Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Taifa limempoteza William Lukuvi katika kipindi kigumu ambacho dunia inakabiliwa na migogoro inayoweza kuathiri uchumi na kupandisha bei za bidhaa. Akizungumza...
2 Reactions
16 Replies
202 Views
Wakuu, Chawa nao hufa banaaa! Nacheka lakini naogopa (kwa sauti ya Bambo). Mmeua halafu mnataka mtamalaki? Mi nawaletea TBT tu Wakuu wangu, team chawa tuje na povu kwa step nguo zangu zote...
5 Reactions
18 Replies
263 Views
Kenani Kihongosi, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, amesema kuwa mara nyingi amani inapopotea, watu wanaopata tabu ni watu wenye mahitaji...
1 Reactions
8 Replies
146 Views
Hasira dhidi ya wote walioshiriki na hata walioshabikia umwagaji damu siku za Uchaguzi alimaarufu Mo29 bado ingali ikigonga mioyo ya watu wengi nchini! Kwa mazingira ya kibinadamu, kwa namna...
1 Reactions
3 Replies
64 Views
Katika siasa, mara nyingi matukio makubwa huanza kama ishara ndogo, lakini zenye ujumbe mzito uliojificha ndani yake. Kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja sasa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
3 Reactions
7 Replies
137 Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kenani Kihongosi amesema kuwa mashambulizi dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Nchi ni sawa na mashambulizi dhidi ya Watanzania wote...
2 Reactions
23 Replies
264 Views
Inakuwaje mtu aliezaliwa 1955 ajiunge na TANU 1954. Kwamba alianza siasa akiwa tumboni mwa mama yake? Ukute Wasira hata hajui anamuongelea nani hapo. CCM wampumzishe huyu mzee kabla...
10 Reactions
42 Replies
801 Views
Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kumteua Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Mwakilishi Maalum wa AU kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu. Mwenyekiti wa Tume ya AU...
1 Reactions
16 Replies
208 Views
Ndugu yangu Mtanzania, Habari Ni kama inavyosomeka =========== Wafanyakazi wa Gerwill Hotel, iliyopo nyumbani kwa marehemu William Lukuvi, eneo la Area D, Dodoma, wameangua vilio baada ya kupata...
2 Reactions
27 Replies
749 Views
Nani anaweza kutupa mrejesho kuwa ule mradi wa uwekezaji kwenye Kilimo Al maarufu kama "Build Better Tomorrow -BBT" matokeo yake yamekuwa chanya au hasi Kwa kiasi gani?
16 Reactions
157 Replies
2K Views
Usipotafakari juu ya kifo unaweza kuwatendea wenzio vyovyote utakavyo. Ukawateka, ukawaua, ukawazika kama mizoga, bila kujali maumivu yao wala hisia zao Kama vile utaishi milele. Lakini...
11 Reactions
18 Replies
300 Views
Wananchi maskini ni mda wa kuacha shobo na awamu ya 6 watoto wenu mliona walivyotandikwa risasi za kutosha na kufa kama kuku hiyo yote wananchi au watoto wa maskini kutimiza uwajibu wao kikatiba...
7 Reactions
11 Replies
140 Views
Kila nikiisoma Katiba ya nchi yetu kuwa misingi ya uchumi wa nchi yetu ni ya kijamaa na nchi hii mifumo yake inadhibitiwa na wakulima na wafanyakazi, huwa nashangazwa kabisa. Hivi ni kweli kuwa...
2 Reactions
11 Replies
131 Views
Wakati wa Kampeni zozote za Uchaguzi, kwenye Jimbo la Isman, Mh Lukuvi alikuwa analipa vilabu vyote vya Ulanzi vya Jimbo hilo ili wananchi wanywe bure kwa miezi mitatu mfululizo Hili lilikuwa...
15 Reactions
30 Replies
665 Views
"Magari ya serikali mara zote yanaonekana kuwa na haraka! Hali hiyo ya haraka haionekani popote katika majukumu yao rasmi. Kwa nini?"
12 Reactions
20 Replies
354 Views
Amesema taarifa hizo zitaisaidia serikali kuzitwaa ardhi hizo kwa kuwa raia wa kigeni hawaruhusiwi kumiliki ardhi nchini na kufanya hivyo ni kukiuka sheria. Akitoa hotuba kwenye mkutano Mkuu wa...
3 Reactions
249 Replies
37K Views
WAWEKEZAJI wakuu katika mradi wa gesi kimiminika (LNG) wahimiza Tanzania iharakishe mchakato, mradi Uanze https://m.youtube.com/watch?v=29vTb7IfVy4 Katika viunga vya mkutano huo wa Wiki ya...
0 Reactions
3 Replies
528 Views
Hivi karibuni kumejitokeza maneno eti Kuna watu wameshaanza kampeni za chini chini kutaka kumrithi Rais aluyepo. Ombi Letu ni Moja tu, kama Kuna mtu anawajua watu hao basi tuwataje hapa tuwajue.
1 Reactions
10 Replies
119 Views
Harbinder Singh Sethi (Singasingal, mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited IPTL) na Pan African Power Limited (PAP), amesafishwa na Jeshi la Polisi...
8 Reactions
25 Replies
573 Views
Kuna taarifa zimejaa huku kwetu mtaani hasa maeneo ya Masaki na Mikocheni, Vijana walio Karibu na Mzee Lukuvi wanatabanaisha kuwa Kuna mipango imesukwa Muda mrefu ya Mzee Lukuvi anaandaliwa kuwa...
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom