Rais Samia Suluhu Hassan amesema Taifa limempoteza William Lukuvi katika kipindi kigumu ambacho dunia inakabiliwa na migogoro inayoweza kuathiri uchumi na kupandisha bei za bidhaa.
Akizungumza...
Wakuu,
Chawa nao hufa banaaa! Nacheka lakini naogopa (kwa sauti ya Bambo). Mmeua halafu mnataka mtamalaki?
Mi nawaletea TBT tu Wakuu wangu, team chawa tuje na povu kwa step nguo zangu zote...
Kenani Kihongosi, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, amesema kuwa mara nyingi amani inapopotea, watu wanaopata tabu ni watu wenye mahitaji...
Hasira dhidi ya wote walioshiriki na hata walioshabikia umwagaji damu siku za Uchaguzi alimaarufu Mo29 bado ingali ikigonga mioyo ya watu wengi nchini!
Kwa mazingira ya kibinadamu, kwa namna...
Katika siasa, mara nyingi matukio makubwa huanza kama ishara ndogo, lakini zenye ujumbe mzito uliojificha ndani yake.
Kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja sasa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kenani Kihongosi amesema kuwa mashambulizi dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Nchi ni sawa na mashambulizi dhidi ya Watanzania wote...
Inakuwaje mtu aliezaliwa 1955 ajiunge na TANU 1954.
Kwamba alianza siasa akiwa tumboni mwa mama yake?
Ukute Wasira hata hajui anamuongelea nani hapo.
CCM wampumzishe huyu mzee kabla...
Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kumteua Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, kuwa Mwakilishi Maalum wa AU kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu.
Mwenyekiti wa Tume ya AU...
Ndugu yangu Mtanzania,
Habari Ni kama inavyosomeka
===========
Wafanyakazi wa Gerwill Hotel, iliyopo nyumbani kwa marehemu William Lukuvi, eneo la Area D, Dodoma, wameangua vilio baada ya kupata...
Nani anaweza kutupa mrejesho kuwa ule mradi wa uwekezaji kwenye Kilimo Al maarufu kama "Build Better Tomorrow -BBT" matokeo yake yamekuwa chanya au hasi Kwa kiasi gani?
Usipotafakari juu ya kifo unaweza kuwatendea wenzio vyovyote utakavyo. Ukawateka, ukawaua, ukawazika kama mizoga, bila kujali maumivu yao wala hisia zao
Kama vile utaishi milele.
Lakini...
Wananchi maskini ni mda wa kuacha shobo na awamu ya 6 watoto wenu mliona walivyotandikwa risasi za kutosha na kufa kama kuku hiyo yote wananchi au watoto wa maskini kutimiza uwajibu wao kikatiba...
Kila nikiisoma Katiba ya nchi yetu kuwa misingi ya uchumi wa nchi yetu ni ya kijamaa na nchi hii mifumo yake inadhibitiwa na wakulima na wafanyakazi, huwa nashangazwa kabisa.
Hivi ni kweli kuwa...
Wakati wa Kampeni zozote za Uchaguzi, kwenye Jimbo la Isman, Mh Lukuvi alikuwa analipa vilabu vyote vya Ulanzi vya Jimbo hilo ili wananchi wanywe bure kwa miezi mitatu mfululizo
Hili lilikuwa...
Amesema taarifa hizo zitaisaidia serikali kuzitwaa ardhi hizo kwa kuwa raia wa kigeni hawaruhusiwi kumiliki ardhi nchini na kufanya hivyo ni kukiuka sheria.
Akitoa hotuba kwenye mkutano Mkuu wa...
WAWEKEZAJI wakuu katika mradi wa gesi kimiminika (LNG) wahimiza Tanzania iharakishe mchakato, mradi Uanze
https://m.youtube.com/watch?v=29vTb7IfVy4
Katika viunga vya mkutano huo wa Wiki ya...
Hivi karibuni kumejitokeza maneno eti Kuna watu wameshaanza kampeni za chini chini kutaka kumrithi Rais aluyepo.
Ombi Letu ni Moja tu, kama Kuna mtu anawajua watu hao basi tuwataje hapa tuwajue.
Harbinder Singh Sethi (Singasingal, mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited IPTL) na Pan African Power Limited (PAP), amesafishwa na Jeshi la Polisi...
Kuna taarifa zimejaa huku kwetu mtaani hasa maeneo ya Masaki na Mikocheni, Vijana walio Karibu na Mzee Lukuvi wanatabanaisha kuwa Kuna mipango imesukwa Muda mrefu ya Mzee Lukuvi anaandaliwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.