Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Hapa duniani kuna fani mbalimbali za shughuli, na shughuli kuu ya kwanza duniani baada ya Mungu kumuumba binadamu, ilikuwa ni shughuli ya kutengeneza watoto au kuumba viumbe. Kwa vile...
30 Reactions
74 Replies
6K Views
Amani iwe nanyi! Wakati tunaendelea kuomboleza kifo cha Baba yetu ni muhimu sana yukajiuliza ni wapi alipo Dkt Nchimbi na ana hali gani na kwanini hatujamuona kwenye makabidhiano ya ofisi baada...
7 Reactions
9 Replies
153 Views
Bila shaka huu ni mjadala wa kikatiba zaidi na wala sio mjadala wa kiitifaki. Je, katiba inatoa masharti gani na urefu gani kuhusu likizo za Rais? Je, katiba inasemaje juu ya eda ya Rais? Lakini...
10 Reactions
59 Replies
1K Views
Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Rais Samia Suluhu Hassan, amezikwa leo nyumbani kwake Kizimkazi, Zanzibar. Marehemu Mzee Hafidh amefariki dunia leo alipokuwa akipatiwa matibabu ya moyo. MY TAKE...
8 Reactions
102 Replies
3K Views
Ukifuatilia Historia utagundua himaya na tawala maarafu huanzia au hujikita pwani katika bahari, maziwa na mito mikubwa. Watu wa Pwani mara nyingi ndio huwa chanzo cha civilization, tawala na...
9 Reactions
30 Replies
343 Views
CHADEMA Kanda ya Pwani imesema Polisi Mkoa wa Kinondoni inawashikilia Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Kunduchi, Emmanuel Khatib, pamoja na Saida Said Lipula, waliokamatwa jioni ya Septemba 8, 2026...
2 Reactions
5 Replies
239 Views
Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa...
15 Reactions
101 Replies
12K Views
Kwa kweli comments za watanzania wengi juu ya kifo cha mume wa rais Samia Suluhu Hassan nyingi zimejaa chuki kubwa mno! Nilitegemea watu watoe pole kwa rais katika siku hii ngumu sana kwake kwa...
11 Reactions
119 Replies
2K Views
Tunaomba,serikali ituambie imepata faida na hasara kiasi gani kwa ndege zetu kwenda urusi!
9 Reactions
79 Replies
2K Views
  • Redirect
Wakuu, Tanzania ni nchi yenye Utawala wa Sheria. Kwamba, kila mtu aliyepo nchini Tanzania, regardless status yake, anakuwa governed na sheria za nchi. Lakini mara nyingi sana huko barabarani...
0 Reactions
Replies
Views
Vitabu vya dini vinatufundisha tuwe na kiasi, lakini hii familia imezidi hata hicho kiasi. Kuanzia Baba wa familia, mama wa familia, watoto wote wa familia, nasikia vijukuu wengine ni viongozi wa...
10 Reactions
20 Replies
303 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, mkoani Lindi, baada ya kuliongoza kwa takribani miaka 15...
16 Reactions
224 Replies
16K Views
Nimekuwa nikifuatilia taarifa mbalimbali mitandaoni hadi sasa nimegundua kuwa taarifa inayofatiliwa kwa kiwango kikubwa ni kesi ya mchongo aliyobambikiwa Jabali la siasa ambapo hata machawa...
2 Reactions
7 Replies
136 Views
Katika historia ya ulimwengu na bara la Afrika, wapo marais na viongozi wa kidikteta wanaofahamika kwa kutesa, kuua, na kukandamiza wananchi wao ili kubaki madarakani. Hapa kuna baadhi ya...
20 Reactions
65 Replies
955 Views
TURAHISISHE MAISHA: STENDI YA MAGUFULI ISIWE MWISHO WA UBUNIFU WA USAFIRI DAR ES SALAAM Na GULATONE MASIGA Uamuzi wa Serikali wa kuimarisha matumizi ya Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli iliyopo...
6 Reactions
8 Replies
169 Views
au nimepitwa labda, mambo ni mengi na yanakwenda kwa kasi sana, inawekunaje huyu "mwamba" asionekane popote kwenye msiba huu mzito wa kitaifa? ...
4 Reactions
17 Replies
294 Views
Tafadhali my friends, ladies and gentlemen, Mzee aachwe apumzike na kuipambania afya yake. Asihangaishwe na wanasiasa au wanaharakati kwa maslahi ya siasa au harakati zao. Ni vizuri familia yake...
0 Reactions
18 Replies
142 Views
Kifo cha Hafidh Ameir, mume wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kimeibua maswali kuhusu kipindi ambacho mwanamke Mwislamu huingia baada ya kufiwa na mume wake. Kipindi hicho kinachojulikana...
1 Reactions
13 Replies
332 Views
Kwa muda mrefu sana nimegundua nikiweka SIM Card ya TTCL, ukaenda kwenye SIM Manager, badala ya kuonekana TTCL kama ilivyokuwa inaonyesha zamani, kwa sasa inaonyesha ni mtandao wa "Life Tanzania"...
1 Reactions
2 Replies
56 Views
Back
Top Bottom