Reactions
51 Replies
5K Views
Paul makonda ni kizazi kipya cha dhahabu yeye na vijana wenzake wengi. Kama unamchukia kwa Leo utakuwa unafanya makosa makubwa sana ! Makonda ni kitabu kikubwa kilichobeba hatima ijayo. Hawa...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Nikinukuu kipande Cha taarifa iliyotolewa na gazeti la Mwananchi kuhusu hotuba ya Waziri mkuu aliyotoa bungeni April 3, 2024 akielezea filamu mpya ya kutangaza utalii inayoitwa "Amazing Tanzania"...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Kuna umuhimu gani wa kuwa na wabunge wa kuteuliwa? Hii tabia ni muendelezo wa kulipana fadhila tu kwa chama tawala ccm. Mwache mtu agombee apite kwa kupigiwa kura na wananchi kama anakubalika...
2 Reactions
3 Replies
639 Views
Watanzania wenzangu nawasabahi. Nije kwenye Mada moja kwa moja. Kuna hili suala la WABUNGE wa VITI MAALUMU katika BUNGE letu. Wabunge hawa Wamekuwa wanapatikana bila kupigiwa kura na Wananchi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Anaandika Humphrey Shao wa Msakuzi Kaskazini. kiongozi ni lazima awe ni yule anayejishugulisha kufikri kwa sababu ya watu na awe anaendana na watu anawaongoza naona huu ndio Mtazamo...
1 Reactions
3 Replies
955 Views
Kama kuna haja ya kuongeza majimbo ya uchaguzi basi ondoeni ubunge wa viti maalumu. Majimbo mapya ya uchaguzi yaongezwe kwa kupunguza idadi ya viti maalum. Ingependeza kwa kila jimbo 1 la uchaguzi...
0 Reactions
5 Replies
503 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…