Wanabodi,
Hapa duniani kuna fani mbalimbali za shughuli, na shughuli kuu ya kwanza duniani baada ya Mungu kumuumba binadamu, ilikuwa ni shughuli ya kutengeneza watoto au kuumba viumbe. Kwa vile...
Amani iwe nanyi!
Wakati tunaendelea kuomboleza kifo cha Baba yetu ni muhimu sana yukajiuliza ni wapi alipo Dkt Nchimbi na ana hali gani na kwanini hatujamuona kwenye makabidhiano ya ofisi baada...
Bila shaka huu ni mjadala wa kikatiba zaidi na wala sio mjadala wa kiitifaki. Je, katiba inatoa masharti gani na urefu gani kuhusu likizo za Rais? Je, katiba inasemaje juu ya eda ya Rais?
Lakini...
Hafidh Ameir Hassan, Mume wa Rais Samia Suluhu Hassan, amezikwa leo nyumbani kwake Kizimkazi, Zanzibar.
Marehemu Mzee Hafidh amefariki dunia leo alipokuwa akipatiwa matibabu ya moyo.
MY TAKE...
Ukifuatilia Historia utagundua himaya na tawala maarafu huanzia au hujikita pwani katika bahari, maziwa na mito mikubwa.
Watu wa Pwani mara nyingi ndio huwa chanzo cha civilization, tawala na...
CHADEMA Kanda ya Pwani imesema Polisi Mkoa wa Kinondoni inawashikilia Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Kunduchi, Emmanuel Khatib, pamoja na Saida Said Lipula, waliokamatwa jioni ya Septemba 8, 2026...
Nimekutana na message kwenye Whats App kwamba Msigwa ndiye aliyemlipua Mzee Kibao eti kuwa ndiye strategist wa Chadema kwenye mikutano yake ye hivi karibuni. Kama ni kweli hivi Msigwa atakuwa...
Kwa kweli comments za watanzania wengi juu ya kifo cha mume wa rais Samia Suluhu Hassan nyingi zimejaa chuki kubwa mno! Nilitegemea watu watoe pole kwa rais katika siku hii ngumu sana kwake kwa...
Wakuu,
Tanzania ni nchi yenye Utawala wa Sheria. Kwamba, kila mtu aliyepo nchini Tanzania, regardless status yake, anakuwa governed na sheria za nchi.
Lakini mara nyingi sana huko barabarani...
Vitabu vya dini vinatufundisha tuwe na kiasi, lakini hii familia imezidi hata hicho kiasi.
Kuanzia Baba wa familia, mama wa familia, watoto wote wa familia, nasikia vijukuu wengine ni viongozi wa...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, mkoani Lindi, baada ya kuliongoza kwa takribani miaka 15...
Nimekuwa nikifuatilia taarifa mbalimbali mitandaoni hadi sasa nimegundua kuwa taarifa inayofatiliwa kwa kiwango kikubwa ni kesi ya mchongo aliyobambikiwa Jabali la siasa ambapo hata machawa...
Katika historia ya ulimwengu na bara la Afrika, wapo marais na viongozi wa kidikteta wanaofahamika kwa kutesa, kuua, na kukandamiza wananchi wao ili kubaki madarakani.
Hapa kuna baadhi ya...
TURAHISISHE MAISHA: STENDI YA MAGUFULI ISIWE MWISHO WA UBUNIFU WA USAFIRI DAR ES SALAAM
Na GULATONE MASIGA
Uamuzi wa Serikali wa kuimarisha matumizi ya Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli iliyopo...
Tafadhali my friends, ladies and gentlemen,
Mzee aachwe apumzike na kuipambania afya yake. Asihangaishwe na wanasiasa au wanaharakati kwa maslahi ya siasa au harakati zao. Ni vizuri familia yake...
Kifo cha Hafidh Ameir, mume wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kimeibua maswali kuhusu kipindi ambacho mwanamke Mwislamu huingia baada ya kufiwa na mume wake.
Kipindi hicho kinachojulikana...
Kwa muda mrefu sana nimegundua nikiweka SIM Card ya TTCL, ukaenda kwenye SIM Manager, badala ya kuonekana TTCL kama ilivyokuwa inaonyesha zamani, kwa sasa inaonyesha ni mtandao wa "Life Tanzania"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.