Bashe ana maarifa, anahitaji washauri asaidiwe

kirengased

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
6,006
6,677
Nimepata kumsikiliza waziri Bashe katika kujitahidi kukiinua kilimo nchini. Anabidii nzuri lakini nadhani anapaswa kupewa washauri wazuri wanaojua biashara ya kilimo sio tuu kulima.

Binafsi nashauri yaanzishwe makampuni ya kilimo moja Kwa moja shambani,iwe ni ubia kati ya serikali na watu binafsi kwa mfumo wa hisa, yakopeshwe fungu maalum na BOT kwa udhamini wa serikali, yapewe mpango kazi na yashindanishwe katika kuzalisha, yenyewe ya recruit vijana na kusimamia kilakitu wizara ibaki ku-deal na makampuni yaliyokuwa organized kiuongozi na siyo vijikundi vya vijana hatakama umewapeleka jkt sijui.

Inashtua kuskia waziri anasema kuna vijana wamekosa nidhamu tumewafukuza kwenye mradi!!! Unapatawapi muda wa kushughulika na vijana na tabia zao wewe kama waziri?

Kilimo kimepitiaga misemo na bidii nyingi za serikali LAKINI hazifanikiwi kwakuwa serikali inajiweka front wakati yenyewe inatakiwa kukaa top(juu) na kuweka sera na mazingira bora ya kilimo na masoko ikiwa nipamoja na kuanzisha makampuni ya kilimo ya wazawa.

Hatutaki kodi zetu za mabilioni zitumike kuanzisha biashara hasara za kutupotezea mabilioni mengine!
Ajifunze TRC, ATCL, TTCL nakadhalika!!

Serikali haitoweza kusimamia agriculture business on the ground bali kusimamia makampuni Kwa kuingia ubia nayo.
 
Nimepata kumsikiliza waziri Bashe katika kujitahidi kujiinua kilimo nchini. Anabidii nzuri lakini nadhani anapaswa kupewa washauri wazuri wanaojua biashara ya kilimo
Binafsi nashauri yaanzishwe makampuni ya kilimo moja Kwa moja shambani,iwe ni ubia wa serikali na watu binafsi Kwa mfumo wa hisa, yakopeshwe fungu maalum na BOT kwa udhamini wa serikali,yapewe mpango kazi na yashindanishwe katika kuzalisha...yenyewe ya recruit vijana na kusimamia kilakitu wizara ibaki ku-deal na makampuni yaliyokuwa organized kiuongozi na siyo vijikundi vya vijana hatakama umewapeleka jkt sijui.
Inashtua kuskia waziri anasema kunavijana wamekosa nidhamu tumewafukuza kwenye mradi!!! Unapatawapi muda wa kushughulika na vijana na tabia zao wewe kama waziri??
Kilimo kimepitiaga misemo na bidii nyingi za serikali LAKINI hazifanikiwa kwakuwa serikali inajiweka front wakati yenyewe inatakiwa kuweka sera na mazingira Bora ya kilimo na masoko ikiwa nipamoja na kuanzisha makampuni ya kilimo ya wazawa.
Hatitaki kodi zetu za mabilioni zitumike kuanzisha biashara hasara za kutupotezea mabilioni mengine! Ajifunze TRC,ATCL,TTCL nakadhalika!! Serikali haitoweza kusimamia agriculture business on the ground Bali kusimamia makampuni Kwa kuingia ubia nayo.
Sahihi,wote tunajua kama mashirika kama tanesco,ttcl,atcl,bandari zote,posta nk yanajiendesha kibiashara kwa mazingira ya hasara.

Je hii big project ya kilimo tulitegemea nini?
Ni muhimu kutengeneza mazingira na kuziachia sekta binafsi kuendesha miradi na mashirika hasa ambayo sio "security threats" huku serikali ikiweka sera za uendeshaji ambazo zitanufaisha taifa na kukusanya kodi.

Kiukweli kuendesha wenyewe hatuwezi.TRC wameachiwa reli na uhitaji wote wa usafirishaji lakini its all but nothing.


Ogopa kitu ambacho kina vimelea vya majority.always matokeo ni sifuri.
 
Sahihi,wote tunajua kama mashirika kama tanesco,ttcl,atcl,bandari zote,posta nk yanajiendesha kibiashara kwa mazingira ya hasara.

Je hii big project ya kilimo tulitegemea nini?
Ni muhimu kutengeneza mazingira na kuziachia sekta binafsi kuendesha miradi na mashirika hasa ambayo sio "security threats" huku serikali ikiweka sera za uendeshaji ambazo zitanufaisha taifa na kukusanya kodi.

Kiukweli kuendesha wenyewe hatuwezi.TRC wameachiwa reli na uhitaji wote wa usafirishaji lakini its all but nothing.


Ogopa kitu ambacho kina vimelea vya majority.always matokeo ni sifuri.
Usemacho ni sahihi sana tatizo kuna viongozi ambao wanaamini wao ndiyo wana akili zaidi na wasemacho/wafanyacho ndiyo point!!
Haihitaji research kuubwa kugundua BBT itaanguka kabla haijaweza kusimama vyema na kutembea. Bora ianguke ikikimbia LAKINI hii itaanguka ikingali inachechemea nivyema viongozi wetu wakajifunza kutokana na makosa hasa ya wengine siyo kila kiongozi atutie hasara kisa hakufanya/hakusimamia yeye.
 
Back
Top Bottom