Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Paul makonda ni kizazi kipya cha dhahabu yeye na vijana wenzake wengi.
Kama unamchukia kwa Leo utakuwa unafanya makosa makubwa sana ! Makonda ni kitabu kikubwa kilichobeba hatima ijayo. Hawa unaowaona Leo 2030 watakuwa wamekata pumzi kabisa. Wengi watakuwa wamezeeka na wengine wamestaafu siasa.
Kizazi kipya Kitakacho kuja kuleta mageuzi makubwa ni hiki cha akina Paulo Makonda, Ally Happy na akina Lengai Ole Sabaya bila kujalisha matokeo ya sasa. Tusimchukie makonda tumuombee.
Kama unamchukia kwa Leo utakuwa unafanya makosa makubwa sana ! Makonda ni kitabu kikubwa kilichobeba hatima ijayo. Hawa unaowaona Leo 2030 watakuwa wamekata pumzi kabisa. Wengi watakuwa wamezeeka na wengine wamestaafu siasa.
Kizazi kipya Kitakacho kuja kuleta mageuzi makubwa ni hiki cha akina Paulo Makonda, Ally Happy na akina Lengai Ole Sabaya bila kujalisha matokeo ya sasa. Tusimchukie makonda tumuombee.