Ubunge viti maalum, ubunge wa kuteuliwa na udiwani ni mzigo kwa Serikali

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Kuna umuhimu gani wa kuwa na wabunge wa kuteuliwa?

Hii tabia ni muendelezo wa kulipana fadhila tu kwa chama tawala ccm.

Mwache mtu agombee apite kwa kupigiwa kura na wananchi kama anakubalika basi atakuwa mbunge wetu.

Kwanini umteue kiongozi wakati viongozi wote wanapatikana kutoka kwa wapiga kura?

Hawa viti maalum wakipewa nafasi kubwa ndiyo wanaongoza kuiba mali za umma.

Serikali makini haitakiwi kuwa na tabia za kuteua teua eti viti maalum.

Cdm naamini watasafisha hii tabia ya kulipa fadhila kama inavyotokea kwa kina covid 19.

Screenshot_20230509-080522_Instagram.jpg
 
Kuna umuhimu gani wa kuwa na wabunge wa kuteuliwa?

Hii tabia ni muendelezo wa kulipana fadhila tu kwa chama tawala ccm.

Mwache mtu agombee apite kwa kupigiwa kura na wananchi kama anakubalika basi atakuwa mbunge wetu.

Kwanini umteue kiongozi wakati viongozi wote wanapatikana kutoka kwa wapiga kura?

Hawa viti maalum wakipewa nafasi kubwa ndiyo wanaongoza kuiba mali za umma.

Serikali makini haitakiwi kuwa na tabia za kuteua teua eti viti maalum.

Cdm naamini watasafisha hii tabia ya kulipa fadhila kama inavyotokea kwa kina covid 19.

View attachment 2615233
Hii ni hoja ya msingi
 
Hawawezi kukuelewa ccm, kwasabb hivi ndiyo vichochoro vya kupachikia michepuko yao, ili wakale uroda Dodoma.
 
Hata wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya na Ma-DAS,ni mzigo mkubwa kwa walipa Kodi wa taifa hili.Ifike wakati tuwe na uchungu na pesa za umma kwa kuweka matumizi yenye tija.
 
Back
Top Bottom