Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,497
- 46,023
Kama kuna haja ya kuongeza majimbo ya uchaguzi basi ondoeni ubunge wa viti maalumu. Majimbo mapya ya uchaguzi yaongezwe kwa kupunguza idadi ya viti maalum. Ingependeza kwa kila jimbo 1 la uchaguzi linaloongezwa vipinguzwe viti 3 vya ubunge wa viti maalumu.
Mantiki ya ubunge katika nchi za demokrasia halisi ni mtu achaguliwe na wananchi katik jimbo la uchaguzi sio kuteuliwa kama ilivyo katika mhimili wa serikali au mahakama.
Mantiki ya ubunge katika nchi za demokrasia halisi ni mtu achaguliwe na wananchi katik jimbo la uchaguzi sio kuteuliwa kama ilivyo katika mhimili wa serikali au mahakama.