johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lissu amesema Ufashisti na Udikteta una sura hii Serikali kutaka kujua na kudhibiti kila kitu wafanyacho wananchi
Unasajili Vikundi vya Kufa na Kuzikana au vya Ujirani Mwema ili iweje? Amelalamikia Lisu ukurasani X
Mungu wa Mbinguni awabariki Sana.
Pia soma > Msajili wa Jumuiya za Kiraia: Makundi ya WhatsApp kusajiliwa Kisheria kwa TZS 200,000/-
----
Ufashisti na udikteta huwa una sura hii. Serikali kutaka kujua na kudhibiti kila kitu wafanyacho wananchi. Lengo ni kudhibiti uhuru wa wananchi kujiamulia mambo yanayohusu maisha yao. Unasajili vikundi vya kufa na kuzikana, au vya kusaidiana, au vya ujirani mwema ili iweje?
Unasajili Vikundi vya Kufa na Kuzikana au vya Ujirani Mwema ili iweje? Amelalamikia Lisu ukurasani X
Mungu wa Mbinguni awabariki Sana.
Pia soma > Msajili wa Jumuiya za Kiraia: Makundi ya WhatsApp kusajiliwa Kisheria kwa TZS 200,000/-
----
Ufashisti na udikteta huwa una sura hii. Serikali kutaka kujua na kudhibiti kila kitu wafanyacho wananchi. Lengo ni kudhibiti uhuru wa wananchi kujiamulia mambo yanayohusu maisha yao. Unasajili vikundi vya kufa na kuzikana, au vya kusaidiana, au vya ujirani mwema ili iweje?