Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Anawasifia mchana usiku anataka maini Yao Ila Israel mtoa roho! Naandika mimi sasa ✍🏻✍🏻✍🏻 Yeye Yule ambaye alitukanwa sana kwenye korido za Nyumba nyeupe mithiri ya Meli, pale kwenye Shombo...
94 Reactions
468 Replies
62K Views
Miaka mingi iliyopita niliwai andika dhidi ya ukatili huu wa watoto wa kiume kuingiliwa kinyume na maumbile uko Zanzibar, Nilizungumzia CHANZO, na nilieleza kwa kina VYOMBO VYA Dora...
0 Reactions
3 Replies
135 Views
Tunazungumzia kumuondoa Jaji mkuu, mara mkaguzi mkuu, mara waziri mkuu haya uwa yanajadiliwa sana, Tumeona Mzee Ndugai kwa siku za karibuni akifanya mambo kwa mazoea, na pengine kudhania Bunge ni...
8 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakati Jaji Nduguru anatoa uamuzi wa mahakama kuhusu kuwaita mahakamani mashahidi wa utetezi, aliwataja IGP, CDF na DPP kwa majina na vyeo vyao. Swali ni kwanini wakati anasoma maamuzi yao hao...
0 Reactions
4 Replies
241 Views
Baada ya Rais FDR kuweka rekodi ya kuchaguliwa mihula minne; na kuiongoza Marekani kwa mafanikio makubwa sana, ukazuka mjadala mkubwa kuhusu mihula ya Urais. Ukapelekea mabadiliko ya 22 ya katiba...
0 Reactions
0 Replies
33 Views
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu. Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya...
96 Reactions
979 Replies
24K Views
Inasikitisha sana na kwakweli inafedhehesha sana. Ni muhimu sana kutii sheria na katiba ya nchi bila shuruti, ili hatiame kuepuka hali za taharuku na kuchanganyikiwa kama hizi.:NoGodNo: Mungu...
0 Reactions
7 Replies
297 Views
  • Redirect
MAHAKAMA Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imewaita Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Ramadhani Kingai, Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillus Wambura na Mkuu wa Majeshi...
1 Reactions
Replies
Views
This is the second call. Kesho mtawabomolea watu maana hawa ui mwisho wa road reserve ni upi. Nilishaandikia humu as a wake up call kuepusha migogoro ya kesho. Watu wanajenga petrol station...
1 Reactions
1 Replies
40 Views
Habari za muda huu wanajamvi. Hili swali linanisumbua sana naomba ufafanuzi wa kisheria pale mahakama za chini zikikaidi kufuata miongozo iliyowekwa na mahakama ya rufani katika kesi mbalimbali.
0 Reactions
1 Replies
29 Views
Mimi naona kuna kitu CCM inapaswa kukielewa vizuri kuhusu Watanzania. Watanzania kwa ujumla ni watu watulivu sana. Wengi hawataki maandamano, hawataki vurugu, hawataki nchi isambaratike. Mwananchi...
5 Reactions
8 Replies
104 Views
By Advocate Paul Boniventure; Jibu la moja kwa moja ni NDIYO inaweza, lakini kwa upande mmoja pia ni HAPANA kwa sbb ni discretion ya kawaida ya kisheria ya mahakama kuchukua uamuzi huo kwa...
0 Reactions
3 Replies
104 Views
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama...
8 Reactions
102 Replies
7K Views
Wakuu, amani kwenu! Kuna wale Wabunge wa viti maalum 19, kutokea CHADEMA, maarufu kama 'COVID 19', baadhi wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi, kwa lengo kuu, ni kugombea Ubunge. Naona wao...
14 Reactions
23 Replies
2K Views
Silaha kubwa wanayoitegemea na kuitumia watawala ni hii sentesi “Watanzania tumeshawazoea, watapiga tu kelele siku tatu, ya nne watasahau na kuendelea na maisha” Hiyo silaha wanaitumia kwenye...
0 Reactions
1 Replies
64 Views
USHUHUDA: Naamini Sisi CCM Tuanhitaji Zaidi Katiba Mpya Zaidi ya Makundi Mengine Nchini. Hii ni kwa sababu sisi ndiyo tumepigika zaidi.
0 Reactions
4 Replies
48 Views
Historia huwa haitoi tahadhari kwa makelele. Hutoa ishara. Hutoa matukio. Hutoa mifano. Wenye maono hujifunza kutokana na ishara hizo mapema; wengine huzielewa baada ya muda kupita. Katika shauri...
28 Reactions
31 Replies
602 Views
Kama unavyomsikia Bibi wa Taifa kwenye clip hapo chini, anasema maiti za wananchi waliouliwa wakati wa sekeseke la MO29 na kisha miili yao kuchukuliwa na kupelekwa kusikojulikana, ziliteketezwa...
9 Reactions
115 Replies
3K Views
Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja...
2 Reactions
1 Replies
159 Views
03 September 2026 Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030 Is CCM at risk in 2027 ? Prof. Mihanjo reveals serious new details regarding Dr. Nchimbi and also...
13 Reactions
53 Replies
2K Views
Back
Top Bottom