Arusha inajulikana haijipendekezi kwa viongozi wa MagogoniKesho ndugu yetu Paulo ataapa kushika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha...
Jamaa ana nyota kali yule, simuhusudu kivile lakini ukweli kutoka kumoyo Makonda ni full content package.Makonda anaenda kushine na kuwa RC Bora huko Arusha kuliko wengine
Uzuri Makonda ni content yaani hata waandishi wa habari wanapenda kuandika habari zake
Kiufupi Arusha inaenda kuchangamka
Punda,ngamia,baiskeli,pikipiki na motokaa vyote ni vipando ili mradi afike eneo la tukio na kwa vile ni mzee wa matukio!Kesho ndugu yetu Paulo ataapa kushika nafasi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Jitihada zinafanyika kukusanya magari ya kukodi huko Arusha ili apokewe na msafara mrefu pale atakapokaribia kuingini katika jiji hilo.
View attachment 2953229
Kabisajamaa ana nyota kali yule,simuhusudu kivile lakini ukweli kutoka kumoyo Makonda ni full content package.
Mimi Makonda nilikuwa namchukia sana Mwanzo lakini nimegundua jamaa ni Mpakwa Mafuta ni suala la Muda tuKabisa
Ndio maana hakuna sababu ya kumuombea mabaya kila mtu ambae uwezi control fate ya maisha yake hata kama umpendi vipi ni kujiumiza akili tu.
Habari za dua la kuku kwa mwewe
Mimi Makonda nilikuwa namchukia sana Mwanzo lakini nimegundua jamaa ni Mpakwa Mafuta ni suala la Muda tu
Jamaa ana nyota Kali sana , yaani akiteuliwa nafasi yoyote yeye ndiye anakuwa mada wengine wote wanafunikwa
Kiufupi ni ngumu kushindana na Aliyebarikiwa tayari
Pole kwa masikitiko mkuu, machungu yatapoa tu wala usiwe na wasiwasiHata kama kuna watu uwapendi kwenye maisha sio lazima wawe maarufu jaribu sana wasitawale mawazo yako, mtu akishakuwa sehemu ya mawazo ya kila siku huo sasa ndio mwanzo wa psychological problem.
Umpendi mtu sawa ni uamuzi wako lakini jaribu asitawale mawazo yako.
Usiruhusu kabisa mtu ambae hana direct impact ya maisha yako atawale fikra zako. Utakuwa unaumia bure tu Makonda anatoka sehemu ambayo aina ulaji anaenda kwenye nafasi ya ulaji zaidi. Sidhani kama kuna mkuu wa mkoa anaetaka aache nafasi yake kwenda kuwa katibu wa uenezi CCM kama chaguo ni łąke especially mkoa kama Arusha, Dar au Mwanza.
Hahahah, sasa hivi sifa yake imekuwa full content packagejamaa ana nyota kali yule,simuhusudu kivile lakini ukweli kutoka kumoyo Makonda ni full content package.
Pole ungempa mleta mada, mwenzake anaenda mkoa ambao weekends anaenda kupumzika Ngurdoto lodge na familia yake wakifanya utalii wa ndani.Pole kwa masikitiko mkuu, machungu yatapoa tu wala usiwe na wasiwasi