Anawasifia mchana usiku anataka maini Yao Ila Israel mtoa roho!
Naandika mimi sasa ✍🏻✍🏻✍🏻
Yeye Yule ambaye alitukanwa sana kwenye korido za Nyumba nyeupe mithiri ya Meli, pale kwenye Shombo...
Miaka mingi iliyopita niliwai andika dhidi ya ukatili huu wa watoto wa kiume kuingiliwa kinyume na maumbile uko Zanzibar,
Nilizungumzia CHANZO, na nilieleza kwa kina VYOMBO VYA Dora...
Tunazungumzia kumuondoa Jaji mkuu, mara mkaguzi mkuu, mara waziri mkuu haya uwa yanajadiliwa sana,
Tumeona Mzee Ndugai kwa siku za karibuni akifanya mambo kwa mazoea, na pengine kudhania Bunge ni...
Wakati Jaji Nduguru anatoa uamuzi wa mahakama kuhusu kuwaita mahakamani mashahidi wa utetezi, aliwataja IGP, CDF na DPP kwa majina na vyeo vyao.
Swali ni kwanini wakati anasoma maamuzi yao hao...
Baada ya Rais FDR kuweka rekodi ya kuchaguliwa mihula minne; na kuiongoza Marekani kwa mafanikio makubwa sana, ukazuka mjadala mkubwa kuhusu mihula ya Urais. Ukapelekea mabadiliko ya 22 ya katiba...
Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu.
Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya...
Inasikitisha sana na kwakweli inafedhehesha sana.
Ni muhimu sana kutii sheria na katiba ya nchi bila shuruti, ili hatiame kuepuka hali za taharuku na kuchanganyikiwa kama hizi.:NoGodNo:
Mungu...
MAHAKAMA Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imewaita Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Ramadhani Kingai, Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camillus Wambura na Mkuu wa Majeshi...
This is the second call. Kesho mtawabomolea watu maana hawa ui mwisho wa road reserve ni upi.
Nilishaandikia humu as a wake up call kuepusha migogoro ya kesho. Watu wanajenga petrol station...
Habari za muda huu wanajamvi.
Hili swali linanisumbua sana naomba ufafanuzi wa kisheria pale mahakama za chini zikikaidi kufuata miongozo iliyowekwa na mahakama ya rufani katika kesi mbalimbali.
Mimi naona kuna kitu CCM inapaswa kukielewa vizuri kuhusu Watanzania. Watanzania kwa ujumla ni watu watulivu sana. Wengi hawataki maandamano, hawataki vurugu, hawataki nchi isambaratike. Mwananchi...
By Advocate Paul Boniventure;
Jibu la moja kwa moja ni NDIYO inaweza, lakini kwa upande mmoja pia ni HAPANA kwa sbb ni discretion ya kawaida ya kisheria ya mahakama kuchukua uamuzi huo kwa...
Ni taarifa rasmi iliyotolewa na CHADEMA kuwa Halima Mdee na wenzake 18 walifukuzwa uanachama wa CHADEMA kwa makosa mbalimbali waliyoyatenda dhidi ya chama chao. Walifukuzwa na Kamati Kuu ya chama...
Wakuu, amani kwenu!
Kuna wale Wabunge wa viti maalum 19, kutokea CHADEMA, maarufu kama 'COVID 19', baadhi wamejiunga na Chama Cha Mapinduzi, kwa lengo kuu, ni kugombea Ubunge. Naona wao...
Silaha kubwa wanayoitegemea na kuitumia watawala ni hii sentesi
“Watanzania tumeshawazoea, watapiga tu kelele siku tatu, ya nne watasahau na kuendelea na maisha”
Hiyo silaha wanaitumia kwenye...
Historia huwa haitoi tahadhari kwa makelele. Hutoa ishara. Hutoa matukio. Hutoa mifano. Wenye maono hujifunza kutokana na ishara hizo mapema; wengine huzielewa baada ya muda kupita.
Katika shauri...
Kama unavyomsikia Bibi wa Taifa kwenye clip hapo chini, anasema maiti za wananchi waliouliwa wakati wa sekeseke la MO29 na kisha miili yao kuchukuliwa na kupelekwa kusikojulikana, ziliteketezwa...
Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja...
03 September 2026
Mtaalamu wa Stratejia Prof. Eginald PAN Mihanjo: SAMIA HAWEZI KUFIKA 2030
Is CCM at risk in 2027 ? Prof. Mihanjo reveals serious new details regarding Dr. Nchimbi and also...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.