Nini mchango wa wabunge wa viti maalumu? Je, tija yao kwa taifa ni ipi?

Sir robby

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
2,400
4,074
Watanzania wenzangu nawasabahi.

Nije kwenye Mada moja kwa moja. Kuna hili suala la WABUNGE wa VITI MAALUMU katika BUNGE letu. Wabunge hawa Wamekuwa wanapatikana bila kupigiwa kura na Wananchi kwani Hawana Majimbo wanayowakilisha. Wabunge hawa binafsi sijui hata KAZI zao Wawapo Bungeni. Wabunge hawa wamekuwa Wakilipwa POSHO na MISHAHARA na STAHIKI ZOTE wanazopata WABUNGE wa KUCHAGULIWA na WANANCHI kwenye MAJIMBO yao.

Swali langu
1. Je uwepo wao BUNGENI wanameakilisha nani ?
2. Wananchi Wananufanika nini na Uwepo wao BUNGENI ?
3. Mishahara na Posho na Stahiki wanazopewa je Wanapewa kwa KUFANYA Kazi gani na ya nani ?
4. Je Wakiondolewa BUNGENI TAIFA na WANANCHI Wanapata HASARA gani?

JE SERIKALI haioni kuwa inalipa Posho na Mishahara kwa Wabunge ambao hata kazi zao wananchi hatuzioni?
Ushauri kwa SERIKALI

Wabunge wa VITI MAALUM hawana TIJA kwa TAIFA SERIKALI IBANEMATUMIZI kwa KUWAONDOA.
 
Sio viti maalum hata hao wakupigiwa kura mimi naona hawana umuhimu wowote. Hivi tuchukulie gwajima toka aingie bungeni ameleta impact gani ambayo mkuu wa wilaya au diwan hawajui hiyo changamoto aliyoibua gwajima.

Katiba mpya ije ifute kabisa hivi vyeo vingi kazi yao kulipwa na kupiga story tuu. Sijawahi ona kazi ya mbunge kwa kweli
 
Watanzania wenzangu nawasabahi.

Nije kwenye Mada moja kwa moja. Kuna hili suala la WABUNGE wa VITI MAALUMU katika BUNGE letu. Wabunge hawa Wamekuwa wanapatikana bila kupigiwa kura na Wananchi kwani Hawana Majimbo wanayowakilisha. Wabunge hawa binafsi sijui hata KAZI zao Wawapo Bungeni. Wabunge hawa wamekuwa Wakilipwa POSHO na MISHAHARA na STAHIKI ZOTE wanazopata WABUNGE wa KUCHAGULIWA na WANANCHI kwenye MAJIMBO yao.

Swali langu
1. Je uwepo wao BUNGENI wanameakilisha nani ?
2. Wananchi Wananufanika nini na Uwepo wao BUNGENI ?
3. Mishahara na Posho na Stahiki wanazopewa je Wanapewa kwa KUFANYA Kazi gani na ya nani ?
4. Je Wakiondolewa BUNGENI TAIFA na WANANCHI Wanapata HASARA gani?

JE SERIKALI haioni kuwa inalipa Posho na Mishahara kwa Wabunge ambao hata kazi zao wananchi hatuzioni?
Ushauri kwa SERIKALI

Wabunge wa VITI MAALUM hawana TIJA kwa TAIFA SERIKALI IBANEMATUMIZI kwa KUWAONDOA.
Hoja ya msingi sana hii
 
Nchi za kiafrika huwa na matumizi mabaya ya pesa za walipa Kodi.Viti maalumu ni kichaka Cha rushwa ya ngono,ili kupata nafasi.
 
Back
Top Bottom