Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli ninamuamini na kumkubali sana Rais Samia . Ni kiongozi Ambaye naamini ni mtu sahihi kuendelea kuliongoza Taifa letu. Nina Mwamini kuliko Mtu mwingine yeyote yule...
-1 Reactions
12 Replies
212 Views
Kwenu waheshomiwa Naona mikwara ya viroja inaendelea juu ya wale wanaomboleza visivyo wapendeza wenye mamlaka bandia. Wengine wanatoka maandiko, wengine wanatishia kufungia mitandao na ujinga...
6 Reactions
8 Replies
158 Views
Kuna chemba ya maji taka inayotiririsha uchafu kando ya Soko jipya la Kariakoo, ambalo limezinduliwa hivi karibuni na Rais Samia Suluhu Hassan. Chemba hiyo ipo kwenye kona ambapo daladala za...
1 Reactions
4 Replies
138 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania kuwa makini na matumizi ya mitandao ya kijamii, akisema baadhi ya watu wanaposhiriki mitandaoni...
3 Reactions
27 Replies
623 Views
Helolloooo Hizi off target hatuzipendi tunataka malaika watoa roho wapige panapostahili. Tutamaliza bia zote hadi tutaenda kunywea kwenye masufuria ya viwandani.
9 Reactions
11 Replies
416 Views
Wakuu, Mossy Lukuvi, ambaye ni mdogo wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratıbu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi, amewaomba msamaha...
1 Reactions
7 Replies
200 Views
Habari wakuu Nimepita mitandaoni nimekutana na clip ya mzee Wasira akikemea kuhusu watu kujiandaa na 2030, toka uchaguzi mkuu ulipokishwa mpaka sasa hata mwaka haijatumia. Hii kitaalamu imekaaje...
3 Reactions
18 Replies
280 Views
Huo ndio ukweli na bila katiba mpya wengi watapoteza maisha maana bila kuondoa haya majanga yaliyopo ya katiba mbaya tusubiri mabaya tu
4 Reactions
17 Replies
150 Views
Wakuu, nimejawa na hasira tu na hii foleni kuanzia Mikocheni mpaka Mbezi Beach, kumeshona balaa, ukisogea hatua moja ndo unalala hapo hapo mpaka unasahau kama upo kwenye chombo cha usafiri Yote...
5 Reactions
17 Replies
494 Views
Ni muhimu sana kwa wana CCM wenye nia na wanaojianda kwaajili ya nafasi hiyo sasa, labda wajipange kwa 2040-2050. Agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040 ni Dr.Emmanuel John Nchimbi, full stop...
2 Reactions
42 Replies
453 Views
Rais Samia umekosea sana kutoa msamaha kwa wahalifu wa October 29. Unadhani utapendwa na watu wote? Unadhani wapinzani watabadili mtizamo wao juu yako? Wewe ndiye uliwapa kupumua wapinzani baada...
4 Reactions
28 Replies
794 Views
Ukienda msibani kwa Lukuvi, wameweka bango lenye maneno ya kwenye Bibilia kutoka 2 Timotheo 4:7 "Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda" Wazee wa zamani naomba...
12 Reactions
39 Replies
651 Views
Kwanza nianze na salamu ya Kwetu Kwa DPP ( mkurugenzi wa mashitaka) na kaka yangu Sylvester Mwakitalu. UGHONILE KIKOLO NDAGA UTUKUNYIKE. KYALA AKUSAJE NU KUKULINDILILA PAMUSI NA PAKILO. Pili...
77 Reactions
111 Replies
9K Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi ametoa onyo kali kwa watu wanaochochea vurugu nchini, akisisitiza kuwa Serikali haitavumilia vitendo...
2 Reactions
4 Replies
80 Views
My Take Kwa navyomjua Rais Samia hatiweka kabatini haya mapendekezo ya kimageuzi kama watangulizi wake. Tume ya rais imependekeza mageuzi makubwa 284 ya kubadili mfumo wa kodi wa taifa...
2 Reactions
40 Replies
416 Views
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema katika kipindi hiki ambacho Dunia inashuhudia misuguano na machafuko katika maeneo mbalimbali ambayo yanapelekea kupanda...
2 Reactions
11 Replies
160 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Jasiri muongoza njia na Shujaa wa Afrika anakwenda Kuongoza Maelfu ya Waombolezaji Kuaga Mwili wa Mheshimiwa...
0 Reactions
11 Replies
150 Views
Nilimuona Kombo anatoa pole kwa ndugu zetu katika imani balozi wa Iran. Sasa hiyo pole mbona ndugu zetu hawarudisha ukarimu huo kuruhusu meli zetu zipite. Ukizingatia kiongozi mkuu ni muislamu...
1 Reactions
9 Replies
145 Views
Kulia na kucheka inategemeana na moyo pamoja na akili ya mtu. Huwezi kufurahia kifo cha mtoto wangu halafu nihuzikie kifo chako. Samia akumbushwe kuhusu 29 Oktoba 2025 then atuoneshe wapi alilia...
15 Reactions
26 Replies
590 Views
Back
Top Bottom